Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Kujibu Maswali yako kwanza uache kulialia wakati Israel inajibu mapigo!!! Uache kukimbia free free!!! Wala watoto wanauwawa mara Genocide!!
Umekuwa akili umeziacha matakoni.

Usirudie tena kuniquote kwasababu huna akili chizi wewe.

Ushabiki wako wa kipumbavu dhidi ya israel haukusaidii kutatua shida na umasikini ulionao.
 
Hamas kwa utawala uliopo hawatapata msaada zaidi ya wao kujitoa sadaka; Iran kwa sasa imeyumba, Urusi na nchi zingine za kiarabu wako pamoja na Trump; ikiwa kama wataendelea kuwashikilia mateka hawatopata msaada zaidi ya kuwaachia tu.​
 
Umekuwa akili umeziacha matakoni.

Usirudie tena kuniquote kwasababu huna akili chizi wewe.

Ushabiki wako wa kipumbavu dhidi ya israel haukusaidii kutatua shida na umasikini ulionao.
Mjinga wewe unafikiri na Mimi ni masikini mpumbavu kama wewe umasikini kama unao wewe na acha ukuue maana Huna maana kabisa umekuwa zuzu wa kushabikia usivyovijua hapo ulipo ukiulizwa historia ya Palestina hujui ukiulizwa kuhusu Israel ndiyo kabisa Unaanza kutuambia uliyomezeshwa na wajinga wenzako. Nakupa ushauri wa bure acha kushabikia vitu ambavyo huvijui. Zuzu kama wewe nani a-Quote UHARO wako?
 
Mjinga wewe unafikiri na Mimi ni masikini mpumbavu kama wewe umasikini kama nawę wewe na acha ukuue maana Huna maana kabisa umekuwa zuzu wa kushabikia usivyovijua hapo ulipo ukiulizwa historia ya Palestina hujui ukiulizwa kuhusu Israel ndiyo kabisa Unaanza kutuambia uliyomezeshwa na wajinga wenzako. Nakupa ushauri wa bure acha kushabikia vitu ambavyo huvijui. Zuzu kama wewe nani a-Quote UHARO wako?
Niijue historia ya palestina au israel ili inisaidie nini? Nalipwa sh ngapi nikiijua historia ya palestina au israel?

Mama yako yupo kijijini huko mbwinde analala na njaa anavaa nguo zilizochanika wewe unalala stendi badala utafute kazi ya kufanya umsaidie mama ako asilale njaa kazi kushabikia tu mara israel mara palestina shubahamit zako wewe.
 
Hamas kwa utawala uliopo hawatapata msaada zaidi ya wao kujitoa sadaka; Iran kwa sasa imeyumba, Urusi na nchi zingine za kiarabu wako pamoja na Trump; ikiwa kama wataendelea kuwashikilia mateka hawatopata msaada zaidi ya kuwaachia tu.​
Hii ni kwa muji wa redio maria sio?
 
Ngoja watoe mateka wote wa Israel halafu IDF irudi Gaza.
Kwani awa mateka Walijileta wenyewe mikononi kwa Hamas !!!!!! Ikiwa waliweza Hamas kuvuka Mpaka na Kuzifata kambi za Jesh 4 ndani ya Israel!!!!

Wanajesh wa israel na Wanajesh wa Congo awana Tofaut yeyote!!!!!

vip HAMAS washindwe japo kuvamia nyumba za raia kuwabeba Waisrael kama maembe Bolibo!!!!!!!!!

Kila kitu ukiona Hamas wanafanya ujue wana majibu yake!!

Kama sasa Israel yenyewe imelegea tena baaada ya kuambiwa na Hamas atutoi mtu yeyote Jmosi !!! Israel kaachia malori yanapita kama Mkataba ulivotaka!!! Chanzo AL jazeera,

ukiwaza pale jua adui yako pengine kawaza mbaliiii zaid!!! Ardhi inauzwa kwa DAMU sio pesa!!!
 
Kwa

dini imeingiaje hapa?
Mnashibikia Mayahudi mukidhani ni wenzenu katika imani ya kikiristo, ni bora ujue na ujifunze imani ya mazayuni sio ukiristo ni Judaysim ambayo inamtukana yesu
 
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
Wewe unamwamini Yesu au mtume Mwarabu? Sisi wakristo tukiwasupport wayahudi kwa nini wewe unawashwawashwa?
 
Mimi nikaona wabongo wanavyotokwa na povu kuhusu israel na sifa zao wanazopewa kedekede .. najisemea acha tu ccm iendelee kututawala
Tena wengine na flag anatundika ya Israel kwenye gari yake!!! japo ni fake awa jamaaa!!!
lkn mnunuzi wa flag yupo kwenye isia awa ndio Waisrael Og waliomuuwa Yesu sasa sijui ndio Mwenyewe atakuchukuliaje ikiwa m'baya wake wewe unaemwamini Yesu umetundika flag yake!!!!

Yani mkenya kauwa Babako au mungu wako sasa wewe mfuasu wake unanunua flag ya Kenya eti ndio kumtukuza Babako au mungu wako!!!!! Wenye akili izi sio Mizwazwa mzigo kwa taifa!!! Wamebaki na akili ya kujua tu kabanwa na aja kubwa au ndogo basi!!!!
 
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
Usipaniki haya mambo hayataki hasira. Unajua hata Yesu aliomba wasamehewe hao watu? So nadhani matusi yao si shida walimtukana hata yeye akiwepo live. Na alizuia wasipigwe.
 
Wewe unamwamini Yesu au mtume Mwarabu? Sisi wakristo tukiwasupport wayahudi kwa nini wewe unawashwawashwa?
Ni ujinga na utakuwa mtu wa ajabu kumsapport Myahudi anaekutukania dini yako, lakini mbaya zaid amewauwa kikatili watu wa imani yako ya kikiristo, kanisa wamezipiga moto huko Palestine.
 
Hujui kitu wewe!! Hivi unajua kuwa Magaidi wa Hamas waliteka mateka toka Israel 251 na sasa mateka waliobaki na magaidi hao ni 76 tu? Asilimia kubwa wamerudishwa nakushangaa wewe unayelalamika na kubwabwaja ovyo kuhusu mateka. IDF wako vizuri sana wameweza kuwa tia adabu Hamas,Hezbollah na Houth pia wameweza kusaidia Dikteta Assad kuanguka kirahisi na kuufuta uongozi wa Hezbollah akiwemo Hassan Nasrallah
Haya Mkuu wa Jerusalem mjua vitu
 
Ni ujinga na utakuwa mtu wa ajabu kumsapport Myahudi anaekutukania dini yako, lakini mbaya zaid amewauwa kikatili watu wa imani yako ya kikiristo, kanisa wamezipiga moto huko Palestine.
Wewe unryemsupport mwarabu aliyekuchapa viboko na kukufundisha ushoga siyo mjinga na mpumbuvu? Unampangije mtu mwingine namna ya kuishi baada ya kumpangia mwanao na mkeo? Akili zenu kama warabu na ndiyo maana hamna maendeleo. Kazi yenu ni kunywa kahawa na kula ubwabwa, mnyazimungu.
 
Back
Top Bottom