witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mi sio mrembo jamani....nina sura ya babushikamoo mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sio mrembo jamani....nina sura ya babushikamoo mrembo
Na ukaamini?Demu wangu ameniambia
Mi sio mrembo jamani....nina sura ya babu
VP kwani njaa auNa ukaamini?
MhhhhhhhhhhhhhhhhhhhSimfagilii tununu ila sioni haja ya wewe kuwashwa kisa kapata mwanaume. Muache akitumie kitumbua chake atakavyo hope hajaiba maana hako ka chuchunge kajizi sana.
Ndo maana ake....VP kwani njaa au
Amekufanyaje mpaka umchukie au mnajuana
Urembo wako tunaujua sisi tunaokuona mshukuru Mungu angalau Luna wanakuona mrembo.Mi sio mrembo jamani....nina sura ya babu
Usimpangie mtu maisha yakeSuala la kwamba wana date 100% si kweli.
Na kama ni kweli basi anajirahisisha sana kwa wanaume hivyo mpaka anaingia kaburini suala la ndoa atalisikia kwenye bomba.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .....acha kunidanganya wewe!... Mi nimekomaa![emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Urembo wako tunaujua sisi tunaokuona mshukuru Mungu angalau Luna wanakuona mrembo.
Ohoooo kwahiyo tuchat vya mwisho mwisho best[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .....acha kunidanganya wewe!... Mi nimekomaa![emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
usianzishie mtu uzi, samehe mara nyingi uwezavyo na utakuwa na amani maishaniOhoooo kwahiyo tuchat vya mwisho mwisho best[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa mbona na Uzi wangu matata nataka kuushusha!
Best kile kikaragosi hukipendagi nataka kukishushia Uzi leo.... Limezidi![emoji23]
Aaah mtamu wapi....mtoto inabidi uwe mlaini laini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]si ndio mtamu?
Kwa pale usinihubirie....nishaamua!usianzishie mtu uzi, samehe mara nyingi uwezavyo na utakuwa na amani maishani
Aaah mtamu wapi....mtoto inabidi uwe mlaini laini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Utamu wa pipi...mate yakoutamu uko kwa mlaji best