Usikute wewe jamaa ni kijanaHahahhaa, MSHAMALIZA ISHU YA SEDUCE MEKWAMBA IMEVUNJA RECORD
IMEKWISHA NA MNAONA KIPIGO MLICHOKIPATA
SASA WIKI ILOPITA MKAHAMIA NAMIBIA
MMERUD TZ SASA
DAAAAHHH,ROHO ZA CHUKI MBAYA SANAAA
HAYA SASA HAMISA KA KAZWA NA KWA KUA MONDI ALIKUA YUPO HOI,NA KWA KUA NI MALAYA BASI NDO HVYO YANIIIIII
MAISHA YAENDELEENA ALEE MTOTO KAMA WANAWAKE WENGINE TU
Swali lako halina msingi, hakuna mwanaume mwenye sifa hizo kama huyu choko.Wewe mleta uzi ni mwanamke au mwanaume?Tuanzie hapo kwanza.
Sijadili maisha ya watu, lakini Hamisa ni MALAYA. Si mwanamke wa kuoa. Na diamond akikosea amwache Zari, eti aoe huyu malaya, hatatulia tena.
Hakuna mwanamke mwenye busara na aliyetulia, atakuwa na matabia kama ya hiki kijukuu changu hamisa. Ninahisi amelelewa bila baba wa maana ndiyo sababu anakishi kichangudoa doa. Anachokifanya ni kumdhalilisha mtoto.
BAADA YA HII SAGA,KILA MTU ATAMUONA KAMA CEO WA MA MALAYA TZ,HIVI KWELI KUMBE ANAJIRASHISISHA AKIWA NA NIA YAKE MWENYEWEDiamond Anaangaika kujishusha mwenyewe tu, iweje atembee na Malaya kwenye nyumba yake?, kwa nini isiwe hotelini?
Wanaomchukia ndio wanapitia kwenye nyufa anazozitengeneza mwenyewe
Pamoja na hayo, Huyo Msichana anayesambaza picha akiwa na Diamond ni mwanamke mwenye upeo mdogo sana, na itashangaza sana kwa Diamond kama hatamuomba msamaha Zari na akubali kuachana na Zari kirahisi hivyo
Mabeto haingii hata Robo ya Zari kwa Uzoefu wa kukaa na Mwanaume, kutafuta pesa na pia jinsi ya kujiweka kwenye class kitu ambacho alimsaidia sana Diamond,
Sasa huyo Mabeto kazi yake ni Video queen ndio kweli atashindana na Zari?, Mabeto amejidharirisha sana kujionyesha kuwa kweli yeye ni wa kuchapwa tu
NAWE UKITAKWA KULAZWA NA MONDI NA KULIWA MZIGO ILI MBELENI UJE KUTUPIA KWENYE MITANDAO,BASI USISAHAU KUJA NA SIMU ILI UPIGE PICHA,NDO KAZI YA MALAYA DIZAINI YENUWe mwanamke unawivu sio kwa povu hili ulilolitoa. Diamond alishuka siku nyingi amabaki kuishi kwa kiki, anakula matunda ya umalaya wake na Ni majibu ya kumuita Hamisa bitch wakati yeye hana aibu anamlaza kwenye kitanda wanacholala na mkewe? Huyo dogo analaana sio bure mambo ya FM hayo
UMESKIKA MZEE WA MAKUZISwali lako halina msingi, hakuna mwanaume mwenye sifa hizo kama huyu choko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duller kanichekesha hataki hata kuvote,diamond akicheza vibaya atashuka watu hawana hamu nae, yani this shit inanifanya naumia na mimi, domo umezingua mi sipo kwenye team zari wala Hamisa sijapenda domo alivyomchoresha bibi yani hio ni mwisho, ila pia hamisa inaonekana alishajua hapo zari kuachana na domo ni kazi akawa anarecord video za kuibia ili siku akikanwa akinukishe aisee shkamooni wanawakeView attachment 591318 jina limebadilishwa na kama mnavyoona picha baba wa mtoto ni daimond ,na za chino ya kapeti mama mtu na Esma eti hiyo ni kumkomesha zari[emoji23][emoji23]
Hamissa nilikua nasubiri hii siku maana nilikua siamini
Kesho daimond sijui atasemaje,na hapo unaambiwa Hamisa hajanya akinya team zari mtakufwa na presha,,,
Hata mi ningekuwa hamissa huko kukanwa vepe kwani Zari ana nini
Tena hamisa iingie fasta nyingine ulete wa pili mlingane [emoji23][emoji23][emoji23]
duller square jamano hana hamuView attachment 591327
Yani kuna post tzshaderoom aliweka ya single mamas talk heee ukipita mule utachoka watu wanafunguka na kujisifia jinsi wanavyohudumiwa na kufunguliwa biashara na waume za watu, najiuliza ni hali ngumu au nini, watu kuutafuta na kuufurahia usingle mamaWelcome to Tanzania. Nchi ambayo mwanamke (mwenye wazazi) anazaa na mwanaume wa mtu na anaona fahari kabisa. Zile siku ambazo mwanamke aliolewa, akakaa kwenye ndoa yake kwa heshima na huku akitaka kuheshimiwa na mumewe zilienda wapi?
Zari ana akili sana. Kunyamaza ni dawa kweli kweli. Hata kama hamisa amezaa na diamond, hakuna ufahari wowote wa kujivunia hapo! Angekaa kimya akipata child support agange njaa.