Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Acha ujinga kama wewe unaumizwa na Umaskini ni wewe na familia yako si wote. Sawa mimi ni mweusi kwa hiyo Usinipangie nini cha kushabikia hunijui sikujui,hunilishi sikulishi. Heshimu mawazo ya wengine,na kama mada hii haikuhusu Just Shut-Up!!
Acha kujidhalilisha mtu mzima hovyo wewe. Hata watoto wako wakiona ujinga unaouandika hapa watakudharau sana.

Unamuamini MUNGU yupi huyo anayependa vita na mauaji? MUNGU ni AMANI NA UPENDO kwanini wewe unashabikia MAUAJI? YESU maisha yake yote hajawahi kuhamasisha watu wauwane au wachukiane,wewe unafuata mafundisho ya YESU yupi?
 
Wewe unryemsupport mwarabu aliyekuchapa viboko na kufundisha ushoga siyo mjinga na mpumvu? Unskprngirje mtu mwingine namna ya kuishi baada ya kumpangia mwanao na mkeo? Akili zenu kama warabu nz ndiyo maana hamna maendeleo. Kazi yenu ni kunywa kahawa na kula ubwabwa, mnyazimungu.
Ushoga na mwarabu wapi wapi mlokole wewe unatatizo kwenye kichwa!!! Mwarabu ajamfundisha mtu Ushoga Ukweli ni Kuna kesi Duniani kote za viongozi Wamakanisa kuwalawiti Watoto!!!???

ushoga mwenyewe mzungu ww unajua ila ndio mfanya propaganda kuuchafua Uslamu

lkn umekwama Jibu hoja kwa hoja mataifa yote ya Ulaya yana promo Ushoga?????

Wapi Waraabu wanapromo Ushoga ?

apa Africa napo nchi chache zenye Wazungu wengi kwa mfano Africa kusini Zimbabwe zote zimeruusu Ushoga!!

Nitajigie Taifa moja la Kiarabu au kislamu limeruusu Ushoga????? Zanzibar Lamu kote kumejaa wazungu ambao ndio tatizo kuusu la Ushoga

popote Walipo Wazungu wengi!!! tunaona Lamu inamwaga mashoga Mombasa Wanakuja adi Tanga. Uko Zanzibar wanakuja adi Dar..

je kama sio Wazungu Wangekuwa Mashoga baadhi yao jibu ni Hapana
Hoja?
mbona Bagamoyo wamejaa waislamu akuna Ushoga lindi pia akuna Ushoga Handeni akuna Ushoga Rufiji akuna Ushoga

tatizo ni miungu yenu ya Kizungu Mungu mzungu Yesu mzungu malaika Maria wate WAZUNGU sasa Wazungu wanataka Tigo mazwazwa poleni limewafika seem mbaya!!!!!
 
Acha kujidhalilisha mtu mzima hovyo wewe. Hata watoto wako wakiona ujinga unaouandika hapa watakudharau sana.

Unamuamini MUNGU yupi huyo anayependa vita na mauaji? MUNGU ni AMANI NA UPENDO kwanini wewe unashabikia MAUAJI? YESU maisha yake yote hajawahi kuhamasisha watu wauwane au wachukiane,wewe unafuata mafundisho ya YESU yupi?
Acha ujinga na upumbavu kwenye huo uzi umeona nimetaja Mungu au Yesu? Kwa ujinga wako umowna mimi nahamasisha vita na unaona Oct 07,2023 Magaidi wa hamas walifanya vizuri sana kuua raia wasio na hatia 1,200 na kuwateka nyara watu 251. Ulivyo na akili kiduchu unaona waliyoyafanya magaidi wa Hamas ni sawa hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo zuzu.!!!
 
hoja umezikataa kwa kua huna akili
Pamoja na kujifanya hujui lakini leo hii magaidi wa Hamas wamewatoa mateka 3 kinyume na walivyokuwa w amesema, Hamas wameufyata mkia!! Kwa hiyo endelea kuteseka na ujinga wako tu.
 
Pamoja na kujifanya hujui lakini leo hii magaidi wa Hamas wamewatoa mateka 3 kinyume na walivyokuwa w amesema, Hamas wameufyata mkia!! Kwa hiyo endelea kuteseka na ujinga wako tu.
ungejifunza kwanza ili Hamas watoe mateka 3, Mazayuni na mayahudi wamelazimika kuachia wafungwa wangapi wa Palestine, hufahamu chochote wewe ni hardheaded
 
ungejifunza kwanza ili Hamas watoe mateka 3, Mazayuni na mayahudi wamelazimika kuachia wafungwa wangapi wa Palestine, hufahamu chochote wewe ni hardheaded
Sina haja ya kujifunza hilo kwa sababu najua vizuri hilo likoje!!! Ni tumie tu fursa hiikukujulisha kuwa hiyo inatokana na uthamani waarabu na wayahudi wote wana Grade tofauti Askari na Raia. Askari mmoja wa Israel ni sawa na Miarabu 50 na Raia mmoja wa Israel ni sawa na Miarabu 30 hii haikuanza leo hata Gaidi marehemu Yahya Sinwar alibadirishwa naye kwa mtindo huo. Na aliambiwa asirudie Ugaidi lakini kwa kuwa alikuwa ni kichwa ngumu aliuwawa akiwa Gaidi. Naamini ujinga uliokuwa nao umekutoka!!
 
Sina haja ya kujifunza hilo kwa sababu najua vizuri hilo likoje!!! Ni tumie tu fursa hiikukujulisha kuwa hiyo inatokana na uthamani waarabu na wayahudi wote wana Grade tofauti Askari na Raia. Askari mmoja wa Israel ni sawa na Miarabu 50 na Raia mmoja wa Israel ni sawa na Miarabu 30 hii haikuanza leo hata Gaidi marehemu Yahya Sinwar alibadirishwa naye kwa mtindo huo. Na aliambiwa asirudie Ugaidi lakini kwa kuwa alikuwa ni kichwa ngumu aliuwawa akiwa Gaidi. Naamini ujinga uliokuwa nao umekutoka!!
Binadamu wote wana thamani sawa, awe muarabu, myahudi au nani, kilichofanya teka moja la kiyahudi kuwa wapalestina 30 si utukufu wao ni kwa sababu Israel (nchi bandia) ilikuwa na wafungwa wengi zaidi wa kipalestina kuliko wachache walionao Hamas, sasa ilipokuja ceasefire na makubaliano yao ikakubalika idadi hiyo teka moja la kiyahudi wapalestina 30 ili mwisho wa siku wafungwa wote wa kipalestina weweze kutoka magereza.

Na israel walikubali hivyo kwasababu vita walishindwa na walifeli kuliko kufeli kuwakomboa mateka wao ndio wakaja mezani kukubaliana na Hamas jeshi makini waokoe watu wao kwa njia hiyo. ww sijui unaishi dunia ipi. walidhani kuua watu wasio na hatia ingesaidia kuwakomboa watu wao lakini walidunda.

Nyinyi ndio wale muliodanganywa na nchi za magharibi kwamba Israel ni taifa teule la mungu na mayahudi ni wakiristo wenzenu wakati mayahudi dini yao ni Judaysim hawana habari ukiristo na yesu wanamtukana, ni ujinga wengu tu kila mnachoambiwa na hao mabaradhuli wa ulaya nyinyi mnahemkwa nacho.
 
Binadamu wote wana thamani sawa, awe muarabu, myahudi au nani, kilichofanya teka moja la kiyahudi kuwa wapalestina 30 si utukufu wao ni kwa sababu Israel (nchi bandia) ilikuwa na wafungwa wengi zaidi wa kipalestina kuliko wachache walionao Hamas, sasa ilipokuja ceasefire na makubaliano yao ikakubalika idadi hiyo teka moja la kiyahudi wapalestina 30 ili mwisho wa siku wafungwa wote wa kipalestina weweze kutoka magereza.

Na israel walikubali hivyo kwasababu vita walishindwa na walifeli kuliko kufeli kuwakomboa mateka wao ndio wakaja mezani kukubaliana na Hamas jeshi makini waokoe watu wao kwa njia hiyo. ww sijui unaishi dunia ipi. walidhani kuua watu wasio na hatia ingesaidia kuwakomboa watu wao lakini walidunda.

Nyinyi ndio wale muliodanganywa na nchi za magharibi kwamba Israel ni taifa teule la mungu na mayahudi ni wakiristo wenzenu wakati mayahudi dini yao ni Judaysim hawana habari ukiristo na yesu wanamtukana, ni ujinga wengu tu kila mnachoambiwa na hao mabaradhuli wa ulaya nyinyi mnahemkwa nacho.
Umeongea mengi na umechanganya mada nyingi nashindwa nianze na ipi, Hata hivyo Napenda nikujibu kama ifuatavyo. Hata siku moja miarabu haina thamani kama wayahudi kwa sababu mbalimbali ikiwemo wayahudi karibu kila mmoja ana fani/ ujuzi wa Cutting-Edge huwezi kuwalinganisha na waarabu ambao karibu wote wanajifunza Utekaji watu,Ubakaji watu na uuaji ni tofauti na Wayahudi ambao kila mmoja ni lazima ni mbunifu wa teknolojia ya kisasa kwenye nyanja mbalimbali, kuanzia kilimo,Ufugaji,uvuvi,mambo ya Mawasiliano,Cybersecurity,AI na wataalamu wa mambo ya kijeshi kwa ujumla wake ndiyo maana unaona nchi ndogo sana lakini waarabu wote imewachachafya kwa hiyo mtu kama huyo huwezi kulinganisha na kapuku wa kiarabu pia ukumbuke kuwa Askari mmoja wa Israel ni sawa na Makapuku ya kiarabu 50 na Raia wa kiyahudi ni sawa na makapuku ya kiarabu 30.

Nakushangaa sana unaposema Israel imeshindwa kuwakomboa mateka wake labda kwa sababu tu uelewa wako ni ndogo sana acha nikueleweshe Oct 07,2023 magaidi waliua watu 1,200 na kuteka Nyara watu 251 na mpaka sasa hivi ninapoandika hapa ni Mateka 73 tu ndiyo waliobaki mikononi mwa Magaidi hawa wengine wote walishaachiliwa kwa njia mbalimbali nakushangaa wewe unayebwabwaja kuwa wameshindwa kuwakomboa.. pia nakushangaa unaposema kuwa Israel inaua watu wasio na hatia na wakati huo umeshindwa kuwaona watu wasio na hatia waliuwawa na magaidi Oct 07,2023 hii inanionyesha wazi ni jinsi gani ulivyo zuzu..

Nakushangaa pia kuongelea mambo ya dini na kusema eti sisi tunadanganywa kuwa Israel ni Taifa Teule, Na kuwa wayahudi ni wakristo wakati wao wana dini yao,na kuwa wao wanamtukana yesu. Napenda pia kukujibu kama ifuatavyo Tatizo lenu mmeaminishwa kuwa wakristo ni wajinga hawajui kitu Ila ninyi mnajifanya mnajua sana wakati nanyi mlishadanganywa kuwa ukifa ukifanya Ugaidi huko unakoenda utakabidhiwa Mabikira 72 uwabikiri na kwa sababu mnapenda NGONO mkakubali uongo huo. Mkaambiwa tena mkienda Macca mnaenda kumpiga mawe shetani cha ajabu hata kumuua hamjaweza pamoja na kwenda huko kila mwaka hata hili hamjagundua kuwa ni uongo sasa kati yetu na ninyi Wafuga Midevu na Majini nani kadanganywa??
 
Iran mbona hasikiki tena? Kapatwa na nini?
Iran ana kete yake mkononi ya true promise 3 hivyo anasubiri hezb akilianzisha ataunguza silaha zitokazo marekani ili hizbollah asiangamizwe sana kutokea hewani hivyo hawezi kupiga sasahivi
 
Umeongea mengi na umechanganya mada nyingi nashindwa nianze na ipi, Hata hivyo Napenda nikujibu kama ifuatavyo. Hata siku moja miarabu haina thamani kama wayahudi kwa sababu mbalimbali ikiwemo wayahudi karibu kila mmoja ana fani/ ujuzi wa Cutting-Edge huwezi kuwalinganisha na waarabu ambao karibu wote wanajifunza Utekaji watu,Ubakaji watu na uuaji ni tofauti na Wayahudi ambao kila mmoja ni lazima ni mbunifu wa teknolojia ya kisasa kwenye nyanja mbalimbali, kuanzia kilimo,Ufugaji,uvuvi,mambo ya Mawasiliano,Cybersecurity,AI na wataalamu wa mambo ya kijeshi kwa ujumla wake ndiyo maana unaona nchi ndogo sana lakini waarabu wote imewachachafya kwa hiyo mtu kama huyo huwezi kulinganisha na kapuku wa kiarabu pia ukumbuke kuwa Askari mmoja wa Israel ni sawa na Makapuku ya kiarabu 50 na Raia wa kiyahudi ni sawa na makapuku ya kiarabu 30.

Nakushangaa sana unaposema Israel imeshindwa kuwakomboa mateka wake labda kwa sababu tu uelewa wako ni ndogo sana acha nikueleweshe Oct 07,2023 magaidi waliua watu 1,200 na kuteka Nyara watu 251 na mpaka sasa hivi ninapoandika hapa ni Mateka 73 tu ndiyo waliobaki mikononi mwa Magaidi hawa wengine wote walishaachiliwa kwa njia mbalimbali nakushangaa wewe unayebwabwaja kuwa wameshindwa kuwakomboa.. pia nakushangaa unaposema kuwa Israel inaua watu wasio na hatia na wakati huo umeshindwa kuwaona watu wasio na hatia waliuwawa na magaidi Oct 07,2023 hii inanionyesha wazi ni jinsi gani ulivyo zuzu..

Nakushangaa pia kuongelea mambo ya dini na kusema eti sisi tunadanganywa kuwa Israel ni Taifa Teule, Na kuwa wayahudi ni wakristo wakati wao wana dini yao,na kuwa wao wanamtukana yesu. Napenda pia kukujibu kama ifuatavyo Tatizo lenu mmeaminishwa kuwa wakristo ni wajinga hawajui kitu Ila ninyi mnajifanya mnajua sana wakati nanyi mlishadanganywa kuwa ukifa ukifanya Ugaidi huko unakoenda utakabidhiwa Mabikira 72 uwabikiri na kwa sababu mnapenda NGONO mkakubali uongo huo. Mkaambiwa tena mkienda Macca mnaenda kumpiga mawe shetani cha ajabu hata kumuua hamjaweza pamoja na kwenda huko kila mwaka hata hili hamjagundua kuwa ni uongo sasa kati yetu na ninyi Wafuga Midevu na Majini nani kadanganywa??
Toka vita ianze Israel hakuna teka waliloweza kulikombowa kwa mikono yao na uletehapa video mayahudi wanakomboa mayahudi wenzao., kuhusu kubaka naona mayahudi ndio wanaongoza kwa kashfa za kubaka wakiwemo viongozi wakuu wa kanisa Mapapa kila siku aibu kwenye habari za ulimwengu Papa amebaka na wewe unajuwa.

Sasa kama waarabu hawana akili na hawana thamani kwanini Amerika na Ulaya wanautaka utajiri walionao waarabu? kwani wao waarabu walizaliwa nao si walipambana kwenye nchi zao. Trump anasema waziwazi lazima achukue eneo Mashariki ya kati kwanini asichimbe mafuta na kujinufaisha yeye na watu wake kwenye ardhi yake huko US., achimbe mafuta Marekani huko, alimtoa Sadam hussein kuiba mafuta, na sasa Iran na nchi nyengine Mashariki ya kati kwanini kama sio njaa na ujinga.

Kuwa muangalifu sana huyo yesu hakutokea ualaya na marekani ambako ndiko munako abudu makanisa yenu, yesu ametokea Middles East na yesu alikuwa muarabu nakushangaa sana ata hujielewi wewe ni hard headed, poor thinker
 
Iran ana kete yake mkononi ya true promise 3 hivyo anasubiri hezb akilianzisha ataunguza silaha zitokazo marekani ili hizbollah asiangamizwe sana kutokea hewani hivyo hawezi kupiga sasahivi
Kwa taarifa yenu tu sasa hivi Iran katepeta alijifanya mbabe kufadhili Magaidi na kutaka kulipiza kisasi kwa kuuwawa nyumbani Tehran aliyeshabikia sana mauaji ya Oct 07,2023 Gaidi Ismail Hanniyeh kosa kubwa alilolifanya ni kujitoa ufahamu kwake na kuishambulia Israel hapo ndipo alipobugi step na kusababisha Israel iishambulie Iran na kuharibu mifumo yote ya ulinzi wa anga hivyo Iran kubaki uchi wa Mnyama na kuisababishia operation yao ya The Promise-3 kushindwa kutekelezeka maana hawana tena mifumo ya Ulinzi wa anga maana wakitekeleza Operation hiyo majeshi ya Israel yatajipigia popote yanapotaka maana Iran iko Uchi wa mnyama. Pili Iran wako kimya baada ya Supply Chain yao kwenda kwa magaidi wa Hezbollah huko Lebanon kukatwa baada ya utawala wa Assad kuangushwa huko Syria hivyo Iran hana uwezo tena wa kusafirisha silaha kwenda Lebanon kwa magaidi wa Hezbollah hivyo kumemfanya Awe kimya tu maana hana namna. Na hicho ndicho kilichoifanya Iran iufyate mkia!!
Toka vita ianze Israel hakuna teka waliloweza kulikombowa kwa mikono yao na uletehapa video mayahudi wanakomboa mayahudi wenzao., kuhusu kubaka naona mayahudi ndio wanaongoza kwa kashfa za kubaka wakiwemo viongozi wakuu wa kanisa Mapapa kila siku aibu kwenye habari za ulimwengu Papa amebaka na wewe unajuwa.

Sasa kama waarabu hawana akili na hawana thamani kwanini Amerika na Ulaya wanautaka utajiri walionao waarabu? kwani wao waarabu walizaliwa nao si walipambana kwenye nchi zao. Trump anasema waziwazi lazima achukue eneo Mashariki ya kati kwanini asichimbe mafuta na kujinufaisha yeye na watu wake kwenye ardhi yake huko US., achimbe mafuta Marekani huko, alimtoa Sadam hussein kuiba mafuta, na sasa Iran na nchi nyengine Mashariki ya kati kwanini kama sio njaa na ujinga.

Kuwa muangalifu sana huyo yesu hakutokea ualaya na marekani ambako ndiko munako abudu makanisa yenu, yesu ametokea Middles East na yesu alikuwa muarabu nakushangaa sana ata hujielewi wewe ni hard headed, poor thinker
Pole sana inaonekana wazi Ritz kawapoteza wengi sana humu na kwa sababu niko humu acha nikupe Darasa kidogo ili uondoe ujinga uliomezeshwa. Kwanza umeongelea kuhusu Mateka umesema hakuna mateka Israel imekomboa kwa mikono yake yenyewe na ukahitaji Video tukuonyeshe. Jibu ni kuwa Oct 07,2023 Magaidi wa kiarabu waliuwa watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 kwa taarifa yako mpaka leo hii Mateka ambao bado wako mikononi mwa magaidi hao ni 73 tu na mateka 148 wako huru mpaka sasa nashindwa kujua kwa nini unalalamika sana. Jambo la pili unawatetea Magaidi wabakaji kwa kusema kuwa hawakubaka watu kwa sababu eti wao ni waislamu!! Kwa taarifa yako tu hata umoja wa mataifa wanajua kuwa Magaidi hao ni wabakaji soma taarifa ya umoja huo hapa Reasonable Grounds to Believe Conflict-Related Sexual Violence Occurred in Israel During 7 October Attacks, Senior UN Official Tells Security Council | Meetings Coverage and Press Releases lakini kwa kuwa ulishazoea kulishwa Matango Pori huwezi kuelewa.. Pia umeongelea kuhusu mapapa na kanisa hilo Mimi siwezi kukujibu maana ni chuki zako binafsi na wakristo kwa hiyo nakushauli tu endelea tu na chuki zako hizo maana najua hazitakusaidia chochote kile wewe na genge lako. Umelalama pia kwa tuhuma za kijinga ambazo mimi siwezi kukujibu maana kwangu huoni UHARO tu.
 
Kwa taarifa yenu tu sasa hivi Iran katepeta alijifanya mbabe kufadhili Magaidi na kutaka kulipiza kisasi kwa kuuwawa nyumbani Tehran aliyeshabikia sana mauaji ya Oct 07,2023 Gaidi Ismail Hanniyeh kosa kubwa alilolifanya ni kujitoa ufahamu kwake na kuishambulia Israel hapo ndipo alipobugi step na kusababisha Israel iishambulie Iran na kuharibu mifumo yote ya ulinzi wa anga hivyo Iran kubaki uchi wa Mnyama na kuisababishia operation yao ya The Promise-3 kushindwa kutekelezeka maana hawana tena mifumo ya Ulinzi wa anga maana wakitekeleza Operation hiyo majeshi ya Israel yatajipigia popote yanapotaka maana Iran iko Uchi wa mnyama. Pili Iran wako kimya baada ya Supply Chain yao kwenda kwa magaidi wa Hezbollah huko Lebanon kukatwa baada ya utawala wa Assad kuangushwa huko Syria hivyo Iran hana uwezo tena wa kusafirisha silaha kwenda Lebanon kwa magaidi wa Hezbollah hivyo kumemfanya Awe kimya tu maana hana namna. Na hicho ndicho kilichoifanya Iran iufyate mkia!!

Pole sana inaonekana wazi Ritz kawapoteza wengi sana humu na kwa sababu niko humu acha nikupe Darasa kidogo ili uondoe ujinga uliomezeshwa. Kwanza umeongelea kuhusu Mateka umesema hakuna mateka Israel imekomboa kwa mikono yake yenyewe na ukahitaji Video tukuonyeshe. Jibu ni kuwa Oct 07,2023 Magaidi wa kiarabu waliuwa watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 kwa taarifa yako mpaka leo hii Mateka ambao bado wako mikononi mwa magaidi hao ni 73 tu na mateka 148 wako huru mpaka sasa nashindwa kujua kwa nini unalalamika sana. Jambo la pili unawatetea Magaidi wabakaji kwa kusema kuwa hawakubaka watu kwa sababu eti wao ni waislamu!! Kwa taarifa yako tu hata umoja wa mataifa wanajua kuwa Magaidi hao ni wabakaji soma taarifa ya umoja huo hapa Reasonable Grounds to Believe Conflict-Related Sexual Violence Occurred in Israel During 7 October Attacks, Senior UN Official Tells Security Council | Meetings Coverage and Press Releases lakini kwa kuwa ulishazoea kulishwa Matango Pori huwezi kuelewa.. Pia umeongelea kuhusu mapapa na kanisa hilo Mimi siwezi kukujibu maana ni chuki zako binafsi na wakristo kwa hiyo nakushauli tu endelea tu na chuki zako hizo maana najua hazitakusaidia chochote kile wewe na genge lako. Umelalama pia kwa tuhuma za kijinga ambazo mimi siwezi kukujibu maana kwangu huoni UHARO tu.
Nilijua utaleta data Netanyahu anakomboa mateka, lakini pia nilijua utakataa Mapapa kukumbwa na kashifa za kubaka after all umeandika porojo tu toka kichwani mwako., nafkiri tufunge mjadala hapa,

Hizo blog links ulizodownload google za magharibi chukua wewe weka kwenye kumbukumbu zako, hao ndio waliopenyeza mistrati ndani ya bibilia kukuaminisheni eti Israel ni taifa la mungu lakini mayahudi ni wakiristo wenzenu washabikieni na waungeni mkono ilhali wao wana dini yao Judaysim ata hawana habari ya yesu na makanisa wamepiga moto na kuwauwa wakiristo pia kule Jerusalem na Palastine.

Ukipata clips Netanyahu anakomboa mateka 148 nitume hapa nitashkuru sana.
 
Nilijua utaleta data Netanyahu anakomboa mateka, lakini pia nilijua utakataa Mapapa kukumbwa na kashifa za kubaka after all umeandika porojo tu toka kichwani mwako., nafkiri tufunge mjadala hapa,

Hizo blog links ulizodownload google za magharibi chukua wewe weka kwenye kumbukumbu zako, hao ndio waliopenyeza mistrati ndani ya bibilia kukuaminisheni eti Israel ni taifa la mungu lakini mayahudi ni wakiristo wenzenu washabikieni na waungeni mkono ilhali wao wana dini yao Judaysim ata hawana habari ya yesu na makanisa wamepiga moto na kuwauwa wakiristo pia kule Jerusalem na Palastine.

Ukipata clips Netanyahu anakomboa mateka 148 nitume hapa nitashkuru sana.
Acha ujinga wako hapa hatuzungumzii Mapapa wala Biblia wala Dini Uzi huu mada Ina sema

Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa.​

Kwa hiyo Acha Ujinga na Upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom