Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Wewe ukimkana mzazi wako inaondoa au kupunguza ukweli kuwa wewe sio mtoto wao?

Vv
 
Hii ndiyo shida ya Wafuga Midevu na Majini aliyekuambia mimi Nina shida na dini ya wayahudi ni nani? Moona hata waislamu wanamtukana yesu hapa hapa kwetu mimi hiyo si hoja yangu watukane wasimtukane mimi hainihusu kila mtu ana imani yake!! Acha ujinga na Upumbavu kwa hiyo kwa wewe kusema hivyo unafikiri ndiyo wakristo watawachukia wayahudi? Kwa taarifa yako tu Wakristo wamejengwa kwenye UPENDO si kwenye chuki Kama nyinyi. Umeongelea pia ujinga wa wanaoandamana huko Ulaya na Marekani hao wengi wao ni wahamiaji kutoka nchi za kiarabu na wengi ni wahamiaji haramu wanaandamana na kuleta usumbufu kwa watu wengine kosa Gaza jiulize kwa nini wakiendelea kuandamana huko Gaza!? Unanilaumu Mimi kuwaunga mkono wayahudi kwa lipi? Hivi unajua Magaidi wa Hamas waliyoyafanya huko Israel kulikopelekea Israel ianze kuwabonda magaidi hao? Au unajitoa ufahamu kutoka juma yaliyotokea Oct 07,2023? Acheni ujinga!!!!
 
Kinachofanya israel washindwe kuwakomboa mateka wao ni nini haswa? Wana jeshi imara,mbinu na silaha nzito za kutosha why?

Hamas waliwezaje kuingia israel wakawachukua mateka na kuondoka nao?
Hamasi wamewagawanya mateka Gaza nzima, kama walivyogawanya maghala Yao ya silaha, sehemu mateka walipo ndipo hapo hapo Hamasi walipo na silaha zipo hapo. Maana yake Islaeli kamwe hawawezi kujua mateka walipo, wakijua vita vitakwisha. Kumbuka Hamasi wameongoza Gaza kwa miaka mingi, na muda wote walikuwa wanaandaa jinsi ya kukabiliana na Islaeli. Hamasi itashindwa endapo mpango wa kuwahamisha wa Palestina utafanikiwa na si vinginevyo.
Hamasi walifanikiwa kuwateka mateka mpakani, mpaka wao ni kama ule wa Tunduma na Nakonde. Kwa muda mfupi tu unaweza kuingia upande WA pili ukafanya fujo na kuondoka kirahisi.
 
Bora wayahudi kuliko waisharamu
 
Ngoja watoe mateka wote wa Israel halafu IDF irudi Gaza.
Mateka wakiisha kesi ya netanyahu itakua ishahukumiwa,uchaguzi utafanyika, netanyahu hatokua mamlakani,kinachomfanya apende vita ni kuogopa kesi
 
Acha kupotosha watu, Hamas wamefikia uamuzi wa kuendelea na makubaliano ya kusitisha vita kwa kutangaza kuachia mateka watatu hapo kesho baada ya matakwa yao kufanyiwa kazi.

Hivi Sasa mamia ya malori yapo mpakani mwa Misri na Palestina (Rafah) yakiwa na nyenzo nzito za kuondolea vifusi pamoja na nyumba za dharura/muda mfupi zinazohamishika.

 
Hicho kijikafiri kina chuki kwa waarabu
 
NETANYAHU AKBAR QOUMARMAAMAYEE



Nyau de adriz
 
Mwaka na nusu hawajuwi mateka wako wapi?Stupid IDF
Mnakimbilia kwenye mashimo kama panya halafu mnajiona mnaakili sana. Kipindi mnatangaziwa vita, mgekaa pale mpakani kupigana vita uso kwa uso.
Mlitegemea tukio la october 7, Israel ijue mko wapi? Kwa hiki kipigo mlichopigwa mpaka dunia ikawaonea huruma hamtarudia tena.
Pale Gaza mjomba Trump anajenga ukumbi wa pombe na kitimoto. Tuone nyie waarabu weusi mtafanya nn
 
Mpaka Marekani aseme maana Israel kachapwa🤣🤣
Huu muda wa kujifariji, mlitakiwa mtembeze bakuri la kuwasadia ndugu zenu wa imani wapate sehemu ya kuishi. Gaza ni magofu tu na bado mnasema Israel kachapwa. Mnasikitisha sana
 
Huu muda wa kujifariji, mlitakiwa mtembeze bakuri la kuwasadia ndugu zenu wa imani wapate sehemu ya kuishi. Gaza ni magofu tu na bado mnasema Israel kachapwa. Mnasikitisha sana
Naona unaumia kutokea kwenu ,mambo ya kule hayakuhusu kama una huruma basi saidia ndugu zako🤣🤣....Wala wengine hawajui hapo Congo au sudan unashindwa kwenda kusaidia ndugu zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…