Hamas wamepora chakula chote kwenye magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi (UNRWA), Shirika lawatupia lawama Israel

Hamas wamepora chakula chote kwenye magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi (UNRWA), Shirika lawatupia lawama Israel

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1731954979900.png


Msafara wa magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi, ulivamiwa, madereva walitishiwa bunduki washuke, misaada yote imeibiwa, magari 97 hayaonekani.

Baadhi ya magari yalibeba ngano iliyotakiwa kupelekwa kwenye viwanda vya ngano vya umoja wa matafa Gaza, viwanda hivi vimeathirika sana kwa kukosa malighafi muhimu ya kutengeneza chakula cha kuwasaidia wapalestina

Shirika hilo limewalalamikia Israel kwamba hawakutoa ulinzi wa kulinda msafara dhidi ya waporaji (Hamas ndio wenye nguvu ya kufanya haya mambo)

Ushahidi wa Hamas wanapora chakula

Hamas wakipora chakula wanatunza kwenye magodauni yao, Hii ni baada ya walinzi wa godauni kuona jeshi la Israel linawakaribia wakatimua mbio, wapalestina wameingia kujisevia, Gaza ni sherehe.



Misaada ya chakula wanaipeleka kwenye mahandaki



Hutumia misaada kufyatulia makombora

 
Propaganda hao wanaoiba misaada hawana uhusiano wowote na hamas na juzi tu hapa hao waiba misaada walizichapa na hamas hao ni pro zayuni
Hamas wao wanajificha chini kwenye mahandaki, wanawaacha wapalestina juu ya sakafu watashindwaje kuwaibia chakula?

Mke wa Yahya Sinwar pochi zake milioni 80+, Pesa za misaada ni kuwajili ya Hamas na familia zao
 
Hao sio hamas hao ni settlers wa Kizayuni wanavamia misaada isiwafikie wapalestina wanabaraka zote za IDF tena wanapewa location. Kilichotokea jana hamas kawafurahisha katembeza AK kafagia 20 wengine wanaendelea kufa kwa majeraha nadhani adabu itawarejea
 
Hao sio hamas hao ni settlers wa Kizayuni wanavamia misaada isiwafikie wapalestina wanabaraka zote za IDF tena wanapewa location. Kilichotokea jana hamas kawafurahisha katembeza AK kafagia 20 wengine wanaendelea kufa kwa majeraha nadhani adabu itawarejea
Tokalini IDF wakavaa kama Hamas, yaani mwaka huu hadi kieleweke
Hakuna kusitisha vita
 
Hamas wao wanajificha chini kwenye mahandaki, wanawaacha wapalestina juu ya sakafu watashindwaje kuwaibia chakula?

Mke wa Yahya Sinwar pochi zake milioni 80+, Pesa za misaada ni kuwajili ya Hamas na familia zao
Hamas wameshare footage wakiwafyeka magaidi waizi wanaoungwa mkono na utawala dhwaalim wa israhell
 
Hao sio hamas hao ni settlers wa Kizayuni wanavamia misaada isiwafikie wapalestina wanabaraka zote za IDF tena wanapewa location. Kilichotokea jana hamas kawafurahisha katembeza AK kafagia 20 wengine wanaendelea kufa kwa majeraha nadhani adabu itawarejea
Hamas kawafyeka waizi wa misaada
 
Hamas ni wapumbavu sana,Raia wa Gaza wanatakiwa washtuke na kusaidiana na IDF ili kuyaondoa Magaidi hayo hatari.
 
Back
Top Bottom