rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Mh....sijakupata nduguSura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh....sijakupata nduguSura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Kuna jamaa anaitwa Hamisi Mwinjuma. Huyo kutwa kumvagaa_vagaa MagufuliHivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
Huo usemi ni Brand ya mtu.Waziri wa twitter [emoji846][emoji846][emoji846]
Au nasema uongo ndugu zangu?
Huyo jina lake ni Andrea Bagalile.Hivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
Yes. Sasa afanye kazi ya kumpost mwenyekiti wa chama na kusifia kila kitu Bungeni. Madilu alishaonyesha namna gani ufanye ili urudi kwenye radar za JiweMuhimu kabaki na account yake ya Twitter.
Haituhusu tuko na Lema God bless wetu
My opinion, this is wrong! Baada ya Bunge kuvunjwa na uwaziri ulipaswa kuishia pale, kila Waziri was supposed to vacate the office by pack and go, hata kama atachaguliwa kuendelea, so that Waziri mpya akija aanze kivyake, haya mambo ya kukabidhiana ofisi kuna wengine ni watu wa madudu, mavitu na makitu, akikabidhi ofisi, anakabidhi na madudu, mavitu na makitu yake!Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
Sasa angekuwa alikopeshwa zile Tukutuku hali ingekuwaje kwa bilionea Mo?Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
Dada unadharau weweeeHuyo Damas Ndumbaru naye mbona mfupi sana jamani? Ataweza kweli kupanda Mlima Kilimanjaro? Khaaa
Hao wafupi kwa kupanda milima ni balaa, refer wapare na waluguru.Huyo Damas Ndumbaru naye mbona mfupi sana jamani? Ataweza kweli kupanda Mlima Kilimanjaro? Khaaa
My opinion, this is wrong!. Baada ya Bunge kuvunjwa na uwaziri ulipaswa kuishia pale, kila Waziri was supposed to vacate the office by pack and go, hata kama atachaguliwa kuendelea, so that Waziri mpya akija aanze kivyake, haya mambo ya kukabidhiana ofisi kuna wengine ni watu wa madudu, mavitu na makitu, akikabidhi ofisi, anakabidhi na madudu, mavitu na makitu yake!
P
Pascal ongeza sauti kidogo plsMy opinion, this is wrong!. Baada ya Bunge kuvunjwa na uwaziri ulipaswa kuishia pale, kila Waziri was supposed to vacate the office by pack and go, hata kama atachaguliwa kuendelea, so that Waziri mpya akija aanze kivyake, haya mambo ya kukabidhiana ofisi kuna wengine ni watu wa madudu, mavitu na makitu, akikabidhi ofisi, anakabidhi na madudu, mavitu na makitu yake!.
P
Mpina bado haamini kilichotokea yaani.Hivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
Daah aisee basi huku mtaani mafundi wa kuchomelea wote watakua ni usalama wa taifa maana sura zao ziko hivyo na zile miwani zao za kuchomelea.Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake