Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Ila huyu kaka ni mcharo, binafsi nmemuelewa sana, kama sio wake atleast atafute wa hivi.
Sio unaacha mtu afu unaenda kubeba mbovu kuliko ex
Hii ndio raha ya kuamua kuachilia. Unaweza ukawa unang'ang'ania kitu kumbe wala si hadhi yako. Fungu lako lipo na litakufit exactly. Sio shabiki wake but hamisa good girl. Wala usiybishwe na huyu hance kuzaa na wanaume wawili isiwe ishu ya kukurudisha nyuma kama kweli unataman mahusiano. Keep living your life girl
 
Hii ndio raha ya kuamua kuachilia. Unaweza ukawa unang'ang'ania kitu kumbe wala si hadhi yako. Fungu lako lipo na litakufit exactly. Sio shabiki wake but hamisa good girl. Wala usiybishwe na huyu hance kuzaa na wanaume wawili isiwe ishu ya kukurudisha nyuma kama kweli unataman mahusiano. Keep living your life girl
Kwakweli hata mi naona sawa alivoamua kujitoa kwenye familia ya tandale asiishie tu kumkodi huyu amchukue kabisa
 
Mbona kama umeandika kwa uchungu sana Mkuu? Wewe ndio Diamond mwenyewe nini? Hahaaaaa

Hamisa ni mwanamke wa shoka sababu anatambua ya kwamba hakuna haja ya kung’ang’ania pasipokufaa tena.
Wanaume wote hawa kwanini ajipe stress na mtu asiyethamini utu wa wanawake?

Yani Hamisa mdogo lakini kawazidi akili hadi wazee akina Joyce Kiria wanaolilia wanaume kila siku.

And oh yeah,shemeji yetu ni moto aiseeee [emoji1487]
 
Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin
Mi nakusoma na nakuelewa sana mwalimu wangu sweetlo
 
Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin

Halafu eti ni malaya kisa kamove on!
Hahaaaaa
Huyu jamaa atakufa kwa kihoro,inaonekana kaumia sana.
 
Ile familia ilitakiwa impate mtu mvumilivu sana na asiye kuwa na kinyongo.

Hakuna mtu wa hivyo! Hakuna mtu anayeweza kuivumilia ile familia.

Ujue Diamond anachukulia poa sasa hivi kwa sababu bado kijana na ndiyo maisha anayoyataka ya kubadili wanawake. Ila utakapofika wakati akampata mwanamke akampenda kweli na kuwa tayari kutulia nae ndipo atakapouona ubaya wa familia yake.
 
Hakuna mtu wa hivyo! Hakuna mtu anayeweza kuivumilia ile familia.

Ujue Diamond anachukulia poa sasa hivi kwa sababu bado kijana na ndiyo maisha anayoyataka ya kubadili wanawake. Ila utakapofika wakati akampata mwanamke akampenda kweli na kuwa tayari kutulia nae ndipo atakapouona ubaya wa familia yake.
Kuwepo wapo but not amongst wanao mzunguka. To tell the truth hawa wa nitarejea angekuwavumilivu sana kwake.

Nifah take it from me wapo wanawake wanaish maisha mabaya ya mateso ya wakwe kuliko hata hii familia ya tandale. Lkn wanavumilia na wala huwez kujua chochote kile.
 
Kuwepo wapo but not amongst wanao mzunguka. To tell the truth hawa wa nitarejea angekuwavumilivu sana kwake.

Nifah take it from me wapo wanawake wanaish maisha mabaya ya mateso ya wakwe kuliko hata hii familia ya tandale. Lkn wanavumilia na wala huwez kujua chochote kile.

Yule Hawa ndio alikuwa mwanamke wa kumfaa ila ndio hivyo tena kijana akaona Hawa hafai kuuzia sura.

Kweli mwenzangu,na uvumilivu huo ungechangiwa na hela pia kama Anitha wa Kinje anavyokufa na tai shingoni.
 
Kivipi? Kwani huyu Mmarekani Mashine haisimami? Hivi kweli Demu kama huyu ajilete kwako umuache hivi hivi bila kumla? Basi huyo mmarekani atakuwa Shoga akimuacha bila kumtafuna.
 
Tatizo la dada zetu wengi wanaumizwa kwa kutojua nafasi zao wanakua na hopes zipo juu hadi wanapost mitandaoni.
Kuna tofauti kubwa sana ya one night stand,No strings attached,friends with benefits,wakuzugia nk na mmoja wao ni huyu Mobeto
kweli kaka umesahau OPEN RELATIONSHIP pia, ha ha ha haa
 
kweli kaka umesahau OPEN RELATIONSHIP pia, ha ha ha haa
Huyu amemla tu inawezeakana hata kwa kulipia picha auze ila dada yetu kanogewa na nahisi hata kuna mkono wa Mange hapa maana ndio anashikia bango
 
Yule Hawa ndio alikuwa mwanamke wa kumfaa ila ndio hivyo tena kijana akaona Hawa hafai kuuzia sura.

Kweli mwenzangu,na uvumilivu huo ungechangiwa na hela pia kama Anitha wa Kinje anavyokufa na tai shingoni.
najaribu kumuelewa Anitha nashindwa kabisa
 
Back
Top Bottom