passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Nakushauri uwe unaangalia vyanzo mbalimbali vya habari usiwe na chombo kimoja tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu bila kujali dini yake hawezi kusapoti unyama wanaofanyiwa raia wa Gaza. Jifikirie mara 2Ni swala la kimantiki kwa mkristo kusapot wazayuni na sio inshu ya imani.
Kama ni imani mazayuni si wakristo. Tunasimama na wazayuni kama vile tulivyosimama na Waislam wa China walivyokuwa wanakandamizwa.
Ni fact kuwa wazayuni hapo ni kwao, why tusiwasapoti?.
Sijawai ona wazayuni wakichinja watu kwasababu tu sio wa Imani yao.
Sijawao ona wazayuni waki-down throat agenda zao ila waislamu mnafanya hivyo.
Bado unawashangaa watu wema kuwasapoti wayaudi ila wewe ujishangai kuwa mfuasi wa Muhammad mchinjaji na vandarist?.
Muhammad alikuwa anabadilisha watumwa weusi wawili kwa mtumwa mmoja wa Kizungu mbona ila mpo tayari kuua yoyote anaempinga? At the time ukiona mtu anasapot wazayuni kutetea ardhi yao unachukia!!
Unawachukia wayaudi kwasababu zako za Kijinga tu.
Hayo ni maelezo baada ya habari. Habari kuu ni Jerusalem jana imepigwa makomboraBenjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.
Nakupa ruhusa tafuta chombo chochote habari hiyo ipo?
Au inasema nyumba za netanyhau?
Huwa ninapingana na watu kuleta taarifa za kwao!
Umeelewa point lakini?
Hii ndiyo source aliyotumia👇Nakushauri uwe unaangalia vyanzo mbalimbali vya habari usiwe na chombo kimoja tu.
sasa kuna shida gani kusema makombora jana yalipigwa israel mpaka uanze kudanganya kuhusu netanyhau kujificha kwa rafiki yake na wakati tarifa aisemi hivyo?Hayo ni maelezo baada ya habari. Habari kuu ni Jerusalem jana imepigwa makombora
Hakika 💯Mtu yeyote mwenye akili timamu bila kujali dini yake hawezi kusapoti unyama wanaofanyiwa raia wa Gaza. Jifikirie mara 2
Sijui umekurupuka kutoka maeneo gani huko Morogoro ambaye hujapata hizo taarifa,Haya soma hapo chini basiKinachonishangaza hizi taarifa umezipata wapi?
Si aljazeera reporters wake wakisema kuhusu netanyhau kuhama, wala media yoyote ile.
Wewe umepata wapi hizo taarifa?
Unatia huruma kwa kweliKuwaza kupiga maeneo nyeti si tatizo.
Una ripoti vipi kitu ambacho hakuna sehemu yoyote kimeandikwa?
Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.
Nataka unitafutie hii taarifa netanyhau kahamia kwa rafiki yake mmarekani? Umezipata wapi?
Nishakupa hizo link hebu tulia usome kwanza halafu futa huo upumbavu wakoBenjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.
Nakupa ruhusa tafuta chombo chochote habari hiyo ipo?
Au inasema nyumba za netanyhau?
Huwa ninapingana na watu kuleta taarifa za kwao!
Umeelewa point lakini?
ok sasa tunataka tuone nyumba ya netanyhau zimepigwa?Nishakupa hizo link hebu tulia usome kwanza halafu futa huo upumbavu wako
Si uwa tunaambiwa Hamas wanakimbilia kwenye Mahdaki kumbe nao pia wamekimbilia kwenye mashimo😂Hali isiyotarajiwa imetokea mapema jana baada ya makombora sita ya masafa marefu kurushwa kutoka Gaza kuelekekea jiji la Jeusalem ambako ndiko ziliko nyumba mbili za waziri mkuu wa Israe.
Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.
Tukirudi kwenye makombora hayo ,ving'ora vilihanikiza jiji lote na kusababisha watu kukimbilia kwenye mashimo ambayo kikawaida huwa hayako mbali na barabara kote jijini humo.
Kati ya makombora 6 nusu tu ndiyo yaliyodakwa na Iron dome na mawili kukosa shabaha yake japo yalitua kwenye majengon na kuleta madhara madogo. Moja kati ya hayo matatu lilichukua kasi zaidi na likipitiliza jijini hapo na kutua mashambani nje ya jiji.
Mwandishi wa shirika la habari la China,Xinhua alishuhudia kikosi cha uokoaji cha Magen David Adom kikimbia huku na huko kufuatilia miripuko ya makombora hayo ili kujaribu kuokoa watu kama kungetokea madhara zaidi.
Kumbuka makombora hayo yamerushwa kutoka ndani ya Gaza na huenda ni kaskazini yake ambako jeshi la Israel lipo huku na vifaru na askari kadhaa na ni katika mwezi wa tatu tangu vita hivyo vilipoanza ikitarajiwa Hamas wamedhoofika kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuwapiga.
Hamas claims rocket attack in Jerusalem
View attachment 2843887
Unatia huruma sanaok sasa tunataka tuone nyumba ya netanyhau zimepigwa?
Unaweza kuzileta?
Hio taarifa umeisoma?
Sheria ya ujenzi wa nyumba na barabara nchini Israel unatakiwa lazima ujumuishe na handaki litakuwa wapi.Si uwa tunaambiwa Hamas wanakimbilia kwenye Mahdaki kumbe nao pia wamekimbilia kwenye mashimo😂
Kwani taarifa si umeisoma? Aliondoka kwasababu gani si wametoa sababu?Umekubali kuwa Netanyahu alihama nyumbani kwake na alihamia kwenye nyumba ya rafiki yake sasa un
In Shaa AllahWanaowaza kwamba hamas itafutika basi watafutika wao
Hayo maneno wakikusikia IDF wanaweza kukupiga risasi au bomu, kila siku wanaokota maiti za wanajeshi wao na kuzirudisha Israel.
Mtu yeyote mwenye akili timamu bila kujali dini yake hawezi kusapoti unyama wanaofanyiwa raia wa Gaza. Jifikirie mara 2