nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Point yangu ni kwamba, weye Kama wataka habari ambazo hazipatikani media zote duniani, lakini zahusu Israel inavyopigwa, karibu MasjidiMkuu,
Mimi ni passion_amo1
Hivyo umeongea uongo!
Point yako ni ipi?
Masijidi ni sehemu ya kutoa habari za israel au ni pa kusali kumuomba allah?Point yangu ni kwamba, weye Kama wataka habari ambazo hazipatikani media zote duniani, lakini zahusu Israel inavyopigwa, karibu Masjidi
Kumbe ndivyo ilivyo hivi?Ikiwa Samia anakaa Dar utakuwa umepiga nyumbani kwa nani wakati Dar yote ni yake.
Ukipiga ukanitaja mimi wala hutafahamika kuwa umenipiga mimi.
Mara ngapi BBC wanaripoti Putin kapiga nyumbani kwa Zelensky siku anapopiga Zaporinha
Wewe mpaka sasa hujui unachoteteaIkiwa Samia anakaa Dar utakuwa umepiga nyumbani kwa nani wakati Dar yote ni yake.
Ukipiga ukanitaja mimi wala hutafahamika kuwa umenipiga mimi.
Mara ngapi BBC wanaripoti Putin kapiga nyumbani kwa Zelensky siku anapopiga Zaporinha
Uwe unafuatilia ukweli wa habari . Watu wale waliuwawa na majeshi ya israeli. Hamas alifuata mateka tu pale hakufuata kuuwa watu.Kwani wale 1200 ambao hamas iliwauwa unawaonaje!
Umechanganyikiwa mno.Mbona hukukubali mwanzo kuwa ulikuwa umepitwa na matukio nilipokuonesha jinsi Netanyahu alivyojificha nyumbani kwa rafiki yake.Hamas warusha makombora 6 nyumbani kwa Netanyahu.
Soma na hiyo habari uliyoileta.
Umechanganyikiwa sana.nyumbani kwa Netanyahu ni Kiswahili.Kwa kiingereza unaweza ukasema
Hamas fires 6 rockets towards Netanyahu home city.
Hamas claims rocket attack towards jerusalem.Hamas fires 6 rockets towards Netanyahu home city.
Sasa na mimi nitafutika? Maana nawaza hivyo hivyo.Wanaowaza kwamba hamas itafutika basi watafutika wao
Kwani nyumba za Netanyahu ziko mji gani?Hamas claims rocket attack towards jerusalem.
Ndugu yangu umesoma wapi?
Taarifa inasema jerusalem wewe unasema nyumbani kwa netanyhau na bado unapigana?
Mbona umesema netanyhau amekimbia? Hujui decamped ni nini?
Correspondent yeyote ambaye ni professional hawezi tumia hasty of generalization.Kwani nyumba za Netanyahu ziko mji gani?
Wewe mwenyewe umetoka kijiji fulani Arusha. tunasema huko ndio nyumbani kwenu ,Siku mafuriko yakitokea tutasema mafuriko yametokea nyumbani kwa passion-amal.
Tofauti iko wapi tukisema kombora la Hamas limerushwa nyumbani kwa Netanyahu.
Kwa ufupi achana na mimi.
hamas wamerusha makombora sita nyumbani kwa Netanyahu.
Kama haijakupendeza kazi ya Hamas peleka dome zako zikaziangushe zitakazofuatia.
Wakijibiwa wasiseme wanaua watotoHali isiyotarajiwa imetokea mapema jana baada ya makombora sita ya masafa marefu kurushwa kutoka Gaza kuelekekea jiji la Jeusalem ambako ndiko ziliko nyumba mbili za waziri mkuu wa Israe.
Benjamin Netanyahu. Kwa hofu ya vitu kama hivyo Netanyahu inajulikana alizihama nyumba zake hizo mwanzoni mwa vita na kuhamia nyumbani kwa raifiki yake Mmarekani ambako kuna handaki la nyuklia.
Tukirudi kwenye makombora hayo ,ving'ora vilihanikiza jiji lote na kusababisha watu kukimbilia kwenye mashimo ambayo kikawaida huwa hayako mbali na barabara kote jijini humo.
Kati ya makombora 6 nusu tu ndiyo yaliyodakwa na Iron dome na mawili kukosa shabaha yake japo yalitua kwenye majengon na kuleta madhara madogo. Moja kati ya hayo matatu lilichukua kasi zaidi na likipitiliza jijini hapo na kutua mashambani nje ya jiji.
Mwandishi wa shirika la habari la China,Xinhua alishuhudia kikosi cha uokoaji cha Magen David Adom kikimbia huku na huko kufuatilia miripuko ya makombora hayo ili kujaribu kuokoa watu kama kungetokea madhara zaidi.
Kumbuka makombora hayo yamerushwa kutoka ndani ya Gaza na huenda ni kaskazini yake ambako jeshi la Israel lipo huku na vifaru na askari kadhaa na ni katika mwezi wa tatu tangu vita hivyo vilipoanza ikitarajiwa Hamas wamedhoofika kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuwapiga.
Hamas claims rocket attack in Jerusalem
View attachment 2843887
Hahahaaa asije sema hukumwambia?Safi sana Mpalestina wa Kimanzi chana, sasa nawe rusha makombora hapo Mwitongo, usije kusema sikukwambia lakini......
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Lengo ni nini jeshi la Israel kuuwa watu wao wote 1200Uwe unafuatilia ukweli wa habari . Watu wale waliuwawa na majeshi ya israeli. Hamas alifuata mateka tu pale hakufuata kuuwa watu.
Yaani nimepuuza hio text!Lengo ni nini jeshi la Israel kuuwa watu wao wote 1200
Inadawa kuwa kuna tume maalum ya uchunguzi inaundwa kwajili ya tukio hilo taarifa itatolewa.Lengo ni nini jeshi la Israel kuuwa watu wao wote 1200
Wazayuni waliopo israhell (ardhi za papelstine zinazokaliwa kimabavu) wanastahili kufyekwa wote ama wahame warejelee walipotokaNa vipi waislamu walio upande wa wqzayuni?
Huyo si mke wa kiongozi wa hamasKinachonishangaza hizi taarifa umezipata wapi?
Si aljazeera reporters wake wakisema kuhusu netanyhau kuhama, wala media yoyote ile.
Wewe umepata wapi hizo taarifa?
Halafu anajiona yeye ndo yupo sahihiYaani nimepuuza hio text!
Mtu mzima anaandika vitu ambavyo hata kindergartens hawezi kuandika.
Yaani hamas wavamie kisha muda huo huo jeshi la Israel liuwe watu wake, inamaana jeshi lilishajipanga kufanya hivyo. Mbona haiingii akilini hii! Hiyo tume inaundwa wapi?Inadawa kuwa kuna tume maalum ya uchunguzi inaundwa kwajili ya tukio hilo taarifa itatolewa.