Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

Wanasikitisha sana..


Wanacheza na akili za watu...

Kitendo cha kusema kahaidiwa kuolewa ndiyo maana katembea na fulani ni utetezi wa kitoto sana...


cc: mahondaw
 
mwanamke mzuri akikosa akili zinazoumia nisehemu zake za siri.
 
Wasalaam wana jamvi!
Jumatatu kuanzia saa saba mchana Ndug Hamisa Mabeto atafunguka kupitia Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL!Hii.imekuja baada ya mzazi mwenzie Diamond Platinumz kufunguka wazi na kueleza mengi kuhusu wao na kumkana hadharani japo alimkubali mtoto...
Moja ya mambo yaliyo mkera Hamisa ni kitendo cha Diamond kusema hawakuwa na ahadi yeyote ile wakati ukweli ni kwamba Diamond Platinumz alimuahidi kumuoa kabisa na ndio maana alikubali kutembea nae na anasema Diamond alisema anampenda yeye kuliko Zari!

Pamoja na hilo Hamisa anakuja kukanusha kuhusu mambo mengi aliyo yasema Diamond hasa ya kusema alikuwa anampa kila siku elfu 70+ na kumkubali mtoto toka mwanzo...jambo ambalo Hamisa anasema ni urongo...

Sasa anasema jumatatu atasema mengi na atasema kila kitu na kuhusu aliyekuwa ana record video zao na aliyekuwa ana husika kuzivujisha....

Wana jamvi naomba niishie hapa na tusubiri jumatatu saa 7 clouds Fm.

NB: Huu unaweza kuwa mwaka mbaya kwa Diamond maana Hamisa anakuja kumwaga mboga na kutoboa masufuria kabisa...
Wale ambao hampendi habari za Diamond na Zari nawashauri.msitumie Smart phone mpaka mwakani maana hii iliyobaki ni ya habari zao tuuu...

Wasalaam...
Akili za wanawake shida sana,umeishazalishwa,kelele za nini,shukuru umezalishwa na mwenye Hera zake,ungezalishwa na konda wa daladala,ungepiga hayo makelele,side chicks wanashida sana,tafuta cha kufanya mama,acha kutafuta kiki kwenye media,uongo kwenye mapenzi jambo LA kawaida,wewe sio wa kwanza,tumeishadanganya wengi,get life and move on,wahenga waliyaona mapema,debe tupu haliachi kutika,sasa unaenda kubwabwaja kwenye radio ili uonewe huruma?unashindana na Mond?,unataka uwe mke wa pili?
Kama hupati matumizi,nenda ustawi wa jamii,na wewe ni mtoto wa kiislam kuwa na heshima basi,umeishakuwa mzazi mwenza,omba mtaji,tafuta cha kufanya,au ni kilaza kwamba,huwezi kujitegemea mpaka uwekwe ndani? Get life bitch!
 
Wasalaam wana jamvi!
Jumatatu kuanzia saa saba mchana Ndug Hamisa Mabeto atafunguka kupitia Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL!Hii.imekuja baada ya mzazi mwenzie Diamond Platinumz kufunguka wazi na kueleza mengi kuhusu wao na kumkana hadharani japo alimkubali mtoto...
Moja ya mambo yaliyo mkera Hamisa ni kitendo cha Diamond kusema hawakuwa na ahadi yeyote ile wakati ukweli ni kwamba Diamond Platinumz alimuahidi kumuoa kabisa na ndio maana alikubali kutembea nae na anasema Diamond alisema anampenda yeye kuliko Zari!

Pamoja na hilo Hamisa anakuja kukanusha kuhusu mambo mengi aliyo yasema Diamond hasa ya kusema alikuwa anampa kila siku elfu 70+ na kumkubali mtoto toka mwanzo...jambo ambalo Hamisa anasema ni urongo...

Sasa anasema jumatatu atasema mengi na atasema kila kitu na kuhusu aliyekuwa ana record video zao na aliyekuwa ana husika kuzivujisha....

Wana jamvi naomba niishie hapa na tusubiri jumatatu saa 7 clouds Fm.

NB: Huu unaweza kuwa mwaka mbaya kwa Diamond maana Hamisa anakuja kumwaga mboga na kutoboa masufuria kabisa...
Wale ambao hampendi habari za Diamond na Zari nawashauri.msitumie Smart phone mpaka mwakani maana hii iliyobaki ni ya habari zao tuuu...

Wasalaam...

Siku zote Psychologically ' counter ' nzuri hutakiwa kufanywa ndani ya 24 au 48 hours tu ili kuipa umuhimu wake lakini Wewe umesemwa Jumatatu hii halafu nawe unakuja kujibu Jumatatu ijayo hapo impact yake kwa Walaji huwa ni finyu sana na hata hakuna atakayeipa Kipaumbele.

Ndiyo maana kila siku huwa nasisitiza kwamba Watanzania mjifunze kuwatumia Watu wa Communication hasa wale ' waliobobea ' katika Communication Psychology ili wawe wanawasaidia hasa katika mambo nyeti na muhimu kama haya ili taswira zenu in Public zisiharibike.

Alichokifanya Diamond majuzi kimemaliza kila kitu na kimekidhi Kiu yote ya Sisi ' Wambea / Mashilawadu ' na tumeelewa nini tatizo, nani ni Mjinga / Ngumbaru na nani ni Mpumbavu / Popoma hivyo Hamisa Mobetto kutaka kuja Jumatatu ijayo kufanya ' counter ' ya jambo zima nimwambie tu kwamba amechelewa tena mno na kama ana mshauri wake ambaye atasoma hili ' bandiko ' langu amwambie asitishe tu huo mpango Kwani hana jipya na ndiyo Kwanza tutazidi Kumdharau kama ambavyo sasa tumeshaanza Kumdharau.

Counter ya Hamisa Mobetto ingekuwa na ' mantiki / tija / mashiko ' kama ile majuzi Diamond angemkataa yule Mtoto ila Kitendo cha Diamond kukubali tayari ni pigo ' takatifu ' na la ' Kutukuka ' kabisa kwa Hamisa hivyo asipoteze muda na sana sana tu sasa ajikite katika ' Kumnyonyesha ' maziwa huyo Mtoto ili akue.

Diamond juzi aliongea Kiume na Wanaume wenye akili zetu tulimwelewa. Hakuna Mwanaume ' asiyebandua ' nje duniani. Hivi kama ' Mbunye ' ya Zari muda wote ipo tu South Africa mnadhani ' Mkuyenge ' wa Daimond nao hautaki Kukojoa? Tena namsifu kweli Diamond kwa ' Kumtambalizia ' nao ' Mkuyenge ' wake Hamisa Mobetto hadi kumpa ' Kibendi '. Napenda mno Wanaume wanaojua kutumia vizuri ' Mikuyenge ' yao iliyotukuka Kwa ' Kubandua ' Mademu / Wanawake wanaoshoboka / wanaojipendekeza / wanaowashwawashwa.

Diamond Platinum Kwangu Mimi na kwa Kitendo alichofanya kwa Hamisa Mobetto, Kukiri na Kuomba radhi namwona ni Bonge la Shujaa wa Kizazi hiki chetu cha Vijana au dotcom.
 
Hivi hamisa anaweza akalingana na wema kwa umri au
 
Infant food ambazo si natural kwa nearly 6 months old. Mdosi anasema infant ha-lactate na natural food ni shida kwa beki tatu kutayarisha. Unashauri vipi?
Miezi sita mtoto anakuwa whined inamaana anaweza kula chakula wanachokula wakubwa kikisagwa vizuri pia kuzingatia kiwango cha chumvi
 
Miezi sita mtoto anakuwa whined inamaana anaweza kula chakula wanachokula wakubwa kikisagwa vizuri pia kuzingatia kiwango cha chumvi
Thanks nadhani hiyo ndiyo solution kuhakikisha kinatolewa katika portion ya wakubwa excluding chumvi. Nitamjuza mdosi. asante sana
 
Back
Top Bottom