Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

MIezi mingi unazungumza hili. Mahakama ya South Africa iliamuaje? 🤣 Je ilisababisha Israel waache kichapo? Netanyau ni Jeshi la mtu mmoja anachapa tu . Na pia ana watu wengi akitoka mmoja anaingia mwingine.

Unamwona anajali? The man anafanya ana cho enjoy kufanya. Al Jazeera wanakupa Data.
Netanyahu peke yake ndio analazimisha vita ili kulinda maslahi yale ya utawala.
Maana anajua vita ikiisha utawala wake matatani.
Viongozi na raia wao washaona inatosha.
Maana katika miaka yote toka 1948 Israel sasa inapitia hali ngumu kiasi bandari hazifanyi kazi na kuna miji mathalan Galilee mpakani na Lebanon kumehamwa.
Ila kijana unaeongea kishabiki huwezi lijua hili,Israel ishachoka vita ila Netanyahu ndio analazimisha vita.
 
Hamas wameambulia nini zaidi ya vifo kwa maeflu na maelfu ya Waarabu wao.
Ushindi na Uhuru wa Palestine ndio lengo kuhusu kifo kila mtu atakufanyia na ni heri kufa kwa kupigania haki yako kuliko kufa kitumwa
 
Ushindi na Uhuru wa Palestine ndio lengo kuhusu kifo kila mtu atakufanyia na ni heri kufa kwa kupigania haki yako kuliko kufa kitumwa
Hamas wanapigania Msikiti wa Al Aksa uliopo Jerusalem uliojengwa sehemu iliyokuwepo Hekalu la Mfalme wa Kiyahudi Solomon baada ya uvamizi wa Majeshi ya Waarabu katika Karne ya Saba.
 
Netanyahu peke yake ndio analazimisha vita ili kulinda maslahi yale ya utawala.
Maana anajua vita ikiisha utawala wake matatani.
Viongozi na raia wao washaona inatosha.
Maana katika miaka yote toka 1948 Israel sasa inapitia hali ngumu kiasi bandari hazifanyi kazi na kuna miji mathalan Galilee mpakani na Lebanon kumehamwa.
Ila kijana unaeongea kishabiki huwezi lijua hili,Israel ishachoka vita ila Netanyahu ndio analazimisha vita.

Walitaka kipigo watapata kipigo. Waisrael wapo nyuma yake. Na bado wapo wenye uhuru wa kupinga hilo. Ni demokrasia kwa wenzetu.
 
Ila wewe jamaa ni moja ya wapotishaji wakubwa hasa kuhusu suala la mgogoro wa wayahudi na hamas
Bro kama unaona napotosha lete uthibitisho hapa.
Kwani humu ndani hakukuwekwa taarifa za raia wa Israel wakimtaka Netanyahu asitishe vita na arudishe mateka ili amani iwepo!?
Kwani humu ndani hakukuwekwa ushahidi wa waisrael wakiandamana Netanyahu ajihuzuru!?
Sasa napotosha wapi?
Lete uthibitsho.
 
Dini inafanya watu wengi wawe vipofu kujadili objectively. Hivi hamuoni vifo vya watu wasio na hatia yoyote. Okay, basi we ni mtu wa dini huoni kuwa wengi wanaenda ktk moto wa Jehanam maana hawako ktk Imani yako unayoiona sahihi au dini/Imani yako ni sawa kwa mwenye dhambi kufa angali hajamrudia muumba wake?
 
Walitaka kipigo watapata kipigo. Waisrael wapo nyuma yake. Na bado wapo wenye uhuru wa kupinga hilo. Ni demokrasia kwa wenzetu.
Ingekua wapo walio nyuma yake raia wasingeandamana na kufurika mitaani kumpinga Netanyahu.
Muswada tunaupima kwa asilimia.
Asilimia kubwa ya raia wa Israel wamechoshwa na hili ndio maana wakaingia road kuandamana.
Hivyo hiyo asilimia kubwa ndio inatizamwa.
 
Ingekua wapo walio nyuma yake raia wasingeandamana na kufurika mitaani kumpinga Netanyahu.
Muswada tunaupima kwa asilimia.
Asilimia kubwa ya raia wa Israel wamechoshwa na hili ndio maana wakaingia road kuandamana.
Hivyo hiyo asilimia kubwa ndio inatizamwa.
Ni Raia wote wa israel? Sasa hao raia kusema hivyo ndo inamaanisha kwamba Netanyahu ndo peke yake ndo anataka vita iendelee? Je, kipindi Netanyahu anatangaza vita si alitangaza na malengo ya vita, je hao wananchi walisema hatuyataki hayo malengo ya vita? Hiyo vita inapiganwa na israel na hamas, mbona hamas wao hawapo tayari kuachia mateka vita iishe?
Hiyo vita si Netanyahu ni waisrael na imebeba msitakabali wa maisha yao kama ambavyo mnasema hamas imebeba mustakabali wa maisha ya wapelestina.
Kwa hiyo acha kuendelea kupotosha kwamba Netanyahu ndo anataka vita kwa mustakabali wa kisiasa. Shida munaimba nyimbo zinazoanzishwa na Al Jazeera ambao pia ni washiriki wa vita ndo maana hiyo Al Jazeera imepigwa marufuku karibu nchi kubwa zote za kiislamu kwa tabia yao ya kutetea makundi yenye msimamo mkali wa kidini ya brotherhood…
Nikisema bro hauna unalolijua ninakosea!?
Kipindi Yair Lapid akiwa kiongozi wa Israel Gaza na Israel walikua na uhusiano mzuri sana kiasi kuna wayahudi ama wazayuni waliwekeza Gaza.
Aliporudi Netanyahu alifadhili baadhi ya Israel settlers wakiwa na IDF wavunje nyumba na kupanua makazi ya walowezi wa kizayuni,media zilikaa kimya,wapo hadi waisrael waliopinga hili.
Oktoba 7 Hamas walianzisha vurugu kwa malengo makuu matatu na walishayasema;
1)Mipaka ya Gaza ama Palestina itoke nje ya occupation ya Israel.
2)Waachiwe huru wafungwa wote wa kiPalestina hususan watoto wa chini ya miaka 12 ambao wamefungwa jela za jeshi la IDF.
3)Israel kuondoa jeshi lake maeneo yote yanaowahusu Palestina.
Vita ilipoendelea Hamas alitoa wazo ili vita ikome na mateka warudishwe hayo mambo matatu hapo juu yanatakiwa yatimizwe.
Simple tu ondoeni majeshi yenu,vunjeni occupation,wachilieni wafungwa wa kiPalestina kesha MATEKA WA Israel wote wataachiwa na kurudi kwao.
Netanyahu alikataa akisema mateka atakomboa mwenyewe na lengo lake ni kuiteketeza HAMAS isitawale tena Gaza.
Wananchi walipoona ndugu zao watatu ambao moja ya mateka wakipigwa risasi pasi na kufuata rules of engagement na jeshi lao lenyewe la IDF waliandamana wakishika mabango vita ikomeshwe fanyeni PRISONAL SWAP vita haina mshindi ni maumivu.
ASILIMIA KUBWA YA WAISRAEL WALIANDAMANA,kama umesoma hisabati nadhani unajua maana ya percentage,kitu tunakipima kwa asilimia.
Asilimia kubwa ya raia hawakuitaka vita ndio maana wakaandamana,na hiyo asilimia kubwa ni sawa na Israel wote.
Raia walikua wanataka mabadilishano ya wafungwa yafanyike na vita ikome.
NARUDIA NETANYAHU AKAKATAA.
Ndani bunge liligawanyika makundi mawili,wapo waliokua wanapingana na Netanyahu na wapo waliokua wanakubaliana na Netanyahu tena wachache sana.
Netanyahu ni waziri ambaye madarakani toka zamani anakaa kinguvu,ila raia wengi hawampendi na sio mara ya kwanza kuandamana yeye atoke.
Upande wa watu 350 kati ya 500 na upande wa watu 150 kati ya 500 upi usikilizwe!!??
Mkiambiwa ukweli mnasema tunapotosha.

HUNA UNALOJUA MKUU.
Maana hujaleta uthibitisho wowote.

Nataka ushahidi wa ALJAZEERA kufungiwa mataifa ya kiislam.
Maana hakuna taifa la kiarabu lililofungia chombo cha Aljazeera zaidi ya ISRAEL peke yake.
Hiyo Aljazeera unayosemea ni chombo cha habari ambacho kimepokea tuzo nyingi za kimataifa za kutokurusha fake news na haikuwahi kushutumiwa ilhali hadi BBC imewahi kushutumiwa.

Nasubiri ushahidi hapa wa Aljazeera kufungiwa Saudi Arabia au hata Jordan.[/QUOTE][/QUOTE]
 
Hamas wameambulia nini zaidi ya vifo kwa maeflu na maelfu ya Waarabu wao.
Hamas wamepata faida/ushindi mkubwa sana. Sasahivi duni imejua nini tatizo la palestina na nchi nyingi sana duniani zimeanza kulitambja taifa la palestina
 
Hamas wamepata faida/ushindi mkubwa sana. Sasahivi duni imejua nini tatizo la palestina na nchi nyingi sana duniani zimeanza kulitambja taifa la palestina
Hamna kitu, walichoambulia ni kuuwawa kwa Waarabu 40,000+

Na Maiti bado ziko kwenye vifusi vya Majumba.
 
Ingekua wapo walio nyuma yake raia wasingeandamana na kufurika mitaani kumpinga Netanyahu.
Muswada tunaupima kwa asilimia.
Asilimia kubwa ya raia wa Israel wamechoshwa na hili ndio maana wakaingia road kuandamana.
Hivyo hiyo asilimia kubwa ndio inatizamwa.

Raia kuandama ni ishara ya demokrasia. Ni jambo jema sana.
 
Hamna kitu, walichoambulia ni kuuwawa kwa Waarabu 40,000+

Na Maiti bado ziko kwenye vifusi vya Majumba.
Kalagabao sasahivi umoja wa mataifa wapo kwenye seriously talk kuhusu two state solutions kitu ambacho Israeli halikuwa halitaki kabisa
 
Hahahah umehama mada masuala ya dini peleka jukwaa la dini.
Hii vita Netanyahu amewapa zawadi wenye chuki dhidi ya Israel duniani kote kuwaonesha kuwa laana watoazo ni takataka hazina lolote.. sio Allah wala majini ,

mtapiga kelele kisha mtaacha yeye anapiga tizi tu tartubuuuu huku akitoa kichapo
 
Kalagabao sasahivi umoja wa mataifa wapo kwenye seriously talk kuhusu two state solutions kitu ambacho Israeli halikuwa halitaki kabisa
Hata kama wakipewa Ardhi wataanza kugombana kati ya Suni na Shia kisha mshindi atawavamia Waarabu Wakristu ili kuwasilimisha kwa Risasi.
 
[/QUOTE]
Ndo maana nasema wewe ni moja ya wapotoshaji. Waisarel wamekuwa wakiandamana kabla ya vita wakitaka Netanyahu aondoke madarakani kutokana skendo zake zinazomkabili na kumbuka serikali ya israel ni muungano kutoka vyama mbalimbali vikiwemo vya mlengo wa kulia ambavyo vina msimamo mkali.

Israel na hamas hawajawahi kuishi kwa amani na waisrael wamekuwa wakikumbana na maroketi ya hamas mara kadhaa ndo wameweka mfumo wa ulinzi.

Unaandika maneno mengi ila ukweli ni kwamba hakutakuwa na amani labda mmoja wapo anyanyue mikono juu hasa hamas wakubali kuishi kwa pamoja na wayahudi na waachane na mawazo ya Iran na muslimu brotherhood kuifuta Israel kwenye uso wa dunia. Vilevile wapelestina wakatae kukubali kutumiwa kama sadaka ya kudai mskiti wa Al Aqsa na Jarusalemu tofauti na hapo hakujawahi kuwa na amani kati yao na haitokaa iwepo. Hakuna taifa lolote litakalokubali kuwapa uhuru watu ambao lengo lao ni kuliangamiza hilo taifa hiyo haipo.

Kuhusu Al Jazeera kufungia, pamoja na kusema sijui kitu ni sawa, ila Al Jazeera imepigwa maruku Egypt tangu 2013, Saudia, Jordan, Bahrain, UAE n.k.
Hizo tuzo za kimataifa inategemea zinatolewa na, kumbuka kwa nchi za magharibi Al Jazeera haina huo ubora unaousema.

Ninaweza nikawa sijui kitu, ila wewe unaejua unatumia vibaya unayoyajua kupotosha.
[/QUOTE]
Bado unarudi pale pale🤣🤣🤣🤣🤣.
Mkuu ukiambiwa ukweli unadai watu wanapotosha.
NAKUPA HOMEWORK,KAFUATILIE KIPINDI YAIR LAPID AKIWA KIONGOZI Gaza na Israel walikua wanaishije!?
Kipindi Netanyahu alipokua anakabiliwa na mashtaka ya ufisadi ambapo Lapid alikua interim leader GAZA NA ISRAEL kulikua na amani acha ubishi we jamaa.
Kuna maelfu ya waGaza waliajiriwa kusini mwa Israel sana sana Ashkelon.
Na kuna wazayuni wengi waliwekeza Gaza mzee acha ubishi bro.
Ila Netanyahu aliporudi madarakani matukio yalianza tena ya vurugu kati ya Israel na Palestina.
Na Hamas hawakuwahi kujirushia hovyo makombora Israel mpaka IDF itakapowachokoza usitudanganye.
Hakuna taifa la kiarabu lililotaka kuifuta Israel.
We unaongelea kauli ya Ahmedinajad rais wa zamani wa Iran aliyetoa tamko hilo ila sio waarabu wote.
Ingelikua nia yao kuwaua Israel basi tokea 1947 wangekataa kuwapa mipaka.
Na 1946 wapalestina chini ya British Palestine mandate wasingewasamehe wayahudi wa Jerusalem waliojaribu kufanya mapinduzi.
Siku zote waarabu walikua wanataka Palestina itambulike kama taifa.
Kama wangetaka kuifuta Israel wangeanza kuwaua wayahudi waliokua wanaoishi Jerusalem kabla ya 1945.
SIJUI HUU UONGO BRO UNAUTOA WAPI!!??

Netanyahu aliporudi madarakani vurugu zake zimechochea raia kuamsha tena maandamano ya kumtaka atoke madarakani.
Asingefadhili Israel settlers kuwapiga bedui Jenin basi Oktoba 7 isingetokea na Galilee isingekua ghost city sasa hivi.
Mkuu nenda katafute mzozo wa Palestina na Israel kuanzia 1946 naona hapa tutabishana halafu hakuna unachoongea sahihi.

Aljazeera haijapigwa marufuku Egypt,ukitaka nakuletea news coverage walizofanya Aljazeera ndani ya Egypt.
Kikao cha Arab Peace Summit kilichofanyika Cairo Aljazeera walikuwepo na wakarusha matangazo.
2013 kuna waandishi wa habari ambao waliokua wanaripoti kuhusu Mohammed Morsi walikamatwa,hapo ndio kulikua na mzozo baina ya Egypt na Aljazeera.
ILA HAKUNA TAIFA LA KIARABU LILILOIFUNGIA ALJAZEERA.
Naona mkuu unaongea usichokijua.
Tuzo waliyopata ilianzishwa na Mmarekani na inatolewa na Marekani.
 
Kama Allah yuko Serious ni kwanini ambariki Shoga dhidi ya Ustadhi swala tano?!
 
Back
Top Bottom