Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpyaMaana yake za zamani ziliisha....wameenda kuomba nyingine za kupigia picha 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpyaMaana yake za zamani ziliisha....wameenda kuomba nyingine za kupigia picha 🤣
Wameokota watu wakawavisha uniform za jeshi mtoa maada angekuwepo Gaza si ajabu angekuwa keshavalishwa hata kama hakurusha Jiwe.Maana yake za zamani ziliisha....wameenda kuomba nyingine za kupigia picha 🤣
Wewe, limtumwa la miaka na miaka na unayetambulika kama Nyani ulaya mashariki yote na Asia, umewahi kujielewa kwa chochote?!!!! Muisrael akilitaka linda lako unampeleiea Huku unamuimboa mapambio ndo wa kutoa comment hiyo kweli?!!!! Shwaiiiin
Hawana hata uwezo wa kurusha jiwe Israel,Israeli hii vita ameshindwa tukiwa wakweli malengo yake hayajatimia maana magaidi bado yapo mtaani.
Wewe nani ulishawahi kujielewa?mwarabu hajawahi kujielewa.
Ni ujinga zaidi kuamini kuwa Israel ilijua mateka walipo na ikashindwa kuwaokoa na badala yake ikakubali aibu ya kutiliana saini na adui yake ili kuwapata.Ni mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Mkuu haikujua kabisa! Wale mateka inasemekana wamefichwa maeneo mbali mbaliNi mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Trump hataki vita! Silaha yake ni vikwazo!Hamas hutasikia wakijaribu kuwachokoza Israel tena, Iran ndani ya Utawala ya Trump atapigwa vibaya na kufanywa kama Iraq au Libya au Lebanon au Aghanistan
SASA NIMEELEWA. AISEEE....WALIDHALILISHWA SANA. NASHANGAA JAMAA YANGU ANAFURAHIA.Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpya
Hamas wanavaa kombati kama maonyesho tu na kufanyia propaganda ila kipindi cha mapigano wanavaa kiraia au kipindi cha vita na Israel wanavaa kiraiaPicha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.
Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.
Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.
Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Waisraeli wanajiuliza hivi hawa Hamasi kweli ndio tulio pigana nao vita mpaa tumejitia madeni ya mabillions na economy yetu imeshuka haijawahi kutokea vile toka kundwa hilo taifa fake na muingereza. Wanasema tazama nidhamu yao utafikiri watu wako kwenye military graduation, angalia nguo zao utadhani zimetoka viwandani. Waisrael wanamini sasa kumbe hawana jeshPicha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.
Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.
Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.
Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Kwaiyo mlikuwa mnaogopa kuuwa wavaa hijabu!!!!! Palestina wameshinda VITA inawauma sn!! mtaongea meneno yote lkn ukweli utabaki ukweli ,Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpya
MarshallTakbir
bro hamas sio kikundi,hamas ni itikadi huwezi kuwamalizaHamas kweli wana harakati, Mimi nikajua wameisha
Waisraeli wanajiuliza hivi hawa Hamasi kweli ndio tulio pigana nao vita mpaa tumejitia madeni ya mabillions na economy yetu imeshuka haijawahi kutokea vile toka kundwa hilo taifa fake na muingereza. Wanasema tazama nidhamu yao utafikiri watu wako kwenye military graduation, angalia nguo zao utadhani zimetoka viwandani. Waisrael wanamini sasa kumbe hawana jesh
kumbe jeshi lao i ni wapiganaji wa kufanya genocide ya wanawake na watoto wasio nasilaha.basi. Waisrael wanamini jeshi lao lilikuwa linawakimbia Hamas ni Air force tu ilikuwa kazi yao kurusha mabomu huku na kule kwenye majumba ya raia wasio usika kabisa na wanamgambo wa Hamasi
View: https://x.com/amansouraja/status/1881331742088266120?t=hEHN9oNK0Pw1FTrsXZcWgQ&s=19