Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

Watoe support ya nini wakati wanaona kabisa Hamas peke yake anaweza kupambana na jeshi zima la Israel wakisaidiwa na Marekani.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1800482590169936168?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Na bado wanatoa kichapo kwa Israel leo mwezi wa 9 Gaza yenyewe inazidiwa ukubwa na Kigamboni wameshindwa kuidhibiti kuna mateka zaidi ya 150 wameshindwa kuwaokoa kazi yao
Kuuwa watoto na kubomoa majengo na makombora na drone wakitua chini wanakutana na Hamas.

View: https://x.com/suppressednws/status/1800452385942413654?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hao IDF wamekufa kuwa bomu la kutengwa kwenye jengo la Hamas... so muache kuleta news za kuwa IDF wanalipua majengo.. kumbe na hamas wanabomoa pia
 
Hivyo Vyombo vyote ulivyoleta ni Maadui wa Israel and nikufahamishe kuwa Arabs under 18 ni wakubwa and wanafanya kila uchafu hadi kuua.. hawawezi achwa et kisa under 18 wanaua Waisrael... and kingine hivyo vyombo wanaleta ujinga na uongo na sourse zao ni from Hamas na PA unategemea nini hapo ndio maana Israel hapokei ujinga kutoka kwa watu wanaotaka ashindwe.. Israel anategemea Mungu nyie na Shetani wenu hamtokuja kuidhurumu Israel kwa vyovyote hadi kiama chenu.. Trust me
Sasa hivi muwe mnakuja na ushahidi wa picha za hao watoto na kina mama wanaouliwa au wamekamatwa kwa makosa yepi... maana mnajitikasa as if wanaonewa... Israel han ugomvi na mtu ila chuki za muslim ndio tatizo.
View attachment 3015726

And hao watoto ndio hawa kama michokoraa cha Ngulero kurusha mawe kwenye magari

View: https://www.youtube.com/watch?v=MxzSQ47xWgY
View attachment 3015729Kameshikwa kanalia eti kameonewa wajinga jf wanalalamika vitoto vya iblis

Naona unaropoka kama unaharisha.
Taarifa nilokuletea inatoka chombo cha UN na AMNESTY INTERNATIONAL.
Hivi siku hizi Amnesty international wamekua Hamas!?

Hao watoto unajua sababu ya wao kurusha mawe!?
Kila leo IDF huvamia maeneo ya Wapalestina na kufanya vurugu,je hili halikuoneshwa ushahidi wake na watu wakaliona!?
MAGARI YA IDF YANAFANYA NINI KWENYE MIPAKA YA PALESTINA/OCCUPIED WESTBANK!?
Huoni kwa magari ya IDF kuingia ndani ya mipaka ya Westbank ni violation!?
Au hili hulijui!?

Unabwabwaja meeengiiii ila NONSENSICALS.
Naona hadi Amnesty internationals unawakataa na kuwadai ni wazushi na waongo.
Na AMNESTY hao hao ndio walitoa ripoti kuwa DUNIANI JELA PEKEE INAYOFUNGA WATOTO NI YA ISRAEL.

Unaweza ukatueleza gari za jeshi la IDF hufuata nini Ramallah!?
Maana hao watoto hukamatwa ndani ya mipaka ya Westbank.
Tunasubiri jibu mazeeh.
 
Haya hizo tuhuma anazopewa Israel eti njaa .k ni jukumu lake? kuwapa chakula na maji? kwanza hawalipi bill walikuwa wanawapenda kwa kuwapa huduma free sifa zikawajaa and wajinga eti wanawatuhumu ndio maana kesi za kijinga kama hizi huwa zinaisha kabla hazijafunguliwa
IDF na baadhi ya walowezi wa kizayuni wanazuia misaada isiingie ya vyakula Gaza,je hilo unaliona sawa!?
Pia usitudanganye kuwa Israel ndio ilikua inaisaidia Gaza bali ni Qatar na Egypt na Bahrain ndio ilikua ikiingiza malori kila siku ya misaada ya maji,vyakula na mafuta.
 
Sasa hivi ni maandalizi ya Parestina HURU - hao HAMAS wasahau kuwajaza jazà ujinga waparestina na kusababisha wafe zaidi ya 40,000.
 
Aisee Hamas wameshinda vita.Kwa mara nyingine tena jeshi dhaifu la Israel limeshindwa na Hamas.Takbiiir
Ndio manake Allahu Akbariiii, nchi ngapi zinapigana na Hamasi nawamemshindwa, Jeshi la Pampers, Jeshi la America, UK, France, Germany, Canada, India, Philippines, Morocco, Ethopia.

Na kuna mataifa yamemsaidia Israel kwa kuwafungia chakula kisingie Gaza, Egypt, Jordan na kuna mataifa yalikuwa yanamsaidia Israel kukwepa kipigo cha Red Sea ni Saud Arabia, Jordan na UAE.

Piga salute kwa Hamasi
 
Sio kila jambo subjective lina mantiki.
Suala la waisrael kudai kusitisha vita ni la wote ni la mustakabali wa kizazi cha Israel ijayo.
Israel ya sasa ishaanza kugeukwa mpaka na wazungu mathalan Norway na Spain.
Anti-semitism imekua kubwa toka Oktoba 7 ianze,je kizazi kijacho kitaishije kwa namna hii!?
Israel ina maadui majirani kila kona Palestina,Syria,Lebanon n.k n.k,je hili jambo jema.
Hilo suala la ushoga ni personal perspective tena ni immoral na unhealthy,inaharibu nguvu kazi za kiume,inaharibu mababa wa baadae inamaana inaweza leta population decrease,inaharibu maumbile na hata kuleta saratani ya huko unakoingiliwa.

Pima mwenyewe mkuu kesha uone kipi kina mantiki.
So maandamano si issue kwa wenzetu. Hata mashoga waliandamana na sisi wengine tunayapinga.
 
So maandamano si issue kwa wenzetu. Hata mashoga waliandamana na sisi wengine tunayapinga.
Mkuu nadhani ukweli unajulikana kipi ni valuable na kipi not.
Suala la ushoga ni NONSENSICAL huwez lifananisha na suala la utawala ama diplomasia.
 
Naona unaropoka kama unaharisha.
Taarifa nilokuletea inatoka chombo cha UN na AMNESTY INTERNATIONAL.
Hivi siku hizi Amnesty international wamekua Hamas!?
UN ndio hii hii iliyoshindwa kukemea Hamas na kuwaamuru waachie japo Mateka Wazee,Wanawake na Watoto!
Amnesty Inajua kudeal na Watoto wa waarabu tu kwa taarifa za uongo za Hamas pale nje ya Hospital Hamas wameshikwa na picha za watoto wa nchi mbali mbali wakidai watoto wao.. All muslims are lie
Hao watoto unajua sababu ya wao kurusha mawe!?
Yah wanarusha Mawe sababu wamefundishwa kuchukia Wayahudi kuanzia utotoni mwao even Muslim wanaenda Mecca kuhiji wanaambiwa wabebe mawe wampige Shetani kwa akili za kawaida wamekuwa brainwashed Shetani anaishi Mecca kaaba na nyumba yake ipo pale kwa historia ndio nyumba ya Allah wanachezewa akili Allah ndie Shetani.
Kila leo IDF huvamia maeneo ya Wapalestina na kufanya vurugu,je hili halikuoneshwa ushahidi wake na watu wakaliona!?
MAGARI YA IDF YANAFANYA NINI KWENYE MIPAKA YA PALESTINA/OCCUPIED WESTBANK!?
Huoni kwa magari ya IDF kuingia ndani ya mipaka ya Westbank ni violation!?
Au hili hulijui!?
Nadhani wewe ndio hujui kitu kasome sheria za kimataifa nani anahusika na jukumu la ulinzi maeneo ya Judea na Samaria... humu jf kumejaa mashabiki maandazi meupe kwenye bongo zao. Even Hamas wanakushinda akili watatambua Jukumu la Israel kuwalinda ila wao ndio hawataki.. Bunju hawajambo huko ulipo.
Unabwabwaja meeengiiii ila NONSENSICALS.
Use your brain to think big not uharo
Naona hadi Amnesty internationals unawakataa na kuwadai ni wazushi na waongo.
Na AMNESTY hao hao ndio walitoa ripoti kuwa DUNIANI JELA PEKEE INAYOFUNGA WATOTO NI YA ISRAEL.
Labda walitumia akili zako kutamka hayo maneno.. even Tanzania zipo jela za Watoto ad kila nchi... usifikiri sheria hamna ukiwa mtoto ukaua au ukatukana au ukasababisha ukosefu wa amani utashikwa na kuna nchi waeza wekwa kwenye uangalizi hadi utimize umri wa adult unaenda jela ya watu wazima... kasome sheria Madrassa zimewachelewesaha kupata akili shukuruni sisi tupo hai tunawapa elimu
Unaweza ukatueleza gari za jeshi la IDF hufuata nini Ramallah!?
Maana hao watoto hukamatwa ndani ya mipaka ya Westbank.
Tunasubiri jibu mazeeh.
Soma Juu hapo nimeandika anayehusika na Ulinzi Judea na Samaria provinces in the matter of national security.
 
Wanaukumbi.

🚨 HAMAS ILITUMA MAJIBU KUHUSU PENDEKEZO LA KUSITISHA MAPIGANO KWA WAPATANISHI PAMOJA NA MABADILIKO.

Haniyeh na Nakhaleh walikabidhi majibu ya pendekezo la "israeli" la kusitisha mapigano kwa Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar.

Majibu ambayo yalikabidhiwa ni pamoja na marekebisho ya pendekezo la "israeli", ikiwa ni pamoja na kusitisha mapigano.

Marekebisho hayo yalijumuisha uondoaji kutoka Ukanda wote wa Gaza, ikijumuisha kivuko cha Rafah na kivuko cha Philadelphia.
======================
🚨JUST IN: HAMAS SENT THE RESPONSE REGARDING CEASEFIRE PROPOSAL TO THE MEDIATORS WITH AMENDMENTS.

Haniyeh and Nakhaleh handed over the response to the "israeli" ceasefire proposal to the Prime Minister and Foreign Minister of Qatar.

The response that was handed over included amendments to the "israeli" proposal, including a ceasefire.

The amendments included a withdrawal from the entire Gaza Strip, including the Rafah crossing and the Philadelphia crossing.


View: https://x.com/suppressednws/status/1800605042145120726?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Acha uswahili wewe Kobaz!! Hilo ni pendekezo la Biden
 
Mkuu nadhani ukweli unajulikana kipi ni valuable na kipi not.
Suala la ushoga ni NONSENSICAL huwez lifananisha na suala la utawala ama diplomasia.
Kumbe hujui kitu. Sasa nimeelewa. Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe
 
Jidanganye! Nani kakudanganya Israel atasitisha vita na kuwaachia hamas watawale Gaza?
Kwa Israeli atafanya na yuko hoi ..anatamani Sana ashinde lakin wapi .Israeli wanajeshi wakiienda vitan wwnasain posho za maana .hama anapigana kwa uzalendo na hana cha kupiteza ..Israel ameshaaconsume kila kitu cha akiba
 
Netanyahu peke yake ndio analazimisha vita ili kulinda maslahi yale ya utawala.
Maana anajua vita ikiisha utawala wake matatani.
Viongozi na raia wao washaona inatosha.
Maana katika miaka yote toka 1948 Israel sasa inapitia hali ngumu kiasi bandari hazifanyi kazi na kuna miji mathalan Galilee mpakani na Lebanon kumehamwa.
Ila kijana unaeongea kishabiki huwezi lijua hili,Israel ishachoka vita ila Netanyahu ndio analazimisha vita.
Uchumi upo negative 7 huko
 
Nyie watu ni waajabu sana.
Mnaelewa lugha lakini, maana akili zenu zinawaza kuchamba tu.
Hao kobazi wenzenu wamekubali masharti yote ya Israel wameomba baadhi ya vipengele virekebishwe.
Nyie mnasema Israel kaomba ceasefire.
Aombe ceasefire huku anawachapa km anaua mende.
Nyie ni wendawazimu.
 
Kwa Israeli atafanya na yuko hoi ..anatamani Sana ashinde lakin wapi .Israeli wanajeshi wakiienda vitan wwnasain posho za maana .hama anapigana kwa uzalendo na hana cha kupiteza ..Israel ameshaaconsume kila kitu cha akiba
Mmmhh
 
UN ndio hii hii iliyoshindwa kukemea Hamas na kuwaamuru waachie japo Mateka Wazee,Wanawake na Watoto!
Amnesty Inajua kudeal na Watoto wa waarabu tu kwa taarifa za uongo za Hamas pale nje ya Hospital Hamas wameshikwa na picha za watoto wa nchi mbali mbali wakidai watoto wao.. All muslims are lie

Yah wanarusha Mawe sababu wamefundishwa kuchukia Wayahudi kuanzia utotoni mwao even Muslim wanaenda Mecca kuhiji wanaambiwa wabebe mawe wampige Shetani kwa akili za kawaida wamekuwa brainwashed Shetani anaishi Mecca kaaba na nyumba yake ipo pale kwa historia ndio nyumba ya Allah wanachezewa akili Allah ndie Shetani.

Nadhani wewe ndio hujui kitu kasome sheria za kimataifa nani anahusika na jukumu la ulinzi maeneo ya Judea na Samaria... humu jf kumejaa mashabiki maandazi meupe kwenye bongo zao. Even Hamas wanakushinda akili watatambua Jukumu la Israel kuwalinda ila wao ndio hawataki.. Bunju hawajambo huko ulipo.

Use your brain to think big not uharo

Labda walitumia akili zako kutamka hayo maneno.. even Tanzania zipo jela za Watoto ad kila nchi... usifikiri sheria hamna ukiwa mtoto ukaua au ukatukana au ukasababisha ukosefu wa amani utashikwa na kuna nchi waeza wekwa kwenye uangalizi hadi utimize umri wa adult unaenda jela ya watu wazima... kasome sheria Madrassa zimewachelewesaha kupata akili shukuruni sisi tupo hai tunawapa elimu

Soma Juu hapo nimeandika anayehusika na Ulinzi Judea na Samaria provinces in the matter of national security.
Still unaandika uharo.
Jukumu la ulinzi sio ndani ya mipaka ni katika mipaka baina ya Westbank na Israel kenge wewe.
Kuna jela za watoto ila IDF inawafungia watoto jela za jeshi.
TANZANIA UMEWAHI ONA MTOTO ANAFUNGWA JELA ZA WATU WAZIMA!?

Inamaana wewe na Amnesty wewe una akili kuliko Amnesty!?
Fala kweli wewe wa kutupwa.
Kipindi unalaumu UN wameshindwa kuwaambia Hamas waruhusu hata mateka wazee je hao UN WALIKEMEA AUGUST KIPINDI IDF WANAVUNJA NYUMBA JENIN NA KUCHOMA MASHAMBA YA WAPALESTINA JENIN MNAMO AUGUST!?
AU HUJUI UGOMVI ULIANZA AUGUST!?
KICHWANI MWEUPE WEWE BOGUS.

🤣🤣🤣🤣🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Ona huyu makalio,yani watoto wa nchi nyingine wafate nini Gaza!?
Una akili timamu wewe!?
Gaza kuwe na vita halafu watoto wa taifa lingine waingie Gaza!?
Una akili timamu!?
Picha zote zilizochukuliwa zimechukuliwa na UN na AMNESTY INTERNATIONAL.
Wewe ni kapuku tu unayekaa Tandale hapo hukuwahi kukanyaga Gaza wala Israel.UN na AMNESTY wapo Gaza na Israel na wote hao wamekusanya ushahidi.

Nakupa homework,nenda kamsome waziri wa haki za kibinadamu wa SPAIN alipata ushahidi wa uonevu wa Israel kwa Palestina akiwa kakanyaga Gaza.
Zwazwa wewe .
 
Kumbe hujui kitu. Sasa nimeelewa. Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe
Naona unakaza fuvu.
Wacha nikuache na kitu cha mwisho,kaa na watu wazima waulize,maandamano ya haki za ushoga na maandamano ya kuleta mabadiliko ya nchi yapi yanafaa na yana mantiki!?
Nahisi una upeo mdogo wa kung'amua mambo.
Uwe na wakati mwema.
 
Naona unakaza fuvu.
Wacha nikuache na kitu cha mwisho,kaa na watu wazima waulize,maandamano ya haki za ushoga na maandamano ya kuleta mabadiliko ya nchi yapi yanafaa na yana mantiki!?
Nahisi una upeo mdogo wa kung'amua mambo.
Uwe na wakati mwema.

Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
 
Back
Top Bottom