Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu

Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hali isiyotarajiwa imetokea mapema jana baada ya makombora sita ya masafa marefu kurushwa kutoka Gaza kuelekekea jiji la Jeusalem ambako ndiko ziliko nyumba mbili za waziri mkuu wa Israe.

Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.

Tukirudi kwenye makombora hayo ,ving'ora vilihanikiza jiji lote na kusababisha watu kukimbilia kwenye mashimo ambayo kikawaida huwa hayako mbali na barabara kote jijini humo.

Kati ya makombora 6 nusu tu ndiyo yaliyodakwa na Iron dome na mawili kukosa shabaha yake japo yalitua kwenye majengon na kuleta madhara madogo. Moja kati ya hayo matatu lilichukua kasi zaidi na likipitiliza jijini hapo na kutua mashambani nje ya jiji.

Mwandishi wa shirika la habari la China,Xinhua alishuhudia kikosi cha uokoaji cha Magen David Adom kikimbia huku na huko kufuatilia miripuko ya makombora hayo ili kujaribu kuokoa watu kama kungetokea madhara zaidi.

Kumbuka makombora hayo yamerushwa kutoka ndani ya Gaza na huenda ni kaskazini yake ambako jeshi la Israel lipo huku na vifaru na askari kadhaa na ni katika mwezi wa tatu tangu vita hivyo vilipoanza ikitarajiwa Hamas wamedhoofika kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuwapiga.

Hamas claims rocket attack in Jerusalem

1702714882214.png
 
Hali isiyotarajiwa imetokea mapema jana baada ya makombora sita ya masafa marefu kurushwa kutoka Gaza kuelekekea jiji la Jeusalem ambako ndiko ziliko nyumba mbili za waziri mkuu wa Israe,Benjamin Netanyahu.
Ving'ora vilihanikiza jiji lote na kusababisha watu kukimbilia kwenye mashimo ambayo kikawaida huwa hayako mbali na barabara kote jijini humo.
Kati ya makombora 6 nusu tu ndiyo yaliyodakwa na Iron dome na mawili kukosa shabaha yake japo yalitua kwenye majengon na kuleta madhara madogo. Moja kati ya hayo matatu likipitiliza jijini hapo na kutua mashambani nje ya jiji.
Mwandishi ya shirika la habari la China,Xinhua alishuhudia kikosi cha uokoaji cha Magen David Adom kikimbia huku na huko kufuatilia miripuko ya makombora hayo ili kujaribu kuokoa watu kama kungetokea madhara zaidi.
Kumbuka makombora hayo yamerushwa kutoka ndani ya Gaza na huenda ni kaskazini yake ambako jeshi la Israel lipo huku na vifaru na askari kadhaa na ni katika mwezi wa tatu tangu vita hivyo vilipoanza ikitarajiwa Hamas wamedhoofika kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuwapiga.

Hamas claims rocket attack in Jerusalem

View attachment 2843887
Safi sana Mpalestina wa Kimanzi chana, sasa nawe rusha makombora hapo Mwitongo, usije kusema sikukwambia lakini......

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wewe hiyo simu yako ina kazi gani kama taarifa kama hizi hupati? Kwenye simu yako hakikisha una apps za habari za kimataifa ili usiwe unauliza uliza maswali kama haya unaonekana kuwa shallow.
Achana na apps, Nipo na tazama aljazeera hapa hio taarifa sijaoona,

sana sana ni claims kama wanazotoa wayahudi kuwashika hamas

Umeelewa lakini?
 
aLjazeera wenyewe wakati mwengine wanapokea habari nyeti kutoka kwa alqassam japo wana waandishi wao wa habari.
Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.

Nipo natafuta hii habari sio source uliyoleta wala time for israel, wala aljazeera sioni!

Umepata wapi hizo taarifa?
 
Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.

Nipo natafuta hii habari sio source uliyoleta wala time for israel, wala aljazeera sioni!

Umepata wapi hizo taarifa?
Umesomea wapi taaluma kama za uandishi wa habari na mantiq
Najua huna taaluma hizo ndio maana unasubiri majibu kama yale ya wanafunzi wetu wa std 7 mpaka form six. Jaza a au b.
Makombora ya Hamas sio lazer guided lakini wakirusha eneo wanawaza kupiga maeneo nyeti kama ya Netanyahu au uwanja wa ndege wa Ben Gurion.Wakikosa shabaha matokeo yake ndio kama hayo mji mzima kizaazaa.
 
Mpigie Netanyahu mwambie jana alijificha wapi, nyumba zake mbili zipo tupu, atakupa habari.



View: https://youtu.be/MDArOUNHt2c?si=B5Yn50RVw1avsx7O

Umesomea wapi taaluma kama za uandishi wa habari na mantiq
Najua huna taaluma hizo ndio maana unasubiri majibu kama yale ya wanafunzi wetu wa std 7 mpaka form six. Jaza a au b.
Makombora ya Hamas sio lazer guided lakini wakirusha eneo wanawaza kupiga maeneo nyeti kama ya Netanyahu au uwanja wa ndege wa Ben Gurion.Wakikosa shabaha matokeo yake ndio kama hayo mji mzima kizaazaa.
Kinachonishangaza hizi taarifa umezipata wapi?

Si aljazeera reporters wake wakisema kuhusu netanyhau kuhama, wala media yoyote ile.

Wewe umepata wapi hizo taarifa?
 
Umesomea wapi taaluma kama za uandishi wa habari na mantiq
Najua huna taaluma hizo ndio maana unasubiri majibu kama yale ya wanafunzi wetu wa std 7 mpaka form six. Jaza a au b.
Makombora ya Hamas sio lazer guided lakini wakirusha eneo wanawaza kupiga maeneo nyeti kama ya Netanyahu au uwanja wa ndege wa Ben Gurion.Wakikosa shabaha matokeo yake ndio kama hayo mji mzima kizaazaa.
Kuwaza kupiga maeneo nyeti si tatizo.
Una ripoti vipi kitu ambacho hakuna sehemu yoyote kimeandikwa?


Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.

Nataka unitafutie hii taarifa netanyhau kahamia kwa rafiki yake mmarekani? Umezipata wapi?
 
Back
Top Bottom