mbunge sio mteule wa Rais, na hamuwakilishi Rais popote pale, mteule wa Rais anayemuwakilisha Rais katika ngazi fulani ndio anayepigiwa salute tu, nao ni kama DC, RC na WaziriKiongozi /Mteuliwa wa serikali km Mbunge au Mkuu wa Wilaya wanapigiwa saluti ndio maana wanatembea na agari yenye bendera ya Taifa katika maeneo yao ya kujidai, sijajua km Diwani yumo
View attachment 1689795
View attachment 1689796
Mlitegemea aseme "ndiyo nilimtoa mke wangu kafara ".Huyu pamoja na ubunge kuupata hatokaa apate amani moyoni mwake. Eti mkewe alimwambia asioe. Ikute mganga wake ndo kamwambia asioe. Haiji akilini utoe kafara halafu uoe tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni vigumu watu wote hao wamsingizie lisemwalo lipo
Lakini Ni kada mwenzakoTangu lini askari akampigia salute mbunge kumbe huyu jamaa ni kilaza kiasi hiki yeye naye atajiita serkali .poor and silly
Maswali mengine wala sio yakuuliza. Sasa tuseme ni kweli kamtoa kafara unategemea atajibu ndio nimemtoa kafara? kitu kinachonikera huyu mtu ana act na ana sura fulani ya mtu sio wa kuaminika. kwanini watu wamtilie mashaka hajiulizi tu? wangapi wanafiwa hata viongozi kwanini yeye. Mimi sisemi ni kweli hapana ila tabia za mtu zinakuja kukuweka katika mashaka kama haya. maadui zake kina nani wakati ubunge kapita bila kupingwa. Sababu ya yote hata anaviashiria vya ushirikina anavyo na face expression yake sio mtu wa kumuamini ni mtu fulani hayuko real. Huyu mtu simjui hajawahi kunifanyia kitu chochote lakini kuna ile hali mtu unaweza kumchukia mtu bila sababu kwa kumuangalia tu basi ndio mimi, sio dhambi hata mimi mtu anaweza tu asinikubali bila sababu ila ukiona wengi wanakutilia mashaka basi jiangali. lolote linawezekana. kuna watu tunasikia walitoa kafara na nasikia sharti la kafara unatoa unachokipenda zaidi sio unachokichukia. Haya yanasemwa tu sina ushahidi.
Tale kuna kitu anaficha.
Na kitamtesa
Babu Tale amelia sana alipoulizwa swali la kafara na Salama!
Tena police officer![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo madhara ya wasanii kupewa nafasi nyeti.
Sikuwahi jua hili, mbunge kupigiwa saluti na askari lol
mbunge sio mteule wa Rais, na hamuwakilishi Rais popote pale, mteule wa Rais anayemuwakilisha Rais katika ngazi fulani ndio anayepigiwa salute tu, nao ni kama DC, RC na Waziri
fuatlia hii clip dk ya 1.14wabunge ndio walikua wanalalamika kwanini ma DC wanapigiwa salute ila wao hawapigiwi, mmoja wapo alikua ni Godbles Lema, lakini haikupitishwa,
Job ndugai anapigiwa salute yeye kwasababu ana kofia ya uspika wa bunge, pia waziri anapigiwa salute lakini mbunge wa kawaida hapigiwi salute
Hapo ndo nilipoogopa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1751]Mlitegemea aseme "ndiyo nilimtoa mke wangu kafara ".Huyu pamoja na ubunge kuupata hatokaa apate amani moyoni mwake. Eti mkewe alimwambia asioe. Ikute mganga wake ndo kamwambia asioe. Haiji akilini utoe kafara halafu uoe tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti Ismael[emoji16][emoji16]Kafara vinatolewa unavyovipenda sana, Hata Ibrahim alipewa mtihani wa kumtoa kafara mtoto wake kipenzi Ismael ila Mungu alimpa majaribio akampa mbadala, waganga hawana mbadala toa unachopenda sana [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Amekaa kishirikina sana mweeh[emoji848]Hata mimi huyu mtu simjui ila sura yake tu nikiiona namchukia, kuna ile facial expression flan hvi anaiweka ya kujitilisha huruma, yan mtu unataman umkate kichwa, ipo siku tu ukweli utawekwa wazi , labda kama Mungu hayupo , naomba huu uzi uendelee kuwepo tu for the future use
Kwahiyo wakati analia, Salama alikuwa anamsubiria amalize kulia, aanze kulonga kwa kile kisauti chake.Babu Tale amelia sana alipoulizwa swali la kafara na Salama!
Amekaa kishirikina sana mweeh[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wee si uko huko chamani, kamshauri vizuri, na aache ujuha wake.Tena police officer!
Kumbe umeona hili mwenzangu, na ndo inavokuwa,Mlitegemea aseme "ndiyo nilimtoa mke wangu kafara ".Huyu pamoja na ubunge kuupata hatokaa apate amani moyoni mwake. Eti mkewe alimwambia asioe. Ikute mganga wake ndo kamwambia asioe. Haiji akilini utoe kafara halafu uoe tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]