Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu

Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu

Point yangu ni kwamba, weye Kama wataka habari ambazo hazipatikani media zote duniani, lakini zahusu Israel inavyopigwa, karibu Masjidi
Masijidi ni sehemu ya kutoa habari za israel au ni pa kusali kumuomba allah?

Pointi yako ni ipi ?
 
Ikiwa Samia anakaa Dar utakuwa umepiga nyumbani kwa nani wakati Dar yote ni yake.
Ukipiga ukanitaja mimi wala hutafahamika kuwa umenipiga mimi.
Mara ngapi BBC wanaripoti Putin kapiga nyumbani kwa Zelensky siku anapopiga Zaporinha
Kumbe ndivyo ilivyo hivi?
 
Ikiwa Samia anakaa Dar utakuwa umepiga nyumbani kwa nani wakati Dar yote ni yake.
Ukipiga ukanitaja mimi wala hutafahamika kuwa umenipiga mimi.
Mara ngapi BBC wanaripoti Putin kapiga nyumbani kwa Zelensky siku anapopiga Zaporinha
Wewe mpaka sasa hujui unachotetea
 

Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu.​

Soma na hiyo habari uliyoileta.
Umechanganyikiwa mno.Mbona hukukubali mwanzo kuwa ulikuwa umepitwa na matukio nilipokuonesha jinsi Netanyahu alivyojificha nyumbani kwa rafiki yake.
Hamas warrusha makombora sita nyumbani kwa Netanyahu ni Kiswahili.Kwa kiingereza unaweza ukasema
Hamas fires 6 rockets towards Netanyahu home city.
Ujumbe utakuwa ni huo huo kwamba Netanyahu anawindwa na Hamas na walikusudia kumpelekea salamu kwamba tukikupata tutakupiga.
Unaposikia wakenya wakisema Nilikwenda kwa nyumba ya baba jana huwa unafahamu vipi.ukimtaka akupe tafsiri ya uzi huu atakwambia
Hamas wamepiga kwa nyumba ya Netanyahu
 
nyumbani kwa Netanyahu ni Kiswahili.Kwa kiingereza unaweza ukasema
Hamas fires 6 rockets towards Netanyahu home city.
Umechanganyikiwa sana.
Netanyhau’s house

Netanyhau home city ni sentensi nyingine wewe umesoma wapi?
 
Hamas fires 6 rockets towards Netanyahu home city.
Hamas claims rocket attack towards jerusalem.
Ndugu yangu umesoma wapi?

Taarifa inasema jerusalem wewe unasema nyumbani kwa netanyhau na bado unapigana?

Mbona umesema netanyhau amekimbia? Hujui decamped ni nini?
 
Hamas claims rocket attack towards jerusalem.
Ndugu yangu umesoma wapi?

Taarifa inasema jerusalem wewe unasema nyumbani kwa netanyhau na bado unapigana?

Mbona umesema netanyhau amekimbia? Hujui decamped ni nini?
Kwani nyumba za Netanyahu ziko mji gani?
Wewe mwenyewe umetoka kijiji fulani Arusha. tunasema huko ndio nyumbani kwenu ,Siku mafuriko yakitokea tutasema mafuriko yametokea nyumbani kwa passion-amal.
Tofauti iko wapi tukisema kombora la Hamas limerushwa nyumbani kwa Netanyahu.
Kwa ufupi achana na mimi.
hamas wamerusha makombora sita nyumbani kwa Netanyahu.
Kama haijakupendeza kazi ya Hamas peleka dome zako zikaziangushe zitakazofuatia.
 
Kwani nyumba za Netanyahu ziko mji gani?
Wewe mwenyewe umetoka kijiji fulani Arusha. tunasema huko ndio nyumbani kwenu ,Siku mafuriko yakitokea tutasema mafuriko yametokea nyumbani kwa passion-amal.
Tofauti iko wapi tukisema kombora la Hamas limerushwa nyumbani kwa Netanyahu.
Kwa ufupi achana na mimi.
hamas wamerusha makombora sita nyumbani kwa Netanyahu.
Kama haijakupendeza kazi ya Hamas peleka dome zako zikaziangushe zitakazofuatia.
Correspondent yeyote ambaye ni professional hawezi tumia hasty of generalization.

Ndio maana weww umetunga kuhusu nyumba za netanyhau kupigwa lakini mwenye kazi yake kaandika hamas claims attacks towards jerusalem nafikiri umeona utofauti wako na wenye career zao.

Ahsante kwa kujifunza karibu tena.
 
Hali isiyotarajiwa imetokea mapema jana baada ya makombora sita ya masafa marefu kurushwa kutoka Gaza kuelekekea jiji la Jeusalem ambako ndiko ziliko nyumba mbili za waziri mkuu wa Israe.

Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.

Tukirudi kwenye makombora hayo ,ving'ora vilihanikiza jiji lote na kusababisha watu kukimbilia kwenye mashimo ambayo kikawaida huwa hayako mbali na barabara kote jijini humo.

Kati ya makombora 6 nusu tu ndiyo yaliyodakwa na Iron dome na mawili kukosa shabaha yake japo yalitua kwenye majengon na kuleta madhara madogo. Moja kati ya hayo matatu lilichukua kasi zaidi na likipitiliza jijini hapo na kutua mashambani nje ya jiji.

Mwandishi wa shirika la habari la China,Xinhua alishuhudia kikosi cha uokoaji cha Magen David Adom kikimbia huku na huko kufuatilia miripuko ya makombora hayo ili kujaribu kuokoa watu kama kungetokea madhara zaidi.

Kumbuka makombora hayo yamerushwa kutoka ndani ya Gaza na huenda ni kaskazini yake ambako jeshi la Israel lipo huku na vifaru na askari kadhaa na ni katika mwezi wa tatu tangu vita hivyo vilipoanza ikitarajiwa Hamas wamedhoofika kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuwapiga.

Hamas claims rocket attack in Jerusalem

View attachment 2843887
Wakijibiwa wasiseme wanaua watoto
 
Kinachonishangaza hizi taarifa umezipata wapi?

Si aljazeera reporters wake wakisema kuhusu netanyhau kuhama, wala media yoyote ile.

Wewe umepata wapi hizo taarifa?
Huyo si mke wa kiongozi wa hamas
 
Inadawa kuwa kuna tume maalum ya uchunguzi inaundwa kwajili ya tukio hilo taarifa itatolewa.
Yaani hamas wavamie kisha muda huo huo jeshi la Israel liuwe watu wake, inamaana jeshi lilishajipanga kufanya hivyo. Mbona haiingii akilini hii! Hiyo tume inaundwa wapi?
 
Back
Top Bottom