Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kivyake na ndo tunachotaka haters wake. Soon mambo yatakua hadharani tutamchekaje mfyuuuu zake
Kuna ka picha kake jomoni?Mwingine wa hivi alionekana mara ya mwisho kwenye vita vya pili vya dunia😀
Mondi alikosa familia yenye jicho la tatu la kuona mbali ilo wamshauri.Yule Hawa ndio alikuwa mwanamke wa kumfaa ila ndio hivyo tena kijana akaona Hawa hafai kuuzia sura.
Kweli mwenzangu,na uvumilivu huo ungechangiwa na hela pia kama Anitha wa Kinje anavyokufa na tai shingoni.
Kapicha kamechakaa we mwangalie huyu huyu wa chuchunge hahahaKuna ka picha kake jomoni?
Ndo mnapopoteleaga hapo sasa ,ukishaachana na mtu kuanza kutafuta zaidi yake ni dadlili kuwa inside huja move on ,msahau kabisa ,mtoe kabisa ,take some time kukomaa na mambo kama kazi,starehe etc kisha fungua moyo ,samehe utapata mwingine hivi ukiachana na alikiba ambaye ni handsome ambaye alikuwa full time mlevi ,anakupiga ,anatembea na rafiki zako,hamheshimu mama yako etc ukajipatia kijana kama masanja ambaye anakuheshimu,anakupa full attension na anamheshimu sana nduguzo ,na hata rafiki zako wanasema anawaheshimu unakuwa umegain au umeloose .Ila huyu kaka ni mcharo, binafsi nmemuelewa sana, kama sio wake atleast atafute wa hivi.
Sio unaacha mtu afu unaenda kubeba mbovu kuliko ex
Huyu kaka mcharo aroooooNdo mnapopoteleaga hapo sasa ,ukishaachana na mtu kuanza kutafuta zaidi yake ni dadlili kuwa inside huja move on ,msahau kabisa ,mtoe kabisa ,take some time kukomaa na mambo kama kazi,starehe etc kisha fungua moyo ,samehe utapata mwingine hivi ukiachana na alikiba ambaye ni handsome ambaye alikuwa full time mlevi ,anakupiga ,anatembea na rafiki zako,hamheshimu mama yako etc ukajipatia kijana kama masanja ambaye anakuheshimu,anakupa full attension na anamheshimu sana nduguzo ,na hata rafiki zako wanasema anawaheshimu unakuwa umegain au umeloose .
Dada kwani kulikuwa na sababu gani aunane na mtu juzi tu arushe mitandoni ,yeye ni nani kwani ? sio mwanamziki mzuri au maarufu ,sio muigizaji walau hayumo top 30 tz ,sio mwanamitindo bora maana alishiriki 2011 miss tz hakuwemo 20 bora ,jina pekee alilonalo ni mdangaji maarufu aliezaa na makahaba wawili mondi na jizzo baaaasii ...wat a low life (in zari voice )Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin
Hata vera sindika ni mcharooo sasa peleka kamoyo kako paleHuyu kaka mcharo arooooo
Npeleke wapi moyo nifeHata vera sindika ni mcharooo sasa peleka kamoyo kako pale
Amekufanyaje mpaka umchukie au mnajuanaKivyake na ndo tunachotaka haters wake. Soon mambo yatakua hadharani tutamchekaje mfyuuuu zake
Hujaniona mimiAcheni utani huyu kaka hajapata tokea tangu tupate Uhuru.[emoji3]
Nawe ni HB?Hujaniona mimi
Yani hatareeeNawe ni HB?
Ulijuaje? Kwa kujiangalia kwenye kioo?[emoji15]Yani hatareee
Demu wangu ameniambiaUlijuaje? Kwa kujiangalia kwenye kioo?[emoji15]
shikamoo mremboUlijuaje? Kwa kujiangalia kwenye kioo?[emoji15]