Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkumbuka na demu aliyenitoa bikra na sehemu yenyewe pia. Wewe mtoto ni hasara kwa taifa letu kwa kweli, mshukuru baba yako tu kuuza nchi yetu kwa wachuna. Ulikuwa unanyongwa wewe kwa ujinga wako wa kuuza madawa. Hivi umeacha au bado upo upo tu.Kwani wewe bikra yako ulitolewa lini? Unamkumbuka aliyekutoa ? Mzee wa uharo yake ilitollewa Kericho na Mmeru.
😂😂😂 umekataa kabisa kumtaja aliyekutoa bikra daahNamkumbuka na demu aliyenitoa bikra na sehemu yenyewe pia. Wewe mtoto ni hasara kwa taifa letu kwa kweli, mshukuru baba yako tu kuuza nchi yetu kwa wachuna. Ulikuwa unanyongwa wewe kwa ujinga wako wa kuuza madawa. Hivi umeacha au bado upo upo tu.
= wanawashikiliaHuenda Hamas ndio wanawashikiria raia ili iwe kisingizio
"Necessity is the mother of invention".Mkuu, Hamas inaonyesha wana ufadhili mkubwa sana, kuwa na mji chini ya ardhi sio jambo dogo.
Kuchimba njia za urefu wa 500km chini ya ardhi ni sawa na kutoka Moshi klm hadi Dar
Kupiga mahospitali, misikiti, makanisa na kuuwa raia wasio na hatia siyo ugaidi?Ugaidi ni matendo. Hata ndani ya nchi raia wanaweza anza kufanya ugaidi
Haujaona inamaana kichapo walichochezea mitaani mazayuni mpaka wakasalimu amri?Unasimama hivyohivyo kama ambavyo ulisimama niliposema.
Unaelewa maana ya "shaheed"?binafsi natamani wapalestina wangeendelea kuishi kule jela, kwasababu leo wametoka, inaweza isichukue muda watapigwa mabom au bunduki ya waisrael, watakufa bure, sasa bora nini? vita bado inaendelea.
Kwani HAMAS hawafanyi hayo?Kupiga mahospitali, misikiti, makanisa na kuuwa raia wasio na hatia siyo ugaidi?
Hawafanyi hayo kabisa, Hamas, kama si wote, basi wengi wao ni Waislam.Kwani HAMAS hawafanyi hayo?
Mtume si aliwakatazeñi kuua mateka, mbona nyie mnaua mateka? Kijana wa Kitanzania aliwakoseeni nini hadi mkamuua?Hawafanyi hayo kabisa, Hamas, kama si wote, basi wengi wao ni Waislam.
naelewa sana. ni doctrine ambayo mood aliwadanganya inayowafanya mnakufa mkiamini mnaenda pazuri, kumbe mnaenda motoni moja kwa moja pamoja na mood mwenyewe. natamani Mungu awafungue macho mjue hili.Unaelewa maana ya "shaheed"?
Unasimama hivyohivyo kama ambavyo ulisimama niliposema.
Yaani wewe na Keypad yako unajua kuliko HAMAS wenyewe walioko field na wana uzpefu wa miaka zaidi ya 20.Hamas wasifanye kosa la kutaka kubadilisha mateka wa Israel kwa wafungwa wao.Hiyo ni faida ndogo sana kwa faida kubwa wanayoweza kupata kwa kuawashikilia mateka walionao mpaka mwisho
Masharti yao yawe mawili
Shartila mwanzo ni kuachiwa raia wote wanawake na watoto kwa kusitishwa vita na kurudishwa huduma zote za kijamii.
Shari la pili ili kuachiwa askari na mateka waliobaki ni kurudisha nyuma askari wote walioingia Gaza.
Masharti hayo yatasaidia kwa muda tu kwani Israel si watekelezaji wa ahadi
.Hamas katika kipindi cha mwaka mmoja waangalie mwenendo wa kuundwa kwa serikali ya Palestina yenye mamlaka kamili na bila kuweka shinikizo la kumpa madaraka Mahmoud Abbas.Kwa maana Hamas wawe ni sehemu ya serikali hiyo.
Kama masharti hayo hayatotekelezwa waweke wazi kuwa wataandaa shambulio jengine kama la Oktoba 7.