[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wajomba zake wa nzega walikuwa wachawi wa gamboshiAkaself na tunguli sasa
Nje ya boksi
Ndumba zikiexpire ubackfire noma sanaWajomba zake wa nzega walikuwa wachawi wa gamboshi
Hamis kama said bagaile mzee kununulia wauza mbunye magari huko arachugaWaziri wa zamani wa Maliasili na Utalii Mh Hamisi Kigwangalla amekamilisha mchakato wa kukabidhi ofisi kwa Waziri mpya Dkt. Damas Ndumbaro.
hahaha na mizozano na mo dewjiMuhimu kabaki na account yake ya Twitter.
michambo ya ushambenga sioKwisha habari yake aende akaendeleze michambo na Mudi
Bado anabembelezea kuteuliwaMbona sijaona mawaziri wengine wa zamani mfano mwakyembe akikabidhi ofisi
inamaana ni yeye tu ndio kakabidhi?