reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Dogo we jenga nchi mi ntapaka rangi!![emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo we jenga nchi mi ntapaka rangi!![emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu malaya first class alitaka kudanga kwa Fally Ipupa akamtolea mbavuni.
Unaweza kukuta huyo ni chawa wa WCB anamsifia mwanaume mwenzie toka mwanzo wa hii thd!Bila shaka Diamond anakufira ,maana kila saa diamond
Mpendwa huyo unayejibizana nae ana ubongo wa kuku 😀😀😀Iliwapitia kina nan? Na wewe ulikua wapi kujua kuhusu hiyo idadi ya waliopitiwa? Are you him or them?. Ebu acha kuzingua unachokiona cha thamani wewe mwingine anaona uchafu mtupu. Kuna watu wana maisha huo unaousema wewe ni ulimbukeni na ushamba tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwakweli ngoja nihame kijiwe[emoji23][emoji23][emoji23]Mpendwa huyo unayejibizana nae ana ubongo wa kuku [emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀Utaumiza mikono yako kwa kuandikaKwakweli ngoja nihame kijiwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani watanzania nimewanyooshea mikono juu kwa maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo we jenga nchi mi ntapaka rangi!![emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]
Sure huu Uzi bila neno la warumi.......painHaya sasa wambea wote wa mjini wamehamia Dubai baada mdada wa mjuni aka slay Queen kwenda Dubai ka bataa ghafla bin vuu Jana mapichapicha yameanza yuko na msaani na mwanamuziki wa Kimarekani mzee baba Rick Ross full mahaba, mahabani,imepekekea mpk pages maarufu za umbea dunia km shaderoom chamber kumposi Mobeto na Huyo anaesadikika kua mpenzi wake mpya Rick Ross....
Mwanzo watu walidai kapelekwa na Yule mbunge wa kuleee kwa Mkoa wa ....kumbe mwenzao walaa yuko na new bebe duniani..
Mnaambiwa ukitaka kula nguruwe kula aliyenona. Naona Dada zetu wanatuwakilisha vzr kaanza vee mapesa ,sasa hivi Mobeto,sijui next ni nani...
R.I.P warumi...!!we fill the void....!!!
Aende akaolewe kabisa na huyo Diamond.Sawa umeeleweka mke mtarajiwa wa Diemond na inaonesha ana kupelekea moto kweli kweli si kwa kumsifia huku
Bora umeona mkuu haeleweki comment zake huyu itakuwa si mzimaUmasikini wako ndio unakufanya umsifie Mwanume mwenzako humu kila comment yako,tafuta hela ili uache kumsifia mwanume mwenzako na uache kuamini kua ukiwa na hela basi utampata Mwanamke yeyote yule,
Uwezo wako wa uelewa na kuchambua mambo ni mdogo sana,una akili za kitoto na IQ yako ipo below zero ndio maana hata unachokiandika hakieleweki.
Kitk kile curves ndy zmemvuta itakuwaHili jamaa nasikia linahusudu sana ulawiti.. kwa hiyo bi dada ndio marinda basi
HahahaWatoto wa mjini ukiwala tigo mbona ndio unawafurahisha? Au wewe mgeni hapa mjini?
Yaaanii naimajini bahati ingemwangukia zari ingekuwajeeeWeuweeee!!!maisha mafupi hayaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
Habari ndo hiyoo!kama mtu hataki ajambeee!!
Mobeto kawauma roho sana watu!team tukinao,team dangote,team upupuu zoteee..fyekelea mbelee!mji umepoa!huu!