Hamis Talatale: Sijamtoa kafara mke wangu ili nipate ubunge, nilimpenda sana haina mfano!

Hamis Talatale: Sijamtoa kafara mke wangu ili nipate ubunge, nilimpenda sana haina mfano!

Tale ulikua unaenda Bagamoyo kwa kina Maarifa wale waganga wa kijiji cha Buma pale Pembeni ya chuo cha Kilimo kufanya nini 2019 kila mwezi siku ya alkhamisi usiku.
Yule kijana aliekua anakupa makombe na kukuogesha dawa usiku unamkumbuka. Basi ni moja ya walinzi wa shamba langu hapo jirani upande wa mashariki.
ULIMTOA KAFARA MKEO. Ukileta ubishi naweka namba ya Kijana mumpigie.

mkuu futa hii comment unamuharibia huyo kijana
 
Mlitegemea aseme "ndiyo nilimtoa mke wangu kafara ".Huyu pamoja na ubunge kuupata hatokaa apate amani moyoni mwake. Eti mkewe alimwambia asioe. Ikute mganga wake ndo kamwambia asioe. Haiji akilini utoe kafara halafu uoe tena 🤣🤣🤣
 
Tale ulikua unaenda Bagamoyo kwa kina Maarifa wale waganga wa kijiji cha Buma pale Pembeni ya chuo cha Kilimo kufanya nini 2019 kila mwezi siku ya alkhamisi usiku.
Yule kijana aliekua anakupa makombe na kukuogesha dawa usiku unamkumbuka. Basi ni moja ya walinzi wa shamba langu hapo jirani upande wa mashariki.
ULIMTOA KAFARA MKEO. Ukileta ubishi naweka namba ya Kijana mumpigie.
Tapeli alafu lipia tangazo.
 
Back
Top Bottom