Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Bwana wewe hata angekua nan. Ceteris paribus kila mwanamke ana taste zake. Usiishi kwa kukariri.
Huo ndo ukweli ,kuna mwingine utatanga hadi zaidi ya nusu saa na kunamwingine imeingia tu kitu kinabanwa na joto juu,tano tu wazungu hao
 
Ross mjanja kishenzi anajua chaka lile sio la kupita peku[emoji16]
20211126_163124.jpg
 
Huyo mentor wake ni Da Mange, malaya first class huyo.
Ona madanga yake,
1. Majizo
2. Freddy Vunjabei
3. Diamond Platnumz
4. Huyo minyama uzembe.

Hapo ni nje ya wale wenye cash lakini ni watu wa low profile hawapendi spotlight hujui wapo wangapi.
Kuna mwekezaji wa Team moja nashuhuri alikula kimya kimya.
 
Ross mjanja kishenzi anajua chaka lile sio la kupita peku[emoji16]View attachment 2024243
Kudisplay condom siyo justification kwamba anatumia, labda ni promo tu ya hizo condom au yeye ndio balozi wa hiyo bidhaa.

Uzoefu unaonesha si kila anayeingia eneo la tukio basi anatumia condom, hata ushahidi wa clip za ngono zinazovujaga sijawahi kuonaga kuna aliyevaa condom.
 
Rickross atapiga tu na kusepa huyu demu ataishia kutombwa na kuachwa yaani mbaka sasa watu kibao wamepiga juzi tu fally pupa alisepa demu alikuwa anajilengesha wazi wazi yaani haoni aibu kabisaa anaganda wanaume vibaya mno umasikin mbaya sana
International danga

Ova
 
Mwagia ndani
Kwa mabaali nausikia wimbo wa mdada mmoja kutokea bongo
 
Mademu wa kimarekani wanazinguwa sana, kwahiyo akikutana na demu wa Kibongo anajiona yuko dunia nyingine.

Nchi zilizowapa haki za kupitiliza wanawake ni tatizo.
Unakutana na mwanamke wa tandale anakudekea, anajifanya anakutii uongo na kweli lazima udate....wanaume wameumbiwa kupewa utiifu sio fvck you fvck you za kiamerika.
 
Maumivu yakizidi kamuone daktari, hii hate ni ya kichawi kabisa.
Nichukieje??!!! Mbona hueleweki🙄🙄🙄 kwanza sina mazoea naye huyo demu na sina haja ya kumjua, ila naongea nachokiona huyo demu anadanga mbaka aibu kwenye show ya fally niligundua tu huyu anajiuza kabisaa
 
Rozeeeeee!! Unhhaaa!!

I got a Chick in New Orleans, Bird hooked me up with
Keys to the crib, now its birds up in her shit
Chick with a Honda, so that Chick can save
Lookin' like a saint, but a trunk full of H
Got a Chick in the Bay, she wanna fvck Khaled
Audition for the boss, let me see you talent
The Chick do tricks, the Chick do cane
She snort it off your d!<k right before she give you brain.


Got a Chick real slim, who wanna do films
If you go down on a boy I might go out on a limb
I got a Chick wear plex, or the Chick hair straight
I break a Chick harder than every Chick that I break
I got an R&B Chick, I got a rap Chick
Call her anime, cause I got a stack Chick
I got a Chick on her period, thats money loss
I'm out two for one ho, you fvckin' with a boss.

 
Vunja bei alisanuka demu anataka kufunguliwa biashara kisha achomoe ujauzito fasta! Mwamba akajiengua [emoji28][emoji28][emoji28]
Huna habari?
Mbona amemfungulia duka la nguo za watoto,ile frem ilikuwa ya wema sepetu ndio kapangiwa huyo bi shost
 
Pole sana!uaseehh!unateseka ukiwa wapi na hamisaa?tamu yake kapewa buree...sasa makasirikio vipi!alikunyimaa?![emoji28]
Jamani mmenikuuliaje!!? Au mnahisi namtamani??!! Simjui na wala sihitaji kumjua but nimemgundua mara nyingi tu hasa wakija wasanii kutoka nje
 
Rick Ross huko mbele ana kesi kibao za kukataa watoto au za zero child supports kwa wazazi wenza..huyu demu mpeni na taarifa hiyo asije akarudia makosa aliyofanya kwa Mond huyu Rick Ross ni mara mbili ya Mond hatoi child supports kama akikuona mdangaji
 
Back
Top Bottom