Hamas wamesema lazima tubadilishane mateka na wafungwa wa Kipalestina

Hamas wamesema lazima tubadilishane mateka na wafungwa wa Kipalestina

Kwamba?

"Ila likelihood ya hiyo karata kufanikiwa kipindi hiki ni ndogo sana."

Hebu uuangalie tena halafu uangalie na picha hizi kisha jipige kifuani mara tatu ukipenda kujipongeza:

"Unasimama hivyohivyo kama ambavyo ulisimama niliposema."

View attachment 2824187

View attachment 2824188
Kaa chini utafakari kinachoendelea Gaza hivi sasa pamoja na vifo vya maelfu ya Wapalestina wakiwemo wanamgambo wa Hamas, jumlisha na hao mateka 50, ndio gharama sahihi iliyohitajika kulipwa na Hamas ili kuwakomboa wafungwa 150 wa Kipalestina kutoka Israel?

Ukimaliza, simama kisha kaa tena chini utafakari kuhusu kile nilichokisema awali kabisa.
 
Face of Zionist VS Hamas.
Huyo Hamasi mbona analazimisha kumshika mtoto wakati uso wa mtoto unaonekana wazi yupo terrified na hataki hata kuguswa na Gaidi.Hayo ma musk yanawafanya waonekane kama Zombie/ Vampire na wanawatisha watoto
 
Wamebadilisha wakawaua njiani.
Hao mnaita mazayuni wanakuja tena.
Na msiombe po
 
😂😂😂 umekataa kabisa kumtaja aliyekutoa bikra daah
Ulivyo jangiri utamuua tu ila kwa kuwa umenilazimisha nimtaje basi nitamtaja, ni huyo mkeo na tulibikiriana pale shuleni Makumbusho
 
Back
Top Bottom