Hamis Talatale: Sijamtoa kafara mke wangu ili nipate ubunge, nilimpenda sana haina mfano!

Hamis Talatale: Sijamtoa kafara mke wangu ili nipate ubunge, nilimpenda sana haina mfano!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wee si uko huko chamani, kamshauri vizuri, na aache ujuha wake.
Yule kijana ni mjinga sana

Eti anapigiwa saluti na askari mwenye nyota!
 
Kuhusu suala la ushirikina yeye mwenyew alishakiri kuwa anafanya, kuna kipindi alikua anahojiwa clouds
N alisema mambo yake ya kushirikina na mganga wake yupo Kibaha, saivi anakataaah lol.
Sijui kashasahau kuwa alishaweka wazi kuhusu matunguri yake.
 
Yule kijana ni mjinga sana

Eti anapigiwa saluti na askari mwenye nyota!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo vizuri mkawa mnawapa elimu juu ya heshima ktk nyazifa fulani, isije akashangaa hapigiwi saluti huku anajua yeye lazima apigiwe.
 
Kitu kimoja tu kuhusu Babu Tale, ana roho mbayaaaaaaa sana, .. Na pamoja na kuweka innocent face muda wote, lakini bado ukiangalia hata picha yake tu kuna kitu kibaya ndani yake unakiona...
Huyo ni mshirikina wa kiwango cha uchumi wa juu, wala hakuna usiri wowote. Na yeye alushawahi kukiri hilo.
 
Kumbe umeona hili mwenzangu, na ndo inavokuwa,
Kamtoa kafara mkewe, hili halina ubishi, mbna inaonekana wazi kabisa.
Yani umtoe kafara mke kisa ubunge!!???
kama ni kweli jamaa ana balaa
sasa pesa ni za kazi gani kama unaua mke uliyempenda!!??
watu tunatafuta pesa tukatumbue na wake zetu....
ama tuwapendao....
 
Yani umtoe kafara mke kisa ubunge!!???
kama ni kweli jamaa ana balaa
sasa pesa ni za kazi gani kama unaua mke uliyempenda!!??
watu tunatafuta pesa tukatumbue na wake zetu....
ama tuwapendao....
Wee ndo unasema au kuona kutoa kafara make kisa ubunge ni ujinga au ulofa, sasa viongozi wengi tyuuh wa serikali watu wao wanaowapenda kisa madaraka.
Pesa inabaki kuwa pesa tyuuh, ndo maan kila mtu anasaka pesa ili afurahie maisha murua, km kustarehe wapo wengine watakakuja kustarehe na kutumbua hizo pesa.
Dunia uwanja wa vita.
 
Mlitegemea aseme "ndiyo nilimtoa mke wangu kafara ".Huyu pamoja na ubunge kuupata hatokaa apate amani moyoni mwake. Eti mkewe alimwambia asioe. Ikute mganga wake ndo kamwambia asioe. Haiji akilini utoe kafara halafu uoe tena 🤣🤣🤣
Jamani si kasema atampa salama voice note sijui voice clip aisikilize mkewe akiwa Anaongea swala la yeye kuwa asioe?
 
Kwa jinsi alivolia kuanzia mwanzo wa kipindi hadi mwisho naamini kabisa hajamuua mke wake bana
 
Yani umtoe kafara mke kisa ubunge!!???
kama ni kweli jamaa ana balaa
sasa pesa ni za kazi gani kama unaua mke uliyempenda!!??
watu tunatafuta pesa tukatumbue na wake zetu....
ama tuwapendao....
Nenda Makete utajua hujui!

Bwashee anasa zina gharama zake.
 
Tangu lini askari akampigia salute mbunge kumbe huyu jamaa ni kilaza kiasi hiki yeye naye atajiita serkali .poor and silly
Jamaa kweli ni mpuuzi Sana, na naamini alimtoa kafara yule bibie, LAKINI serikali ni Mimi, wewe na Babu Tale.
 
Back
Top Bottom