Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hii ndio ile wanaita kudanga kwa weledi [emoji28]..

Huyu mwamba kweli lazma aje kuwekeza zile billion 8 zake bongo kashafinyiwa kwa ndani na mtoto wa Tandale uswahilini!

Inaonekana kapata review kwa rotimi kuwa hizi ngozi za kibongo ni noma [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Rick Ross huko mbele ana kesi kibao za kukataa watoto au za zero child supports kwa wazazi wenza..huyu demu mpeni na taarifa hiyo asije akarudia makosa aliyofanya kwa Mond huyu Rick Ross ni mara mbili ya Mond hatoi child supports kama akikuona mdangaji
😅😅😅😅😅😅😅 mwacheni apigwe sijui atamletea wakili kibatala round hii!
 
Alipata akili ya kutanua wigo wa biashara yake[emoji28] sema kwa mshindo wa Rick Rozey lazma aachwe vizuri tena ahakikishe kambebea na mimba kabisa ili avune zile child support za million 50 kila mwezi!
Nacheka km mweuuuu
 
Rick Ross huko mbele ana kesi kibao za kukataa watoto au za zero child supports kwa wazazi wenza..huyu demu mpeni na taarifa hiyo asije akarudia makosa aliyofanya kwa Mond huyu Rick Ross ni mara mbili ya Mond hatoi child supports kama akikuona mdangaji
Acha kudanganya watu, unaijuwa system ya Marekani wewe?

Mtu ambaye source zake za income ziko wazi unaweza kukwepa vipi child support?

Uliza vizuri labda USA River hiyo, na siyo United States.
 
Papuchi imepandishwa ndege kwenda kuliwa. Hiyo inaitwa udangaji wa kimataifa. Anapeperusha bendera ya nchi kitandani. Hivi ni mimi nashabikia haya mambo au kuna mtu kaniibia password???
Hii id imedukuliwa[emoji12]
IMG_20211006_015617.jpg
 
Mimi nampa heko huyu binti. Siyo kila siku kulia na akina Harmonize au Diamond. Anaenda kutafuta huko na analeta kuwekeza hapa nchini. Tumuunge mkono na kumpa mbinu ili asiwe kama Wema
[emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38]
 
Haya sasa wambea wote wa mjini wamehamia Dubai baada mdada wa mjuni aka slay Queen kwenda Dubai ka bataa ghafla bin vuu Jana mapichapicha yameanza yuko na msaani na mwanamuziki wa Kimarekani mzee baba Rick Ross full mahaba, mahabani,imepekekea mpk pages maarufu za umbea dunia km shaderoom chamber kumposi Mobeto na Huyo anaesadikika kua mpenzi wake mpya Rick Ross....
Mwanzo watu walidai kapelekwa na Yule mbunge wa kuleee kwa Mkoa wa ....kumbe mwenzao walaa yuko na new bebe duniani..

Mnaambiwa ukitaka kula nguruwe kula aliyenona. Naona Dada zetu wanatuwakilisha vzr kaanza vee mapesa ,sasa hivi Mobeto,sijui next ni nani...

R.I.P warumi...!!we fill the void....!!!
Hiv warumi alifariki Lin??na je alikua ni wa kiume au wa kike?
 
Back
Top Bottom