Hamis Kigwangwala akabidhi ofisi kwa Waziri Mpya

Sura ya kiusalama wa taifa kabisa Kuna special mission inapagwa/ilipangwa kwa ajili yake...muda utasema KILa jambo Lina muda wake
Hua wana sura zao hao usalama wa Taifa kumbe.
 
Anakabidhi vipi ofisi wakati hakuwepo ofisini muda mrefu na pia alishakabidhi ofisi kwa katibu mkuu?

Wait and see! I presume Permanent Secretaries were the ones running all ministries! Tuone kama wengine watafanya vilevile wakati hawakuwa kazini!!!
 
Let's and see but it is like wonders
Wait and see! I presume Permanent Secretaries were the ones running all ministries! Tuone kama wengine watafanya vilevile wakati hawakuwa kazini!!!
 
Wewe mchawi wa kilwa
 
Kikubwa ni ubunge aliochaguliwa na wananchi hiyo ya uwaziri si yakutafutia pilipili
 
Nilifungua uzi fasta nikafikiri ni Hamisa Mabeto....dah nampendaga yule binti hata wife anajua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…