Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Kumbe Hamas Bado wanajionyesha Bado wapo!
Huo sio ujanja ni ujinga!
Kuna mbinu moja ya Medani ku-withdrow Ili kujijenga upya....
 
Waweza shanga mosad ndo wamerusha hayo maroket
 
Ww either hufuatilii mambo au umezaliwa miaka ya 2000, kwa taarifa Yako Israel alishapiga hao unaowaita jeshi kamili tena wakiwa wameunganika zaidi ya nchi moja na amewatandika zaidi ya mara moja pia.
Embu lete ushahidi wa uyasemao.
Maana nikikumbuka so far 2006 alipigana na wanamgambo waliokamilika wakamtoa damu akakimbia na kuacha vifaru pale Lebanon.
 
Israel haijaacha aggression licha ya waraka wa ICJ.
Je IDF wameshusha bendera Rafah na kuondoka?
Jibu hapana.
 
Unaongea nini buddah!?
Je IDF wameondoa jeshi na kushusha bendera za Israel pale Rafah!?
Jibu hapana.
Hivyo mpaka waondoke Rafah na washushe zile bendera zao za upinde ndipo patatulia.
 
Sasa ivi haya maroketi yanaondoka na Ayatollah khamnei
 
Lini IDF alizuiwa na kibali chochote kufanya mashambulizi huko palestina? Hao hamna haja ya kuhangaika nao hao hamas wanawatosha watawatoa kamasi mpaka wakubali kusitisha vita.
 
Hali imepowa lini?
 
Nimewaza tu out loud mkuu, Dunia bado ina mengi hatujayaona. Don' t be too sure.
Suala kama hili ain't about being too sure.
Embu tizama Israel hali alokua nayo kiuchumi na kidiplomasia na kiusalama.
Pia ili kutekeleza hili lazima alifanyie Gaza,ni wapi hapo Gaza atapata upenyo wa kufanyi hili!?
 
Upagawaji upo wapi wapo!!?
Na Cheka kwa, furaha, wavaa makubaz, hii itakuwa Nakba pro max! Tu tafuta kizazi, chote cha uzao, wa Ishmael!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…