Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Mwanaume kumsimanga mwanamke ni mambo ya ajabu [emoji57]
 
Ajishebedue atuletee kiside kid kingine aone mwambieni atumie kondomu safari hii
 
Yule Hawa ndio alikuwa mwanamke wa kumfaa ila ndio hivyo tena kijana akaona Hawa hafai kuuzia sura.

Kweli mwenzangu,na uvumilivu huo ungechangiwa na hela pia kama Anitha wa Kinje anavyokufa na tai shingoni.
Mondi alikosa familia yenye jicho la tatu la kuona mbali ilo wamshauri.

Anita kinje binafsi nampongeza kama kaamua bila unafiki kuvumilia ya ndani kwake. Manake hata akiachika Leo hata kutana na malaika amuoe. Na it's better to live with the devil you know than an angle you don't know
 
We jamaa unaanza kupagawa si bure
 
Ila huyu kaka ni mcharo, binafsi nmemuelewa sana, kama sio wake atleast atafute wa hivi.
Sio unaacha mtu afu unaenda kubeba mbovu kuliko ex
Ndo mnapopoteleaga hapo sasa ,ukishaachana na mtu kuanza kutafuta zaidi yake ni dadlili kuwa inside huja move on ,msahau kabisa ,mtoe kabisa ,take some time kukomaa na mambo kama kazi,starehe etc kisha fungua moyo ,samehe utapata mwingine hivi ukiachana na alikiba ambaye ni handsome ambaye alikuwa full time mlevi ,anakupiga ,anatembea na rafiki zako,hamheshimu mama yako etc ukajipatia kijana kama masanja ambaye anakuheshimu,anakupa full attension na anamheshimu sana nduguzo ,na hata rafiki zako wanasema anawaheshimu unakuwa umegain au umeloose .
 
Ndo mnapopoteleaga hapo sasa ,ukishaachana na mtu kuanza kutafuta zaidi yake ni dadlili kuwa inside huja move on ,msahau kabisa ,mtoe kabisa ,take some time kukomaa na mambo kama kazi,starehe etc kisha fungua moyo ,samehe utapata mwingine hivi ukiachana na alikiba ambaye ni handsome ambaye alikuwa full time mlevi ,anakupiga ,anatembea na rafiki zako,hamheshimu mama yako etc ukajipatia kijana kama masanja ambaye anakuheshimu,anakupa full attension na anamheshimu sana nduguzo ,na hata rafiki zako wanasema anawaheshimu unakuwa umegain au umeloose .
Huyu kaka mcharo arooooo
 
Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin
Dada kwani kulikuwa na sababu gani aunane na mtu juzi tu arushe mitandoni ,yeye ni nani kwani ? sio mwanamziki mzuri au maarufu ,sio muigizaji walau hayumo top 30 tz ,sio mwanamitindo bora maana alishiriki 2011 miss tz hakuwemo 20 bora ,jina pekee alilonalo ni mdangaji maarufu aliezaa na makahaba wawili mondi na jizzo baaaasii ...wat a low life (in zari voice )
 
Umeumiaaa sasa wewe ndo hamisa kuusemea moyo wake
 
Back
Top Bottom