Tetesi: Hamisa kutimkia Honeymoon Maldives (mwezi mmoja)

Tetesi: Hamisa kutimkia Honeymoon Maldives (mwezi mmoja)

Walipendeza sana...jamaa aliachwa juujuu,akashindwa move on...akafa kifo Cha Mende....ikawa kama laana kwa uwoya akaokota mbaba mwenye virusi...ndo ikawa ndo Ivo tena...

Ni Mimi mwandishi wenu kutoka Uyole 😋
Hivi uwoya kaungua eee? Mbona sasa huko Daslamu wote wahanga...the chain is chaining...
 
Heee naskiaga Ndiku mchezaji kumbe walifunga ndoa? Je huyo Ndiku yuko wapi siku hizi ? Aliacha kucheza?
Baada ya jamaa kuishiwa Uwoya alimkimbia akabeba na mtoto akakata connection nae kabisa.. jamaa alikufa kwa presha na msongo wa mawazo.
 
Dna ilionyesha mtoto ni chibu,sema mama ake alimshinikiza akatae kuwa sio wake, ndio maana Hamisa alimpa ruhusu atafute nchi yoyote anayotqka na wapime live
But aligoma
Sasa huoni kuwa ana lake jambo
Sio kweli., DNA hapa bongo ilionyesha mtoto ni wa diamond lakini DNA za bongo za mchongo hata kama mtoto sio wako wanakuambia mi wa kwako wenyewe wanasema wanalinda masilahi ya mtoto. Diamond akashtukia mchezo akamwambia Hamisa wakapome DNA South Africa n Hamisa ndio alikataa. Diamond nae akaachana na habari za yule mtoto.
 
Back
Top Bottom