kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Mi niko Dubai mji ali Alain hapa mkuu wala sio mtoto. Ila nachosema Hamas wapuuz huwez kulianzisha halafu unajificha nyuma ya wake zao. Sasa watoto wanakufa na wanawake kwa upuuz wao. Umesahau vita wameanzisha wao kakaKipondo wanapiga raia watoto na wanawake umri wako mdogo hujui chochote kuhusu Mashariki ya Kati zaidi ushabiki mandazi.