Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
We unapata faida gani kuwatetea magaidi ya hamas?
God bless Hamas
God bless palestine 🇵🇸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unapata faida gani kuwatetea magaidi ya hamas?
Halafu mtu akisema Mungu aibariki Israel unamuona wa ovyo si ndio!God bless Hamas
God bless palestine 🇵🇸
Hujaijua vzr hii vita. That was simply a justification of why Israelis should continue bombing Gaza!!. Rocket zote zimerushwa na Waisraeli wenyewe. Mchezo kama huo, aliutumia sana Bush Junior kushinda uchaguzi wa pili wa Uraisi,. Siku chache kabla ua Uchaguzi, ilitokea milipuko kadha iliyodhaniwa ni ya Kigaidi nchini Marekani. Na kwa vile Bush alionekana kuimudu vyema Alqaeda ya kina Osama na Zawahir, ikawa justification tosha aendelee ili kukamilisha ufutishaji wa ugaidi wa alqaeda.Wanaowaza kwamba hamas itafutika basi watafutika wao