Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Kwani haujui kama na yeye anamiliki mgodi......!

Unapoandaa sera, Sheria na kanuni lazima uwashirikishe wadau wa sekta husika.

Huyu mmiliki wa mgodi kasababisha tafrani kule utopoloni, saivi Tena kahamia madini acha tuone.
 
SIYO Kishikaji,bali NI KIDANGAJI.
 
Kama Mengele alikua anataka mpaka kumnong'oneza sikioni namba moja sembuse Mobeto kualikwa kwenye mkutano wa madini.Hii nchi ni connection na michongo tu
 
Kwa sasa hamisa mobeto anahusika kwenye sekta ya michezo siyo madini itakuwa typing error hiyo
 
Hata mimi limenishangaza sana.
Si wangetuita hata sisi mkuu aisee ambao ni wadau!?
Ewaa! Ndiyo nilikuwa nakutafuta hivyo kwa wadau kama ninyi mnalionaje!

Hawa watu unajua wanafadhili biashara ya umalaya kwa wanawake pasipo kujua. Mabinti watauona umalaya unalipa kuuza nyau kwa wakubwa!

Hamisa anafanya mambo ya ajabu mengi na kazi yake haswa inafahamika. Halafu mwanamke huyu huyu wanampa mashavu makubwa kwenye jamii, hivi serikali huwa inawaza nini?! Mabinti wengine wataona umalaya unalipa na unapata mashavu mpaka serikalini. Hamisa si kama Kim Kardashian tu!

Halafu wadau wenyewe kama ninyi wanawaacha, aisee!
 
Mondi kapita na mademu maarufu wengi, na huyu ni mmoja wapo na kuzaa nae kabsa. Hujiuliz tu ana nini so special? 😅😅....pengine wana wanapeana feedback kuwa yuko vzr kwny 6*6
Hakuna kitu kama hicho! Wabongo wanapenda tu ni watu wa mkumbo!

Kisa demu kapita na mastaa fulani naye anataka apite! Ile na mimi pale nimepiga, nimeichapa sana mpaka ikawa tepe tepee! Basi hapo mbongo anaona katisha sana!
 
Bora wangemuweka Prof. Muhongo
 
labda macho kama mchina
Aah wapi! Huyu demu mbovu tu make up nyingi!

Kajala mbovu tu make up nyingi! Tena kajala akili kichwani ya maisha ndiyo hana kabisa!

Wema mbovu tu make up nyingi!

Irene Uwoya mbovu tu make up nyingi!

Yule demu sijui anaitwa Batuli akiwa bila make up mamaaa utakimbia! Ila akiweka mi make up yake bonge moja la pisi!

Wolper ndiyo pisi mbovu balaa!

Giggy ndiyo pisi mbovu balaa zaidi ya wolper!

Na list inaendelea!

Kwa ufupi hawa mademu michosho tu! Ila watu wanaruka nao ni ile mbongo mtu wa kupenda maujiko, kwamba mwamba pale nimeshapita! Mfano mzuri mwangalie Idriss Sultan alivyotoka BBA, naye akapita kwa Wema ili aonekane!

Mtu anayejielewa hata siku moja hawezi kuwaita hao akina Mobeto na mfano wake kwenye suala lolote la maana kwenye jamii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…