Hamdu Shaka, hivi kazi yako haswa ni nini, kumsifia Rais Samia au kuelezea Itikadi ya CCM?

Zote ni Kazi zake..

Tatizo hapo ni wivu Rais akisifiwa Wala hakuna jingine.
 
Labda linamtaka maana yule mama kwa kuzimiwa na vijana hajambo
 
Zote ni Kazi zake..

Tatizo hapo ni wivu Rais akisifiwa Wala hakuna jingine.
Mkuu kwa umahiri wako hapa JF I expected a better line of thought.

Siasa si mapenzi.
Siasa ni matarajio ya wananchi mimaendeleo kisiasa, kiuchumi na kijamii.

CCM inabeba matarajio hayo.
Mkuu wa Itikadi na uenezi kazi yake ni kuainisha, kuhamasisha na generally kuwaamsha wananchi katika matarajio hayo.

Kama hujaisoma katiba ya chama nikukumbushe:

Idara ya Itikadi na Uenezi
-Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.

-Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
-Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
-Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
-Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
-Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama

Rejea sasa katiba ya chama, hakuna mapenzi wala wivu hapo.
Tunataka kazi iendelee.
 
Tulionya huko nyuma, sasa udhaifu umeshughulikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…