Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Trump alisema waaachie mateka wote wakamjibu wao wanafuata makubaliano Kwenye makaratasi Israel atimize upande wake na wao watimize Yao Hata achiwa Hata mmoja bila gharama zilizoandikwa Kwenye makaratasi
Acheni ujinga Trump alitoa pendekezo lake lakini Israel ndiye muamuzi misafara ya misaada ilikuwa inaendelea kama kawaidi Hamas akajifaragua kutaka kutishia kuacha kuwaachia wafungwa kupigwa mkwara kidogo leo katangaza mwenyewe kuwa jumamosi atawaachia mateka hao. Hamas na waarabu-Koko wa buza mnaanza kupambana maua Hamas mnajidanganya magaidi wa Hamas hawasafishiki tena. Mwaka huu hawachomoki lazima watapigwa tu watake wasi takę,waachie wafungwa wasiachie mwisho wa magaidi hawa ni kupigwa tu maana hakuna namna Oct 07,2023 walinyea kambi!!
 
Lile biti lilikuwa zito mno, Trump anazidi kujiongezea point.
 
Eti wewe Zwazwa😂😂
Najua utabwabwaja sana tu maana mlishazoea kulishwa Matango pori acha sasa niwa pe ukweli muache kudanganya watu!! Unaongelea dini kwani hapa tuko kwenye Ibada? Kwa taarifa yenu Mwaka huu Hamas watajuta kuongea kiarabau!!
 
Lile biti lilikuwa zito mno, Trump anazidi kujiongezea point.
Fuatilia trump alisema mateka wote waachiwe hyo jmosi na hamas wamegoma kuwaachia mateka wote watawaacha walewale watatu kama makubaliano, na hamas waligoma kuwaachia hao matrka 3 kwa sababu israel ilikua inendelea kuua watu na kuzuia magari ya misaada isiingie ghaza wakasema vile kama shinikizo waache kufanya huo uhuni
 
Magaidi wa Hamas Wiki hii walitangaza kwa mbwembwe nyingi kuwa Jumamosi haitawaachia mateka wa Israel kwa sababu mbalimbali ilizozisema kisha Trump katangaza kiama kwa magaidi hao na mwisho Waziri Mkuu wa Israel yeye Ali Waambie magaidi hao kuwa atafungulia lango la kuzimu kwa magaidi hao na hak utakuwa tena usitishwaji mapigano hadi magaidi hao wang’olewe huko Gaza ikiwa Jumamosi hawatawaachia mateka wa Israel. Waziri wa ulinzi wa Israel naye alianza kuifanyia kazi mara moja krauli ya Netanyahu kwa kufurahia likizo zote kwa wanajeshi wa Israel na kuli weka jeshi hilo kącika hali ya Tahadhali(High Alert) kukabiliana na tishio hilo la magaidi wa Hamas.

Baada ya Hamas kuona Mkwara mbuzi huo leo asubuhi wameamua kutii na wamesema Jumamosi watawatoa hao mateka bila wasi wasi.
Acha uongo .. israel ameharakisha hiyo misaad kwa sasa malori 1000 yameingia na bulldoz za kutosha aliyeufata hapo ni israel
 
Kinachofanya israel washindwe kuwakomboa mateka wao ni nini haswa? Wana jeshi imara,mbinu na silaha nzito za kutosha why?

Hamas waliwezaje kuingia israel wakawachukua mateka na kuondoka nao?
Hili ni tatizo la mentality yako mkuu kudhania Israel ina MAAJABU ya kujua KILA KITU
 
Acha uongo .. israel ameharakisha hiyo misaad kwa sasa malori 1000 yameingia na bulldoz za kutosha aliyeufata hapo ni israel
Endelea kuuanika ujinga wako hayo maroli 1,000 nani kakuambia? Au uko kwenye harakati za kuwasafisha magaidi wa Hamas?
 
Mateka wakiisha kesi ya netanyahu itakua ishahukumiwa,uchaguzi utafanyika, netanyahu hatokua mamlakani,kinachomfanya apende vita ni kuogopa kesi
Utakuwa mjinga kufikiria hivyo sasa hivi hata uchaguzi ukirudiwa Netanyahu anashinda kwa kishindo kikubwa sana.
 
Kinachofanya israel washindwe kuwakomboa mateka wao ni nini haswa? Wana jeshi imara,mbinu na silaha nzito za kutosha why?

Hamas waliwezaje kuingia israel wakawachukua mateka na kuondoka nao?
mashikrika ya misaada yalipenyeza wahuni
 
Iran mbona hasikiki tena? Kapatwa na nini?
Iran alianza kuacha kusikika baada ya yeye kuishambulia Israel kwa kigezo cha kulipiza kisasi baada ya kuuliwa Gaidi Ismail Hanniyeh huko Tehran,Mwezi Oct Mwaka Jana alipoishambulia Israel Israel nayo iliamua kulipiza kisasi na kushambulia maeneo Mhimu ya Iran ikiwemo mifumo yake ya ulinzi wa anga hivyo Iran ikabaki uchi wa Mnyama. Ikawa inabwabwaja tu na baada ya Assad wa Syria kupinduliwa israel iliziba mianya yote ya Iran kupeleka silaha wa Hezbollah hivyo mpaka sasa hivi Iran Hana ubavu tena wa kusa Isia magaidi wa Hezbollah. Sasa hivi anajijenga upya tu baada ya kipigo kutoka Israel.
 
Utakuwa mjinga kufikiria hivyo sasa hivi hata uchaguzi ukirudiwa Netanyahu anashinda kwa kishindo kikubwa sana.
Kuhusu uchaguzi huko Israel Netanyahu hawezi kugombea maana anatuhumiwa Serikali yake kuzembea mpaka kuwezekana mashambulizi ya magaidi wa Hamas hapo Oct 07,2023. Wananchi wa Israel wameamuacha kwenye nafaszerowane hiyo ya uwaziri Mkuu kwa sababu Yeye ni mzoefu Katika minyukano na waarabu na ana uzoefu wa kutosha kuwachachafya waarabu na walishamwambia a kimali za kazi ya kuwashughulikia Hamas hataendelea na uongozi tena. Hata hivyo hata akiachia nguzi atakuwa amen ha kumbukumbu nzuri ya nchi yake kupigana na pandę saba ( Seven Fronts) na kuweta kuibuka mshindi baada ya Oct 07,2023 Syria,Iraq,Hezbollah,Houth kwa pamoja walianza kuishambulia Israel iran naye aliji Giza mzima mzima lakini wote waliangukia pua hivyo kusababisha kuanguka kwa utawala wa Assad huko Syria Hamas,Hezbollah na Houth kupigishwa magoti maana nią yao hasa ilikuwa kuishambulia Israel kutoka pandę mbalimbali ili kuweza kuishinda Israel kwa urahisi kitu ambacho hakikuwezekana Majeshi ya Israel yaliweza kuwapiga wote hivyo kuvunja rekodi ya kupigana Kazika Seven Fronts na kuishinda. Hivyo Benjamin Netanyahu atakumbukwa kuwa shujaa wa Israel.
 
Kuhusu uchaguzi huko Israel Netanyahu hawezi kugombea maana anatuhumiwa Serikali yake kuzembea mpaka kuwezekana mashambulizi ya magaidi wa Hamas hapo Oct 07,2023. Wananchi wa Israel
Approval rate ya Wananchi wake kwa Waziri mkuu wao ni 90% hata kama asipogombea akimpendekeza mwingine yeyote atashinda kwa kishindo ili aendelee kutoa Dozi kwa maadui wa Israel.
 
Approval rate ya Wananchi wake kwa Waziri mkuu wao ni 90% hata kama asipogombea akimpendekeza mwingine yeyote atashinda kwa kishindo ili aendelee kutoa Dozi kwa maadui wa Israel.
Kulingana na sheria za Israel hawezi kugombea tena maana ni mtuhumiwa baada ya vita uchunguzi utafanyika kwa nini Serikali yake ilizembea hata kusababisha mashambulizi ya kinyama kufa Niki wa hapo Oct 07,2023; kuna viongozi wengi tu walishawajibika kwa kujiuzuru nyadhifa wao hata Mkuu wa majeshi naye mwezi ujął anajiuzuru wadliwa wake huo. Netanyahu yeye wameamua ha kwa kazi maalum kushughulika na Wafuga Midevu na Majini mpaka kieleweke.
 
Approval rate ya Wananchi wake kwa Waziri mkuu wao ni 90% hata kama asipogombea akimpendekeza mwingine yeyote atashinda kwa kishindo ili aendelee kutoa Dozi kwa maadui wa Israel.
Leta ushahidi
 
Kwa
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
dini imeingiaje hapa?
 
Back
Top Bottom