Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Mijamaa iliwekeza kwenye MEDIA tu kujitutumua kuwa mijitu yenye akili zaid kijesh awashindwi wananaguvu mengi yani waliamini Binadam ukimpigia wimbo uwo sana sana basi watawaogopa WAISRAEL sasa wapalestina wanawajua vizuli sana mana tangu watoto wanakuwa wanawaona ukweli waisrael waoga sana kupigana vita awawezi umeona wapi duniani watu wanavamia kambi 4 za JESH na kuwauwa wanajesh na kuwachukua mateka wengine. Kambi 4 kama sio misaada ya Marekani waisrael niwatu duni sana.
Kwahiyo umejidanganya kuwa October 7 walivamia kambi 4 za jeshi?.
 
Hamas hutasikia wakijaribu kuwachokoza Israel tena, Iran ndani ya Utawala ya Trump atapigwa vibaya na kufanywa kama Iraq au Libya au Lebanon au Aghanistan
Haha kipindi trump alikuwa rais term yake ya kwanza mlisema hivyo hivyo lkn anaishia kuwawekea vikwazo tu.
 
Sasa unafikili mateka walikua hapo gaza?. Alafu sare zimevaliwa kukabizi mateka Ila kwenye vita wanapiga kirahia unategemea nini?
Walikiwa wapi wasipajue IDF utapajua ww vita ilikuwa ngumu acha chini ya ardhi wanajesh wengi wa marekani na UK wamekufa kwenye mapango. Wakagemea kuingia chini uku wakiongopa kuwa wanawasaka mateka kwenye mapango lkn walipata machimbo yao salama wanaenda kulala kimya wakipokezana kuwasiliana centre mishaara minono wanapata lkn wao wanaenda uchapa usingiz hii mbungi ingefika ata miaka 3 lkn meteka wasingeweza kuwaokoa!! Kunakashfa nyingi zitakuja kuibuka baadae kuusu awa Mateka, Hamas walijipanga sana.
 
Kuna uwezekano mkubwa hao mateka walifichwa Lebanon ya Hizebolah!
Haiwezekani, Gaza ni eneo ambalo ni land locked, wanafikaje Kwa houthis na Hezbollah?

Hamas Wana network kubwa sana underground Askari wa kiisrael kwenda huko ni kujiandikia death warrant.
 
Mtu anajiuliza mbona Hamas kumbe bado wapo wengi lkn ajiulizi mbona mateka wameshindwa kuokolewa kwamaana Mateka awakufikiwa ndio pia Hamas awakufikiwa kama tulivodanganywa IDF ilikuwa zaid inapigana na Majengo hospital na raia Hamas walikuwa Salama. Na mfumo wao wakupigana ulikuwa wanaenda wachache kama 3 tu au w2 Adui lazima Afe japo m1 au w2 ndio IDF ijue Hamas wapo wapi iyo sio VITA rafiki kabisa ikiwa adui ana mtutu wa risasi kubwa mtakufa wengi na ndio iyo imewapata IDF. Ndio mana naamini itawachukua miaka 20 kuja kupigana tena manake vitoto vipya vitapelekwa uku awajui ukubwa wa iyo vita wenyewe watapewa ujasiri tu kwenda kupigana na adui yao.
 
Mtu anajiuliza mbona Hamas kumbe bado wapo wengi lkn ajiulizi mbona mateka wameshindwa kuokolewa kwamaana Mateka awakufikiwa ndio pia Hamas awakufikiwa kama tulivodanganywa IDF ilikuwa zaid inapigana na Majengo hospital na raia Hamas walikuwa Salama. Na mfumo wao wakupigana ulikuwa wanaenda wachache kama 3 tu au w2 Adui lazima Afe japo m1 au w2 ndio IDF ijue Hamas wapo wapi iyo sio VITA rafiki kabisa ikiwa adui ana mtutu wa risasi kubwa mtakufa wengi na ndio iyo imewapata IDF. Ndio mana naamini itawachukua miaka 20 kuja kupigana tena manake vitoto vipya vitapelekwa uku awajui ukubwa wa iyo vita wenyewe watapewa ujasiri tu kwenda kupigana na adui yao.
Hilo ndilo nimeliona.
Vijana wapya katika IDF watashikwa na woga sana kwenda mstari wa mbele awamu nyengine ya vita ikianza.
 
Hilo ndilo nimeliona.
Vijana wapya katika IDF watashikwa na woga sana kwenda mstari wa mbele awamu nyengine ya vita ikianza.
Israel hawana hiyo unavyoongea wanazaliwa wakijua Wana adui bembeni yao
 
Ni mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Kama ilijua kwanini haikuwaokoa hadi leo wakubaliana kubadilishana wafungwa? Hauoni inawanufaisha palestina kurudisha "magaidi" wao zaidi ya elfu 2!!
 
Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao.

Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana na Hamas. Waziri huyo na mshirika muhimu wa Netanyahu kwa hasira aliamua kujiuzulu nafafsi yake.

Mateka hao watatu kila mmoja alikabidhiwa kigegi kidogo kilichokuwa na picha,mkufu pamoja na shahada ya kuwachwa huru iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu na kihibru.Mmoja kati ya mateka hao alililamika kupokonywa zawadi yake hiyo kulikofanywa na kikosi cha Shinbet.

Makabidhiano hayo ya mateka ambao walipitishiwa kwa shirika la Red Cross yamefanyika katikati ya mji wa Gaza kaskazini ambao kutokana na unyama uliofanyika wa kutumia silaha nzito na kuzuia chakula na maji kwa takriban miezi miwili ya karibuni haikutarajiwa kabisa kwamba kungebaki watu walio hai hasa miongoni mwa Hamas.
View attachment 3207834
Hawa jamaa kama Taleban, They watch, we have Time. Yani sisi ni wa hapahapa.
 
Israel hawana hiyo unavyoongea wanazaliwa wakijua Wana adui bembeni yao
Hujyhi kitu, askari wengi wa IDF ni wanakeshi wanaotola nchi za ulaya, matekani marelani kunisi, kilubwa no luwa Israel wefanilowa kudanya nchibya jo ya kidini, so mtu yeyote mwenye damu ya Jewish wanampokea hata kazma ni mwanajeshi wa TZ.
 
Inanifikirisha sana, ukizingatia Gaza pia ni kaeneo kadogo unaweza kwenda ukarudi mara kadhaa Gaza yooote, mbaya zaidi jamaa wanasema walifukua mahandaki yote.

Nina uhakika pia jamaa waliziba border zote na kucontrol movements, lakini bado walishindwa kuwapata mateka ndani ya Gaza lingine tunawaona Hamas hapo hapo Gaza tena.
Mbaya zaidi, kuna hatari Hamas wakapata wanachama wapya wenye hasira zaidi na Israeli maana wengi wameuliwa ndugu zao wasio na hatia wala uhusiano na Hamas.

Hii vita inahitaji akili zaidi kuimaliza kuliko manguvu na kuua watu hovyohovyo, mauaji yanaendeleza chuki ya vizazi na vizazi.
Wanachama wapya halipingiki
 
Mimi nataka hii vita iendelee, hata huwa sielewi kwanini kuna kuwa na hizi mambo za kubadilishana mateka. Yani mnamshikilia mtu mmoja anakuwa na maana kuliko watu 100 wanao uwawa kila siku?

Yani Ni nani ana mpa mtu mmoja thamani kuliko wengine? Halafu mnabadilishana hao mateka kesho Israel anakuwa kumkamata namuua huyo huyo mliye pewa jana yake, na wengine wengi zaidi.

Nchi iko vitani, kama una ua, ua tu kwa sababu ndio msingi wa vita kuua watu wake ili mmoja akubali kushindwa sasa, mmna exchange nini ili iweje?

Binafsi nataka mtutu mwanzo mwisho hakuna cha "cease fire" wala "Truce". Piganeni mkishinda tuwape maua yenu, mkishindwa kubalini mmeshindwa.

Waache hizi janja janja za kutegea kupigana, HAMAS bado wapo wengi, na IDF bado wapo wa kutosha, piganeni, msilete michezoya kuigiza, mara cease fire tupate maji, mara cease fire sijui wagonjwa, mna tukera watazamaji.
 
Israel walijua vizuri sana waliko mateka ila tatizo walijua endapo tu wangejaribu kuwakomboa kibabe wasingepata hata moja aliye hai kwani magaidi walikuwa na mpango wa kujilipua na kufa nao wote.

That's the true story, you attempt to rescue the hostages and the attempt backfires because the suicide bombers detonate the bombs killing all the hostages in the process which is tantamount to conquering the whole world and forfeit your own life.
 
Kwanza unajua ktk mateka kuna Wanajeshi wa IDF umo na mkubwa m 1 waliotekwa iyo 7octb
 
Back
Top Bottom