Hamas yadai yawauwa kamanda wa IDF huko Gaza kwe uwanja wa mapambano

Hamas yadai yawauwa kamanda wa IDF huko Gaza kwe uwanja wa mapambano

Ona sasa unavyojivuruga.
Kwahiyo vurugu zilianzia 1980s!??
Uongo haukusaidii kitu.
Vurugu zilianzia tangia 1948.
Jewish state iliundwa 1947 na kulikua na resolution kama tatu ambazo mbili waarabu walizikataa moja ndio waliikubali.
Resolution ya 1947 walipoikataa waarabu 1948 Israel ilianza expansion of jewish settlements.
Ikaja 1958 Israel ikashiriki Damascus crisis.
Hivi haya yote huyaoni!??
Ukija kwa ufadhili wa vikundi ulianza 1990s sio 1979 and above.
Tena Houthi ilishaundwa ila Iran imekuja kuiunga mkono Houthi 2014 ambapo Saudi Arabia ilikua inalazimisha Mansour abaki madarakani ilhali 90% ya raia hawamtaki Mansour.
Kwa kitendo hiki unawaita Houthi magaidi!?
Unashindwa kumuita gaidi Saudia na USA waliokua wanamsapoti Mansour ambaye analazimisha kubaki madarakani!??
Hizbollah nayo imeundwa 1990s kama sijakosea.
Hizbollah imesaidia mbaka leo hii Lebanon imebakia whole piece of cake.
Laa sivyo ilikua inamegwa na Israel kama mkate.
Hizbollah hiyo hiyo IMETETEA WAKRISTO WENZAKO walipokua wanachinjwa na sunni wanaoendekeza itikadi kali dhidi ya Imani zingine na dhidi ya ushia.
Na hao sunni ndio wanashirikiana na USA ili kwenda kinyume na Iran eti kisa Iran ni shia.
Ila ukitizama Iran hana tabu yeyote na Sunni wala wakristo.
Mbona HOUTHI ni sunni majority na Iran imewasaidia!??
Tena mwanzo ilipoanzishwa ilikua inaitwa Answarullah.

Umeshindwa kutizama kuwa chanzo cha migogoro ni USA,Israel na washirika wake unakuja kulaumu Iran.
Pia unaongea IRRELEVANT issues.
Aaah bro acha uongo bana haukufai.

Waarabu wamepigana vita nyingi na Israel. 1966, 1972, intifadah...etc

Ila mpaka sasa Hezbollah ndio anawaumiza kichwa. Iliundwa 1980s kama wing ya Iran kusambaza influence zake, ikiwemo kuwafukuza wayahudi
 
Waarabu wamepigana vita nyingi na Israel. 1966, 1972, intifadah...etc

Ila mpaka sasa Hezbollah ndio anawaumiza kichwa. Iliundwa 1980s kama wing ya Iran kusambaza influence zake, ikiwemo kuwafukuza wayahudi
😂😂😂😂😂😂Hapa suala vita kuanzishwa na nani au suala ni nani!?
We nani kakudanganya Hizbollah imeanzishwa na Iran mkuu!?
Iran yeye anaifadhili tu Hizbollah kama anavyoifadhili Houthi.
Ila yeye sio founder.
Pia unatakiwa uangalie je kama sio USA kuingilia sovereignty ya Iran je haya yote yangetokea!?
USA ilijihusisha hadi na Iran-Iraq war kwa kumpa sapoti kifedha na kijeshi Saddam Hussein.
Ili iweje!??
Yani mnashindwa kutizama chanzo ni nani mnabaki kumlaumu Iran.
1979 Iran ilifanya mapinduzi,kisa mapinduzi USA ika impose economic sanctions.
Je mbona yeye anaifadhili mapinduzi mataifa mengine ikiwemo Egypt!?
Egypt alifadhili mapinduzi ya Mohammed Morsi.
Libya alifadhili mapinduzi ya Muammar Gaddafi.
Itizame alivyoiharibu Libya,ilikua nchi ambayo haina deni lolote duniani katika chombo chochote cha fedha ulimwenguni ikiwemo WB/IMF.
Sasa hivi Libya taifa masikini linalochechemea na madeni lukuki.
Pia Iran hakuwahi kuwaza kuwafukuza wayahudi maana waliwahi kuwa washirika.
Huo mwaka 1980-1988 ni Israel ilimsaidia kiintelijensia Iran kupigana dhidi ya Iraq.
Unaona sasa unaanza kujivuruga mwenyewe!?
Kuingia miaka ya 1990s diplomasia zikabadilika na uadui wa Iran na Israel ukaanza.

Ukweli mchungu ambao hamtaki kuusikia mashabiki wa USA na Israel,chanzo cha migogoro yote hii pale mashariki ya kati ni USA,Israel na washirika wake.
 
😂😂😂😂😂😂Hapa suala vita kuanzishwa na nani au suala ni nani!?
We nani kakudanganya Hizbollah imeanzishwa na Iran mkuu!?
Iran yeye anaifadhili tu Hizbollah kama anavyoifadhili Houthi.
Ila yeye sio founder.
Pia unatakiwa uangalie je kama sio USA kuingilia sovereignty ya Iran je haya yote yangetokea!?
USA ilijihusisha hadi na Iran-Iraq war kwa kumpa sapoti kifedha na kijeshi Saddam Hussein.
Ili iweje!??
Yani mnashindwa kutizama chanzo ni nani mnabaki kumlaumu Iran.
1979 Iran ilifanya mapinduzi,kisa mapinduzi USA ika impose economic sanctions.
Je mbona yeye anaifadhili mapinduzi mataifa mengine ikiwemo Egypt!?
Egypt alifadhili mapinduzi ya Mohammed Morsi.
Libya alifadhili mapinduzi ya Muammar Gaddafi.
Itizame alivyoiharibu Libya,ilikua nchi ambayo haina deni lolote duniani katika chombo chochote cha fedha ulimwenguni ikiwemo WB/IMF.
Sasa hivi Libya taifa masikini linalochechemea na madeni lukuki.
Pia Iran hakuwahi kuwaza kuwafukuza wayahudi maana waliwahi kuwa washirika.
Huo mwaka 1980-1988 ni Israel ilimsaidia kiintelijensia Iran kupigana dhidi ya Iraq.
Unaona sasa unaanza kujivuruga mwenyewe!?
Kuingia miaka ya 1990s diplomasia zikabadilika na uadui wa Iran na Israel ukaanza.

Ukweli mchungu ambao hamtaki kuusikia mashabiki wa USA na Israel,chanzo cha migogoro yote hii pale mashariki ya kati ni USA,Israel na washirika wake.


View: https://www.youtube.com/watch?v=HvRs128mbdg
 
Wanaukumbi

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS ADAI KAMANDA WA IDF AMEUAWA HUKO GAZA.

Vikosi vya Al-Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, walitoa picha ya bomu la IED likilipua chini ya tanki kaskazini mwa Gaza, ambalo wanadai lilimuua mwanachama mkuu wa IDF.

"Tulilenga kifaru cha Kizayuni chenye maganda 105 cha Al-Yassin magharibi mwa kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza."

Hakuna uthibitisho wa dai kwa wakati huu.

Chanzo: Al-Qassam Brigade Official TG

Al-Qassam Brigade, the military wing of Hamas, released footage of an IED exploding underneath a tank in northern Gaza, which they claim killed a senior member of the IDF.“We targeted a Zionist tank with a 105 Al-Yassin shell west of Jabalia camp in the northern Gaza Strip.”There is no confirmation of the claims at present.

=========================

UP DATE.
BREAKING:

Israel inaripoti, kamanda wa brigedi ya 401 aliuawa pamoja na makamanda kadhaa wa uwanja katika shambulio la Hamas katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia, kaskazini mwa Gaza.


View: https://x.com/currentreport1/status/1848031780030317017?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/Salwan_Momika1/status/1848968043105247437
 
Back
Top Bottom