mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kama viongozi tu .Ahaa wapo wengi nyie tu kuwaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely true 100%Huyu atawasumbua kuliko Hania
Siku zake zinahesabika.
Tutasikia parapanda ikilia muda wowote kutokana na utaratibu wa Israel ulivyo kwa sasa.
Ngoja ageuzwe Mzoga, uje kulialia humu.Huyu atawasumbua kuliko Hania
bila ndevu huwezi kuwa kweny ranksIsraeli walifanya kosa kubwa mno kumuua haniyeh maana unaambiwa huyu mwamba ni mtata kupita maelezo.
Alishawahi kukamatwa na kupigwa mvua za kutosha na mazayuni.
Hivyo Israel itarajie kuendelea kupata upinzani mkubwa zaidi kutoka Hamas . View attachment 3063242View attachment 3063246
Kwa hiyo gaidi likifa linasamehewa dhambi kwa sababu ni muislam?Kufa kumepangwa na Mungu, unaweza ukafa kwa sabu ya kitu flani, ili Mungu akusamehe dhambi zak, kama wewe ni Muislam, sa ajabu ni ipi akifa?
Walking dead manIsraeli walifanya kosa kubwa mno kumuua haniyeh maana unaambiwa huyu mwamba ni mtata kupita maelezo.
Alishawahi kukamatwa na kupigwa mvua za kutosha na mazayuni.
Hivyo Israel itarajie kuendelea kupata upinzani mkubwa zaidi kutoka Hamas . View attachment 3063242View attachment 3063246
Nyie mtu anadai haki yake.mnamuita Gaidi, hebu tupe tafsiri ya kwanini unawaita magaidi au wewe unafata mkumbo wa Israel na US wanacho ongea. Vipi yale madai yenu mnayo ongea daima watetezi wa haki hahaha human right, Genocide yalishia wapi, na vipi kuhusu ICC mtaipiga sunction au😄Kwa hiyo gaidi likifa linasamehewa dhambi kwa sababu ni muislam?
Sasa ataiongoza hiyo hamas akiwa wapi maana mossad inavyomsaka wamle kichwa labda ajifichie huko huko mashimoniIsraeli walifanya kosa kubwa mno kumuua haniyeh maana unaambiwa huyu mwamba ni mtata kupita maelezo.
Alishawahi kukamatwa na kupigwa mvua za kutosha na mazayuni.
Hivyo Israel itarajie kuendelea kupata upinzani mkubwa zaidi kutoka Hamas . View attachment 3063242View attachment 3063246