Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Watanzsnia tuwe na akili, ukiajiriwa kutimiza wajibu fulani kama huwezi basi wapewe wanaoweza.Tatizo liko wapi kama anasifia mambo mazuri anayo yafanya Rais wetu.
hata mimi na wewe tunao wajibu wa kumsifia Rais wetu kwa mazuri anayo wafanyia watanzania.
Na nina matatizo kwer kwer, lakini weye umenizidi.Una matatizo ya akili wewe mpumbavu
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Labda Burundi wanamtamani ila Sio TanzaniaAnajipendekeza mpaka anatia kinyaaView attachment 2390144
Si Shaka pekeyake wengi wanasifia hata ambavyo hawajui.Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Tatizo huyu kijana inaelekea hajapita chuo chochote kinacho fundisha itikadi , yaani development studies.Si Shaka pekeyake wengi wanasifia hata ambavyo hawajui.
haiepukiki Mkuu. washangazi wa Mjomba nafikir umenielewaTusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Eti mtu na akili zake timamu anamshabikia kijana kama huyo mzururaji. Tunapigwa tozo ili aendelee kuzurura hovyo na wapo wananomshangilia! Adui nambari one wa taifa hili hakika ni CCM na hadi tuing'oe na kuitupa kule, hatuvuki!Kuna namna ukiwa CCM lazima uwehuke...
Nakuelewa mkuu, sifa huwa zinapofusha.haiepukiki Mkuu. washangazi wa Mjomba nafikir umenielewa
CCM haing'oki kwa namana unayoitaka maana siye ndani ya CCM kuna kukosoana kistaarabu.Eti mtu na akili zake timamu anamshabikia kijana kama huyo mzururaji. Tunapigwa tozo ili aendelee kuzurura hovyo na wapo wananomshangilia! Adui nambari one wa taifa hili hakika ni CCM na hadi tuing'oe na kuitupa kule, hatuvuki!
Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Nakuelewa mkuu, sifa huwa zinapofusha.
Kina Polepole na Bashiru Ally walianza hivi hivi.
CCM haing'oki kwa namana unayoitaka maana siye ndani ya CCM kuna kukosoana kistaarabu.
Ujumbe ukifika huwa unafanyiwa kazi, siyo hivyo vyama vyenu mnapinduana kila uchao.
Msimsakame kwa maneno atasusa arudi kwa mumewe kule Mombasa.Tusije jisahau kuwa chama chetu cha CCM ni chama cha wananchi, zamani tukiita Wakulima na Wafanyakazi.
Yametokea mabadiliko mengi katika misimamo ya chama kiasi ambacho watendaji ndani ya chama ni kama wanakengeuka katika misimamo yao kiutendaji.
Alipoingia mzee Abdulrahman Kinana ingalau tulianza kusikia misimamo ile ya kichama kulingana na matakwa ya wananchi , hasa wana CCM
Lakini kwa ndugu yetu huyu Shaka Hamdu mimi simwelewi, hatetei Itikadi wala kudadavua sera za chama.
Yeye kutwa kuchwa ni sifa kwa Mama Samia.
Si kwamba sitaki Mama Smia asifiwe, lakini tusisahau kuwa Mama Samia anawatumikia wananchi na ndio kazi yake.
Inabidi kwa kweli Shaka aingie tuition ya mzee Kinana ili aanze kuelewa hasa kazi yake ni nini.
Mkuu lets rise above petty character assasination na tujifunze kuwa proffessional critics.Msimsakame kwa maneno atasusa arudi kwa mumewe kule Mombasa.
Mzee Kinana inabidi amgutue huyu kijana.nafikiri hajui kazi zake, na waliomtuma pia hawamstui kuhusu kazi zake!
Kinachouma ccm wanafanya mikutano kila uchwao lakini vyama vingine vimefungwa pingu za miguu, mikono na bandage mdomoni!