albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Hua wana sura zao hao usalama wa Taifa kumbe.Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua wana sura zao hao usalama wa Taifa kumbe.Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Lema anaenda kula za vikongwe wa Canada wewe endelea kuganga njaa tu.Haituhusu tuko na Lema God bless wetu
Heri kuambatana na waliohaki nyie mmeamua kuita haramu ni haki na haki imekuwa haramuLema anaenda kula za vikongwe wa Canada wewe endelea kuganga njaa tu.
Akalime lami sasaWaziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Damas Ndumbaru naye mbona mfupi sana jamani? Ataweza kweli kupanda Mlima Kilimanjaro? Khaaa
Anakabidhi vipi ofisi wakati hakuwepo ofisini muda mrefu na pia alishakabidhi ofisi kwa katibu mkuu?
Ili ashinde huko kufanya kazi yake ya kupostMuhimu kabaki na account yake ya Twitter.
Wait and see! I presume Permanent Secretaries were the ones running all ministries! Tuone kama wengine watafanya vilevile wakati hawakuwa kazini!!!
Wewe mchawi wa kilwaHivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
Hahaaaaaa tatizo warefu pengine hamna kitu kichwaniHuyo Damas Ndumbaru naye mbona mfupi sana jamani? Ataweza kweli kupanda Mlima Kilimanjaro? Khaaa
Je atafungua blog yake?Waziri wa twitter [emoji846][emoji846][emoji846]
Au nasema uongo ndugu zangu??
Una akili za kitoto sanaSura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
AiseeWaziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
Yeye anaona kuinua utalii nchini ni kuwatumia bongo movie ....kumbe watu walikuwa na mipango yaoSasa akaendeleze starehe na wanawake
.Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.