Tetesi: Hamisa kutimkia Honeymoon Maldives (mwezi mmoja)

Tetesi: Hamisa kutimkia Honeymoon Maldives (mwezi mmoja)

Halafu sasa pete wameonesha wamevishana Dubai juzi tena wanavishana tena inashushwa na Drone eti anashangaa wakati vikao vya harusi vyote yumo na kupangilia script, wabongo hapana nawavulia kofia.
 
Nitaowa labda mwanamke na X wawili hivi lakini umri mdogo list kama team ya mpira ma X hapana wanaume tuna roho ngumu sana. Najuwa kuna watu watasema na yeye mwanamme, lakini sisi wanaume viumbe tofauti tunatamani tu hata malaya mbaya barabarani unaweza kutamani lakini wanawake kwa hisia sasa wote hao?
 
1739388788187.jpg
 
Kwa jinsi nzengo mnavoiweka mdomoni hii ndoa nachelea kusema mtaitia gundu matokeo yake isifike hata 77 ya mwaka 2025. Waombeeni kheri!
 
Huyu mpe hongera. Maana alibambikizwa mtoto, baada ya kupima DNA akakuta sio. Alitaka kutapeliwa
Dna ilionyesha mtoto ni chibu,sema mama ake alimshinikiza akatae kuwa sio wake, ndio maana Hamisa alimpa ruhusu atafute nchi yoyote anayotqka na wapime live
But aligoma
Sasa huoni kuwa ana lake jambo
 
Walipendeza sana...jamaa aliachwa juujuu,akashindwa move on...akafa kifo Cha Mende....ikawa kama laana kwa uwoya akaokota mbaba mwenye virusi...ndo ikawa ndo Ivo tena...

Ni Mimi mwandishi wenu kutoka Uyole 😋
Aisee,kwahiyo dada yetu ni TANESCO anasambaza umeme?! Lakini naweza nsiamin mbona Dogo janja mzima wa afya hamezi njugu?
 
Back
Top Bottom