Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MP wapo kawe huko wanakimbizana na RaiaHao wazayuni,wanapiga wapi...?
Kwanini makomandoo wao wasiende kusakomboa?
Vita hivi vinachanganya sana.
Sisi kuhusu wale majamaa wawili,watumwe MP wawili wa Lugalo,waende wakawakomboe watanzania wenzetu.
Fala wwHao wazayuni,wanapiga wapi...?
Kwanini makomandoo wao wasiende kusakomboa?
Vita hivi vinachanganya sana.
Sisi kuhusu wale majamaa wawili,watumwe MP wawili wa Lugalo,waende wakawakomboe watanzania wenzetu.
Vita ya Gaza ni ngumu, wakienda kienyeji utakuwa ni uhalifu wa kivita kwani raia wamegoma kuhama walipi Hamas.Hao wazayuni,wanapiga wapi...?
Kwanini makomandoo wao wasiende kusakomboa?
Vita hivi vinachanganya sana.
Sisi kuhusu wale majamaa wawili,watumwe MP wawili wa Lugalo,waende wakawakomboe watanzania wenzetu.
Wabadilishane, uhai ni bora zaidiWanakumbi
Mkuu wa Hamas anasema mkataba wa kubadilishana lazima uhusishe wafungwa wote wa Palestina katika magereza ya Israeli.
Inasema inawashikilia mateka zaidi ya 200 wa Israeli Gaza wakiwemo askari na raia
CHANZO; ALJAZERA
MP wapo kawe huko wanakimbizana na Raia
Mark ma word. Hawa jamaa watawaachia soon bila mashart.Wanakumbi
Mkuu wa Hamas anasema mkataba wa kubadilishana lazima uhusishe wafungwa wote wa Palestina katika magereza ya Israeli.
Inasema inawashikilia mateka zaidi ya 200 wa Israeli Gaza wakiwemo askari na raia
CHANZO; ALJAZERA
Unaleta mambo ya kwenye movie boss wangu maana kwenye movie wanatumwa makomandoo 3 tuHao wazayuni,wanapiga wapi...?
Kwanini makomandoo wao wasiende kusakomboa?
Vita hivi vinachanganya sana.
Sisi kuhusu wale majamaa wawili,watumwe MP wawili wa Lugalo,waende wakawakomboe watanzania wenzetu.
Subir historia. Hicho kipondo kinachoendelea wataongea tu.Fuatilia historia ndiyo utajua Hamas akamate Muisrael amuachie bila masharti?
Mchawi lughaBREAKING: Israeli PM's office says the government is firmly opposed to a ceasefire
Mbona Kuna wale watatu wameachiwa bila mashariti yoyote?Fuatilia historia ndiyo utajua Hamas akamate Muisrael amuachie bila masharti?
Hamas wasifanye kosa la kutaka kubadilisha mateka wa Israel kwa wafungwa wao.Hiyo ni faida ndogo sana kwa faida kubwa wanayoweza kupata kwa kuawashikilia mateka walionao mpaka mwishoWanaukumbi
Mkuu wa Hamas anasema mkataba wa kubadilishana lazima uhusishe wafungwa wote wa Palestina katika magereza ya Israeli.
Inasema inawashikilia mateka zaidi ya 200 wa Israeli Gaza wakiwemo askari na raia
CHANZO; ALJAZERA