Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteHahaha nimecheka sana eti makitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteHahaha nimecheka sana eti makitu
Hivi ni Hamis tu ndiye alikuwa hajakabidhi ofisi?! Mbona hatuoni picha za Mpina, Hasunga na Eng.Kamwelwe nao wakikabidhi ofisi ?!
Kweli huyu jamaa ni limbukeni wa mitandao ya kijamii na ni mshamba sana!
Ukitaka kumpa mtoto jina ebu jiulize Mara mbili mbili unapotaka kumpa jina la Mwajuma na Hamisi !
"Wee Ulisikia Wapi!?" Kwa sauti ya Bwege [emoji1787]Waziri wa twitter [emoji846][emoji846][emoji846]
Au nasema uongo ndugu zangu??
Ila baada ya muda mfupi ujao nitajiondoa JF ili kushiriki harakati za ardhini na majukwaaniOoh mkuu kumbe upo!!!
mi naona unaweza kufanya hizo harakati zako na pia ukaendelea kutoa mchango wako hapa jukwaani (japo sifaham ni harakati zipi unadhamiria kuzifanya)Ila baada ya muda mfupi ujao nitajiondoa jf ili kushiriki harakati za ardhini na majukwaani
Mkimbizi uchwara 🙃Haituhusu tuko na Lema God bless wetu
CCM wote wafupiHuyo Damas Ndumbaru naye mbona mfupi sana jamani? Ataweza kweli kupanda Mlima Kilimanjaro? Khaaa
Harakati kubwa mnomi naona unaweza kufanya hizo harakati zako na pia ukaendelea kutoa mchango wako hapa jukwaani (japo sifaham ni harakati zipi unadhamiria kuzifanya)
SaidHuyo jina lake ni Andrea Bagalile.
Jamaa hilo shati limemtoaWaziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
Kina Wema jeee? Wale alikuwa anakwenda nao kula bhata. Ati anatangaza utalii na Steve nyerere hahahhahhaaBora, na twiga wetu watapona!
Onyo : usithubutu kumtelekeza mzazi wako hadi ikafikia anakufa njaa , laana yake haiishi