Hamas yadai yawauwa kamanda wa IDF huko Gaza kwe uwanja wa mapambano

Hamas yadai yawauwa kamanda wa IDF huko Gaza kwe uwanja wa mapambano

Wanaojificha ni mashoga mazayuni. wanauwa wanawake na watoto halafu wanajidai eti Hamas wamejificha huko.
Ni kweli wanaua wanawake. Kama Mwanamke huyu alivyouawa kikatili.
Screenshot_20241021-082716.jpg
 
Waambie Hamas waache kujificha nyuma ya watoto na wanawake kama kweli wanataka kupigana kiume.

Ni vizuri tukawaambia Israeli wawaache wapalestina huru, nao wawe na ardhi yao na jeshi lao, wanunue silaha watakavyo ili siku ikianza vita basi Israeli wapigane na jeshi kamili kama lao.

Kifupi Hamas ni wanamgambo tu na Israeli ni nchi yenye jeshi kamili na silaha zote.
 
Hata sinwar ni mwanamke pia. Maana Israel inauwa wanawake na watoto
Hapo mazayuni hasira zao wanatuma ndege za mashoga zao wakimerekani wakauwe watoto na wanawake kwenye camp za wakimbizi za Ghaza na lebanon.

Waje uso kwa uso hao mashoga, wafundishwe uwanamme ni nini..
 
Ni vizuri tukawaambia Israeli wawaache wapalestina huru, nao wawe na ardhi yao na jeshi lao, wanunue silaha watakavyo ili siku ikianza vita basi Israeli wapigane na jeshi kamili kama lao.

Kifupi Hamas ni wanamgambo tu na Israeli ni nchi yenye jeshi kamili na silaha zote.
Israel anapigana na hamas tu?. Au unajifunika shuka jeusi usoni na kuziba masikio?
 
Israel anapigana na hamas tu?. Au unajifunika shuka jeusi usoni na kuziba masikio?

Kwanini Israeli hapo Gaza anapigana na wanamgambo gani zaidi ya Hamas.

Kule Lebanon anapigana na nani zaidi ya Hizbollah?

Unajua tofauti ya vikundi vya mgambo na jeshi kamili za Israeli?

Unajua tofauti ya proxy war ya Iran kwa hivi vikundi na full support ya USA, UK, Germany nk dhidi ya Israeli?
 
Israel anapigana na hamas tu?. Au unajifunika shuka jeusi usoni na kuziba masikio?

Kwanini Israeli hapo Gaza anapigana na wanamgambo gani zaidi ya Hamas.

Kule Lebanon anapigana na nani zaidi ya Hizbollah?

Unajua tofauti ya vikundi vya mgambo na jeshi kamili za Israeli?

Unajua tofauti ya proxy war ya Iran kwa hivi vikundi na full support ya USA, UK, Germany nk dhidi ya Israeli?
 
Hamas ya Qatar ni wapuzi wanasema wanaendelea tu na vita
 
Wanaukumbi

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS ADAI KAMANDA WA IDF AMEUAWA HUKO GAZA.

Vikosi vya Al-Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, walitoa picha ya bomu la IED likilipua chini ya tanki kaskazini mwa Gaza, ambalo wanadai lilimuua mwanachama mkuu wa IDF.

"Tulilenga kifaru cha Kizayuni chenye maganda 105 cha Al-Yassin magharibi mwa kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza."

Hakuna uthibitisho wa dai kwa wakati huu.

Chanzo: Al-Qassam Brigade Official TG

Al-Qassam Brigade, the military wing of Hamas, released footage of an IED exploding underneath a tank in northern Gaza, which they claim killed a senior member of the IDF.“We targeted a Zionist tank with a 105 Al-Yassin shell west of Jabalia camp in the northern Gaza Strip.”There is no confirmation of the claims at present.

=========================

UP DATE.
BREAKING:

Israel inaripoti, kamanda wa brigedi ya 401 aliuawa pamoja na makamanda kadhaa wa uwanja katika shambulio la Hamas katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia, kaskazini mwa Gaza.


View: https://x.com/currentreport1/status/1848031780030317017?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Baada ya yule mwingine mliyesema mmemuua kuwa hai, sasa amekufa tena mwingine.

Nyie jamaa sijui mnaishi dunia tofauti. Ina maana hii destruction yote hamuioni, mnashangilia mtu mmoja kufa baada ya maelfu wa upande went kuuwawa?

Unajua sasa hivi Hezbollah hawna ground commanding center? Wanashindwa wafanye nini?
 
Kwanini Israeli hapo Gaza anapigana na wanamgambo gani zaidi ya Hamas.

Kule Lebanon anapigana na nani zaidi ya Hizbollah?

Unajua tofauti ya vikundi vya mgambo na jeshi kamili za Israeli?

Unajua tofauti ya proxy war ya Iran kwa hivi vikundi na full support ya USA, UK, Germany nk dhidi ya Israeli?

Iran created all this mess. After the revolution in 1979, the aim was to topple more Middle East regimes and institute Islamic government's.
Wamefeli sababu ya washia na wasuni hawaivi chungu kimoja.
Saudia hamuamini kabisa Muirani
 
Yule kuku mkubwa mlisema bado anapumua mwenyewe lkn atumuoni kwenye vikao vya netapanya yumkin kuna makamanda wengi wameuwawa lkn mfumo wa Israel ni kipiga kimya netapanya mwenyewe ati ati kumbukeni iran ina satellite angani zinamuruka AKO KANCH walipomuona netapanya anaenda kukata gogo wakawai apoapo.😂😂
 
Yule kuku mkubwa mlisema bado anapumua mwenyewe lkn atumuoni kwenye vikao vya netapanya yumkin kuna makamanda wengi wameuwawa lkn mfumo wa Israel ni kipiga kimya netapanya mwenyewe ati ati kumbukeni iran ina satellite angani zinamurika AKO KANCH walipomuona netapanya anaenda kukata gogo wakawai apo apo.😂
 
Kwanini Israeli hapo Gaza anapigana na wanamgambo gani zaidi ya Hamas.

Kule Lebanon anapigana na nani zaidi ya Hizbollah?

Unajua tofauti ya vikundi vya mgambo na jeshi kamili za Israeli?

Unajua tofauti ya proxy war ya Iran kwa hivi vikundi na full support ya USA, UK, Germany nk dhidi ya Israeli?
Kwani Iran kazuiawa na nani? Na nani asiyejua Kama hayo makundi ni sapoti ya Iran?. Hayo ni majeshi yasiyovaa sare tu. Watu wanauwa zaidi ya watu 1000 kwa Mara moja kwa kufanya uvamizi wa mabomu mnasema siyo jeshi. Kusema kuwa si jeshi ni unafiki tu
 
Iran created all this mess. After the revolution in 1979, the aim was to topple more Middle East regimes and institute Islamic government's.
Wamefeli sababu ya washia na wasuni hawaivi chungu kimoja.
Saudia hamuamini kabisa Muirani
Usidanganye watu bana mkuu.
Israel started all this since 1948.
Hata Damascus crisis ilitokea 1958 kama sijakosea na aliyehusika ni Israel je,1958 ni sawa na 1979!??
Embu acha kudanganya.
 
Usidanganye watu bana mkuu.
Israel started all this since 1948.
Hata Damascus crisis ilitokea 1958 kama sijakosea na aliyehusika ni Israel je,1958 ni sawa na 1979!??
Embu acha kudanganya.
In 1948, the UN created Israel and declared its independence. Transporter wa ugaidi duniani ni Iran. Na nia zake za kutengeneza serikali zinazofanana na wao.
Ingawa Saudia, radicals who claims to be seraphim, have also created alot of mess. Osama alikuwa moja ya zao lao
 
Hii ni vita yeyote anaweza kufa. Vita ni kama mchezo wowote, kuna kufungwa na kufunga. Waendelee kwasababu waliamua kupigana, waachwe wapigane mpaka mshindi apatikane.
 
In 1948, the UN created Israel and declared its independence. Transporter wa ugaidi duniani ni Iran. Na nia zake za kutengeneza serikali zinazofanana na wao.
Ingawa Saudia, radicals who claims to be seraphim, have also created alot of mess. Osama alikuwa moja ya zao lao
Ona sasa unavyojivuruga.
Kwahiyo vurugu zilianzia 1980s!??
Uongo haukusaidii kitu.
Vurugu zilianzia tangia 1948.
Jewish state iliundwa 1947 na kulikua na resolution kama tatu ambazo mbili waarabu walizikataa moja ndio waliikubali.
Resolution ya 1947 walipoikataa waarabu 1948 Israel ilianza expansion of jewish settlements.
Ikaja 1958 Israel ikashiriki Damascus crisis.
Hivi haya yote huyaoni!??
Ukija kwa ufadhili wa vikundi ulianza 1990s sio 1979 and above.
Tena Houthi ilishaundwa ila Iran imekuja kuiunga mkono Houthi 2014 ambapo Saudi Arabia ilikua inalazimisha Mansour abaki madarakani ilhali 90% ya raia hawamtaki Mansour.
Kwa kitendo hiki unawaita Houthi magaidi!?
Unashindwa kumuita gaidi Saudia na USA waliokua wanamsapoti Mansour ambaye analazimisha kubaki madarakani!??
Hizbollah nayo imeundwa 1990s kama sijakosea.
Hizbollah imesaidia mbaka leo hii Lebanon imebakia whole piece of cake.
Laa sivyo ilikua inamegwa na Israel kama mkate.
Hizbollah hiyo hiyo IMETETEA WAKRISTO WENZAKO walipokua wanachinjwa na sunni wanaoendekeza itikadi kali dhidi ya Imani zingine na dhidi ya ushia.
Na hao sunni ndio wanashirikiana na USA ili kwenda kinyume na Iran eti kisa Iran ni shia.
Ila ukitizama Iran hana tabu yeyote na Sunni wala wakristo.
Mbona HOUTHI ni sunni majority na Iran imewasaidia!??
Tena mwanzo ilipoanzishwa ilikua inaitwa Answarullah.

Umeshindwa kutizama kuwa chanzo cha migogoro ni USA,Israel na washirika wake unakuja kulaumu Iran.
Pia unaongea IRRELEVANT issues.
Aaah bro acha uongo bana haukufai.
 
Back
Top Bottom