Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

📌ISRAEL IS OVERRATED!

#Kama mtu unaakili timamu unajua wazi kuwa ISRAEL NA US ubabe wao wa kivita ipo kwenye MOVIE za Hollywood😂😂😂😂😂😂maana huko wanaamua kujipendelea watakavyo ila kwa GROUND wanahenyeshwa balaaahhh👋
 
Wewe, limtumwa la miaka na miaka na unayetambulika kama Nyani ulaya mashariki yote na Asia, umewahi kujielewa kwa chochote?!!!! Muisrael akilitaka linda lako unampeleiea Huku unamuimboa mapambio ndo wa kutoa comment hiyo kweli?!!!! Shwaiiiin
 
Ni mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Ni ujinga zaidi kuamini kuwa Israel ilijua mateka walipo na ikashindwa kuwaokoa na badala yake ikakubali aibu ya kutiliana saini na adui yake ili kuwapata.
Kwa upande wa viongozi waliouliwa hakuna waliyejua alipokuwa.Walikufa kwa kupigwa kwa kubahatisha na baada ya hapo wakaona dalili kuwa waliokufa ndio wao.Yahya Sinwar aliuliwa akiwa na bunduki yake mkononi na walihisi ni yeye baada ya kulinganisha na picha walizokuwa nazo ndio maana ikachukua karibu wiki nzima kutoa tamko.
Mohammed Deif mpaka leo hakuna uthibitisho kuwa aliuliwa au bado anaongoza mapambano.
 
Hamas hutasikia wakijaribu kuwachokoza Israel tena, Iran ndani ya Utawala ya Trump atapigwa vibaya na kufanywa kama Iraq au Libya au Lebanon au Aghanistan
 
Hamas hutasikia wakijaribu kuwachokoza Israel tena, Iran ndani ya Utawala ya Trump atapigwa vibaya na kufanywa kama Iraq au Libya au Lebanon au Aghanistan
Trump hataki vita! Silaha yake ni vikwazo!
Kwa hiyo Iran ijiandae kwa vikwazo vya Uchumi.
 
wanazi wa ISRAELI feki hawaishi kutapatapa😂😂😂😂

Yaani nyie wajinga mko radhi mjitoe akili ili taifa lenu teule( feki) lionekane ni extra-ordinary😄😄😄

Miezi 15 mtu anapigana na wahuni mfano wa JWTZ akapigane na panyaroad pale kuanzia Ilala Boma mpaka Karakoo alafu achukue miezi 15🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣

HAMAS wameonyesha kuwa nchi za west bila propaganda na kusaidiana hata TZ tunazichapa.

#ukibisha huna akili,akili zako ziliondoka na WAMISSIONARY!!!
 
Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpya
SASA NIMEELEWA. AISEEE....WALIDHALILISHWA SANA. NASHANGAA JAMAA YANGU ANAFURAHIA.
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Hamas wanavaa kombati kama maonyesho tu na kufanyia propaganda ila kipindi cha mapigano wanavaa kiraia au kipindi cha vita na Israel wanavaa kiraia
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Waisraeli wanajiuliza hivi hawa Hamasi kweli ndio tulio pigana nao vita mpaa tumejitia madeni ya mabillions na economy yetu imeshuka haijawahi kutokea vile toka kundwa hilo taifa fake na muingereza. Wanasema tazama nidhamu yao utafikiri watu wako kwenye military graduation, angalia nguo zao utadhani zimetoka viwandani. Waisrael wanamini sasa kumbe hawana jesh
kumbe jeshi lao i ni wapiganaji wa kufanya genocide ya wanawake na watoto wasio nasilaha.basi. Waisrael wanamini jeshi lao lilikuwa linawakimbia Hamas ni Air force tu ilikuwa kazi yao kurusha mabomu huku na kule kwenye majumba ya raia wasio usika kabisa na wanamgambo wa Hamasi

View: https://x.com/amansouraja/status/1881331742088266120?t=hEHN9oNK0Pw1FTrsXZcWgQ&s=19
 
Hao walitupa uniform zao kuogopa kipigo wakawa wanavaa hijabu kama wanawake kugopa kupondwa na israel imebidi watafutiwe tu nguo mpya
Kwaiyo mlikuwa mnaogopa kuuwa wavaa hijabu!!!!! Palestina wameshinda VITA inawauma sn!! mtaongea meneno yote lkn ukweli utabaki ukweli ,
 
Waisraeli wanajiuliza hivi hawa Hamasi kweli ndio tulio pigana nao vita mpaa tumejitia madeni ya mabillions na economy yetu imeshuka haijawahi kutokea vile toka kundwa hilo taifa fake na muingereza. Wanasema tazama nidhamu yao utafikiri watu wako kwenye military graduation, angalia nguo zao utadhani zimetoka viwandani. Waisrael wanamini sasa kumbe hawana jesh
kumbe jeshi lao i ni wapiganaji wa kufanya genocide ya wanawake na watoto wasio nasilaha.basi. Waisrael wanamini jeshi lao lilikuwa linawakimbia Hamas ni Air force tu ilikuwa kazi yao kurusha mabomu huku na kule kwenye majumba ya raia wasio usika kabisa na wanamgambo wa Hamasi

View: https://x.com/amansouraja/status/1881331742088266120?t=hEHN9oNK0Pw1FTrsXZcWgQ&s=19

Shida yao waoga kufa wao wanakimbilia kuuwa watoto na kujisifu kwa idad ya vifo!! Uku wao wakiuliwa Wajeda muimu wenye mafunzo. Netanyahu akashtuka hii vita vikienda adi mwakani wajeda wake wingi wangeuwawa!!!! Iyo gaza aitavamiwa kwasasa na siku za usoni ndio kabisa waisrael wataogopa kuchokoza Vita.
 
Back
Top Bottom