Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.