Hamdu Shaka, hivi kazi yako haswa ni nini, kumsifia Rais Samia au kuelezea Itikadi ya CCM?

Hamdu Shaka, hivi kazi yako haswa ni nini, kumsifia Rais Samia au kuelezea Itikadi ya CCM?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.

Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
 
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Kazi ya SHAKA ni Uenezi wa Chama, Wanachama na Serikali,

Hapo anamweneza Rais Samia,

Ovaaa
 
Kazi ya SHAKA ni Uenezi wa Chama, Wanachama na Serikali,

Hapo anamweneza Rais Samia,

Ovaaa
Uenezi ni kuelezea sera za chama, na jinsi chama klivyojipanga kutekeleza kitu kilicho kwenye sera.
Sasa kama Shaka hazijui sera za chama atazidadavua vipi.
Rahisi kwake ni mapambio ya matukio tu.
 
Haya maisha hapana, hivi hii nayo ni ajira rasmi ndani ya ccm au?
Mbona wapinzani wanazuiwa na kunyimwa ruhusa ya mikutano hata kupita barabarani wanazuiwa!
 
Huwezi amini sijaelewa
Pole kama hujaelewa.
Kutoka website ya chama hebu fuatilia kazi za Katibu Muenezi na Itikadi wa chama:
Kazi zake:-

Idara ya Itikadi na Uenezi

  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama.

Fuatlia katiba ya chama.
 
Pole kama hujaelewa.
Kutoka website ya chama hebu fuatilia kazi za Katibu Muenezi na Itikadi wa chama:
Kazi zake:-

Idara ya Itikadi na Uenezi

  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama.

Fuatlia katiba ya chama.
Umeandika nn?
 
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.

Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.

Ukiona hivo ujue hamna kazi zakufanya
 
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.

Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Mzanzibar ni mvivu wa kufikiri yeye anachoweza ni kusifia aendelee kula pipi
 
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.

Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Anajipendekeza mpaka anatia kinyaa
IMG-20221016-WA0006.jpg
 
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.

Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.

Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM

Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.

Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Mkuu Unakumbuka ile riwaya ya Mpiga filimbi wa Hamelin?
Kwa vijana wa siku hizi ni hivi, huyu mpiga filimbi alipewa kazi yakupuliza filimbi ili panya wa mji mzima wamfuate (mwishoe panya wote walitumbukia naye baharini)
 
Jamaa kaukung'uta mkorogo hadi mwisho au ni macho yangu n'shazeeka?
 
Tatizo liko wapi kama anasifia mambo mazuri anayo yafanya Rais wetu.
hata mimi na wewe tunao wajibu wa kumsifia Rais wetu kwa mazuri anayo wafanyia watanzania.
 
Back
Top Bottom