Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Suala kama hili ain't about being too sure.
Embu tizama Israel hali alokua nayo kiuchumi na kidiplomasia na kiusalama.
Pia ili kutekeleza hili lazima alifanyie Gaza,ni wapi hapo Gaza atapata upenyo wa kufanyi hili!?
Mambo ni mengi mkuu.
 
Upagawaji upo wapi wapo!!?
Na Cheka kwa, furaha, wavaa makubaz, hii itakuwa Nakba pro max! Tu tafuta kizazi, chote cha uzao, wa Ishmael!
Hahaha Yahudi mweusi wa Makete anaumwa UTI sugu anatoa tamko😀

Mabwana zako wameshindwa kila wakiingiza jeshi ardhini wanapokea maiti.

Hamas wanapigana peke yao mabwana zako wameishageukana huko Israel wewe shabiki mandazi hauna unalojua.
 
🚨BREAKING: Roketi zimerushwa kutoka kaskazini mwa Gaza kuelekea makazi ya "Sderot," bila mlio wa ving'ora vya makombora, kulingana na vyanzo vya kizayuni.

Ndiyo kaskazini mwa Gaza ambayo israel inadai kuwa ina udhibiti kamili na kusambaratisha uwezo wa Hamas.
 
Israel ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
siyo kwamba watasambazwa. Hii ni aina fulani ya vita ngumu kumtambua adui ni nani, inabidi israel iwasake taratibu ili kukwepa kuua raia wengi, vinginevyo ingetupa bomu moja tu rafah yote itakuwa nyang'anyang'a. Hamas wasijaribu kufanya maangamizi makubwa israel, wataangamizwa wao zaidi
 
Ww either hufuatilii mambo au umezaliwa miaka ya 2000, kwa taarifa Yako Israel alishapiga hao unaowaita jeshi kamili tena wakiwa wameunganika zaidi ya nchi moja na amewatandika zaidi ya mara moja pia.
Wewe ndio hufuatilii na hujui lolote. Israel hajawahi kupigana vita bali ni NATO ndio wanaopigana kwa pretext kuwa ni Israel.

Jomba mimi historia naijua vizuri tu halafu mimi ni baba yako sijazaliwa 2000
 
Ww either hufuatilii mambo au umezaliwa miaka ya 2000, kwa taarifa Yako Israel alishapiga hao unaowaita jeshi kamili tena wakiwa wameunganika zaidi ya nchi moja na amewatandika zaidi ya mara moja pia.
Wadudu wa Arusha hawawezi elewa hivi.
 
siyo kwamba watasambazwa. Hii ni aina fulani ya vita ngumu kumtambua adui ni nani, inabidi israel iwasake taratibu ili kukwepa kuua raia wengi, vinginevyo ingetupa bomu moja tu rafah yote itakuwa nyang'anyang'a. Hamas wasijaribu kufanya maangamizi makubwa israel, wataangamizwa wao zaidi
Hakuna operation ya kukamata gaidi eti unaua raia. Una bomb hospitals, shule, makanisa, misikiti. Hiyo ni failure ya Intelligence.

Israel wamedhihirisha ni jinsi gani walivyo wachovu kijeshi na kiintelijensia kwa upuuzi wanaofanya hapo Gaza.

Pamoja na mabilioni ya dollar wanayopokea kutoka kwa NATO lakini ni upuuzi tu hamna watu hapo.
 
Iron dome zimezidiwa na usingizi🤣
20240526_174732.jpg
 
Hakuna operation ya kukamata gaidi eti unaua raia. Una bomb hospitals, shule, makanisa, misikiti. Hiyo ni failure ya Intelligence.

Israel wamedhihirisha ni jinsi gani walivyo wachovu kijeshi na kiintelijensia kwa upuuzi wanaofanya hapo Gaza.

Pamoja na mabilioni ya dollar wanayopokea kutoka kwa NATO lakini ni upuuzi tu hamna watu hapo.
Wachukue mfano wa Turkiye.
Mbona Turkiye ikiingia kupambana na PKK ndani ya mipaka ya Syria wanaenda askari wasiozidi 200 na hutimiza kazi kiukamilifu pasi na kuumiza raia!?
Na mbaya zaidi PKK kambi zao ziko katikati kabisa ya makazi ya raia wa Syria.
Ila askari jeshi wa Uturuki wanavyowasaka na kuwadaka utashangaa aisee.
Sasa ndio hapo ujiulize IDF inafeli wapi!?
Uturuki awezaje na IDF ashindwaje!?
 
Propaganda za kishoga hizo watu wameishazipuuza kwa hiyo wakikimbia kwa watoto mabomu wakipigwa wanachagua wa kuuwa? Usiwe punguani.
Sasa mbona jibu lako we ndio umeonekana Punguani We muajemi wa Mbalamaziwa?
 
Wanaukumbi.

Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.

Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv

====

Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.

hao hamas wakishughulikiwa msije tena hapa kulialia
 
Wachukue mfano wa Turkiye.
Mbona Turkiye ikiingia kupambana na PKK ndani ya mipaka ya Syria wanaenda askari wasiozidi 200 na hutimiza kazi kiukamilifu pasi na kuumiza raia!?
Na mbaya zaidi PKK kambi zao ziko katikati kabisa ya makazi ya raia wa Syria.
Ila askari jeshi wa Uturuki wanavyowasaka na kuwadaka utashangaa aisee.
Sasa ndio hapo ujiulize IDF inafeli wapi!?
Uturuki awezaje na IDF ashindwaje!?
Hata hivyo PKK imeisumbua Turkey muda mrefu!
 
Netanyau ana akili sana... Anajua mwisho wa vita ya Gaza ndio mwisho wa uwaziri wake pia. Kuendelea Kwa vita Gaza ndio ponapona yake.
 
Back
Top Bottom