Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
My opinion, this is wrong! Baada ya Bunge kuvunjwa na uwaziri ulipaswa kuishia pale, kila Waziri was supposed to vacate the office by pack and go, hata kama atachaguliwa kuendelea, so that Waziri mpya akija aanze kivyake, haya mambo ya kukabidhiana ofisi kuna wengine ni watu wa madudu, mavitu na makitu, akikabidhi ofisi, anakabidhi na madudu, mavitu na makitu yake!
P
Alikuwa anashindana na mademu wake kuchange status.Waziri gani kutwa kujichekesha Instagram!
Mkuu tema mate chiniHivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
Suruali ya kuazimwa haisitili mwili. Hongera Kigwangala na pole Damas.Waziri wa zamani wa Mali asili na Utalii Mh Hamisi Kigwangwala amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dr Damas Ndumbaro
View attachment 1646118View attachment 1646119
Hakuna cha usalama hapo, Usalama wa Taifa anakuwaga mshamba na limbukeni kama hili li jamaa!Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Hakuna cha usalama hapo, Usalama wa Taifa anakuwaga mshamba na limbukeni kama hili li jamaa!
Usalama wa Taifa cha kwanza kwao ni " camouflage and concealment ").
Huyu hana tofauti na wale akina dada poa ambao kutwa kupiga picha na kupost kwenye mitandao ya kijamii.
Huyu ana vitabia vya akina mama wa uswahilini ambaye akipika ubwabwa basi anataka mtaa mzima ujue siku hiyo anakula wali. Mshamba sana!
Wabongo bhana, kila jambo ni usalama.Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake