Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndoa inanikumbusha Ndikumana na UwoyaView attachment 3238856
Walipendeza sana...jamaa aliachwa juujuu,akashindwa move on...akafa kifo Cha Mende....ikawa kama laana kwa uwoya akaokota mbaba mwenye virusi...ndo ikawa ndo Ivo tena...Hii ndoa inanikumbusha Ndikumana na UwoyaView attachment 3238856
Ila ana q.uma ndogoWalipendeza sana...jamaa aliachwa juujuu,akashindwa move on...akafa kifo Cha Mende....ikawa kama laana kwa uwoya akaokota mbaba mwenye virusi...ndo ikawa ndo Ivo tena...
Ni Mimi mwandishi wenu kutoka Uyole 😋
***** watu nyieIla ana q.uma ndogo
Dna ilionyesha mtoto ni chibu,sema mama ake alimshinikiza akatae kuwa sio wake, ndio maana Hamisa alimpa ruhusu atafute nchi yoyote anayotqka na wapime liveHuyu mpe hongera. Maana alibambikizwa mtoto, baada ya kupima DNA akakuta sio. Alitaka kutapeliwa
Miaka 12Hivi Hamisa kampita dogo Azizi miaka mingapi? Isijekua dogo kaoa lishangazi?!
Mwambie ukweli bwana. Nakufa akafaa😪Alifilisiwa akawa na stress akarudi kwao
HeheheMwambie ukweli bwana. Nakufa akafaa😪
Mas'hara hayaMiaka 12
Watamfirisi uyuAzizi akirudi huko hata cent Moja hana,
Kisiwa kina starehe sana AISEE
🤣🤣🤣Kama Ndikumana alicheza mpira wa kulipwa Cyprus na alifilisika Kwa sababu ya wadada wa mjini,,
Wewe unayechezea nyuma mwiko ni nani usifilisike?
Tumpe muda.
Tayari amshaanza kujilaumu,,angalia Ile body language ya siku ya harusi,,Watamfirisi uyu
Aisee,kwahiyo dada yetu ni TANESCO anasambaza umeme?! Lakini naweza nsiamin mbona Dogo janja mzima wa afya hamezi njugu?Walipendeza sana...jamaa aliachwa juujuu,akashindwa move on...akafa kifo Cha Mende....ikawa kama laana kwa uwoya akaokota mbaba mwenye virusi...ndo ikawa ndo Ivo tena...
Ni Mimi mwandishi wenu kutoka Uyole 😋
Kunywa dawa vizuri hutoniambukiza mkuuAisee,kwahiyo dada yetu ni TANESCO anasambaza umeme?! Lakini naweza nsiamin mbona Dogo janja mzima wa afya hamezi njugu?