Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
1737397181754.png
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Maana yake za zamani ziliisha....wameenda kuomba nyingine za kupigia picha 🤣
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Kuna uwezekano mkubwa hao mateka walifichwa Lebanon ya Hizebolah!
 
Kama Lebanon waliwezq kumuua bosi wa Hizbollah tena Beirut walishindwaje kuwapata hao mateka?

Israeli tunaambiwa wako kwenye high level ya intelejensia (Mossad) sasa walishindwaje kujua walipo hao mateka?
kumbuka majengo yote yalihamwa na watu kulazimishwa kwenda makambinini.Wakabaki IDF peke yao kwa mujibu wa matangazo yao.
 
Israeli hii vita ameshindwa tukiwa wakweli malengo yake hayajatimia maana magaidi bado yapo mtaani.
Kina nani hao?
Mbona viongozi wote waliokuwepo na waliwekwa kwa muda waliuwawa?

Kwa mfano, kwa sasa ni nani kiongozi wa Hamas
 
Kama Lebanon waliwezq kumuua bosi wa Hizbollah tena Beirut walishindwaje kuwapata hao mateka?

Israeli tunaambiwa wako kwenye high level ya intelejensia (Mossad) sasa walishindwaje kujua walipo hao mateka?
Mkuu., sishangai kushindwa kuwapata
 
kumbuka majengo yote yalihamwa na watu kulazimishwa kwenda makambinini.Wakabaki IDF peke yao kwa mujibu wa matangazo yao.

Inanifikirisha sana, ukizingatia Gaza pia ni kaeneo kadogo unaweza kwenda ukarudi mara kadhaa Gaza yooote, mbaya zaidi jamaa wanasema walifukua mahandaki yote.

Nina uhakika pia jamaa waliziba border zote na kucontrol movements, lakini bado walishindwa kuwapata mateka ndani ya Gaza lingine tunawaona Hamas hapo hapo Gaza tena.
Mbaya zaidi, kuna hatari Hamas wakapata wanachama wapya wenye hasira zaidi na Israeli maana wengi wameuliwa ndugu zao wasio na hatia wala uhusiano na Hamas.

Hii vita inahitaji akili zaidi kuimaliza kuliko manguvu na kuua watu hovyohovyo, mauaji yanaendeleza chuki ya vizazi na vizazi.
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
u writing like Hamas are the victors .....sad!
 
Back
Top Bottom