Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Acha kudanganya watu, unaijuwa system ya Marekani wewe?

Mtu ambaye source zake za income ziko wazi unaweza kukwepa vipi child support?

Uliza vizuri labda USA River hiyo, na siyo United States.
Dah mwanangu Matola unakuwaga mbishi bila sababu za msingi sijui ndo kujifanya mjuaji au tu ni kwamba hutaki mawazo ya wengine but anyways ipo hivi...

Rick Ross ameburuzwa kortini mara mbili kuhusu ishu za child support na mababy mama wake kwanza ilikuwa TIA KEMP baadae akaja Brianna singleton hizi kesi zote mpaka Rick Ross amekubali kulipa ilikuwa kwa mbinde sana mahakama ya mji wa Carol city..sijasema kama anakwepa child support but ni msumbufu sana kesi na baby mama wake Brianna ilichukua miaka mitatu from 2018 to 21 imagine hapo miaka mitatu wanavutana tu mpaka mwaka huu alipokubali

 
King Kong km King Kong [emoji119][emoji119]
 
Nahisi unawashwa wewe yaani nashindwa kuelewa wivu upi??!![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mobetoo....
 
Nilichokataa mimi huwezi kukwepa child support USA, lakini issue ya kukomaa hata mimi ningekomaa kupunguza amount.

Sheria zao za child support zinawaumiza wanaume sana.
 
Kwani ukizaa ndio hutakiwi kumkatia mtu viuno?
Heshima aliyokuwa anaidai kwa Whozu eti yeye ni mama imeishia wapi kwa vids kama hizi? Bora angefanyia chumbani plus mbususu siyo tight kihivyo baada ya vishingo viwili kupita kwenye shimo.
 
Mnaafiki tu mwamvua yeye anadanga Ilala Sharifu Shamba,pesa hana,alirudishwa Dubai kwa mikashafa alikaa ndani mpk akasaidiwa nauli...watu wanamjua sema wanamstahi!
Yeye mwenyewe kazaaa na Mme wa mtu! Baba mmoja hivi...ajishaue Leo kwa Miss!
Jinga sana yule!kapagawa Leo balaa!anabloki watu tu!
 
Nilichokataa mimi huwezi kukwepa child support USA, lakini issue ya kukomaa hata mimi ningekomaa kupunguza amount.

Sheria zao za child support zinawaumiza wanaume sana.
Hii sheria ina nguvu sana kwa mwananchi wa USA but kwa Mobetto yeye haitokuwa na nguvu saana hapo ndipo Rick Ross ataamua kutembelea na gap hilo after all pia anaweza kumkataa vilevile pia ana kesi nyingi za kukataa watoto pale USA..but upo sahihi kwa ulichokisema
 
Piga kelele kwa missa akeeeeeee
Wakimbize wakimbizeee
Siku hizi wanawake wote tunapenda miamala asee ni basi tu waliopo mtaani ni akina fundi maiko ila ukiletewa mwenye RR na mwenye tz 11 utamkimbilia mwenye RR
 
Mwamvua amepata mhaho watu tumemchambaaaàa Ana kazi ya kutupiga kifuli. Akwendeee mgombea mirathi
 
Piga kelele kwa missa akeeeeeee
Wakimbize wakimbizeee
Siku hizi wanawake wote tunapenda miamala asee ni basi tu waliopo mtaani ni akina fundi maiko ila ukiletewa mwenye RR na mwenye tz 11 utamkimbilia mwenye RR
Weuweeee!!!maisha mafupi hayaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!

Habari ndo hiyoo!kama mtu hataki ajambeee!!
Mobeto kawauma roho sana watu!team tukinao,team dangote,team upupuu zoteee..fyekelea mbelee!mji umepoa!huu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mbona mo dewji alitekwa akitokea gym
Dada wahindi na wenzetu wazungu angalau wamestaraabika. Hawa kina Mwamedi wa Manzese ukiwakuta gym ujue wanataka kupendwa. Na Dada zetu hawa tumbo likitangulia kufika kabla ya matako watakusimanga na balaa ukute na hela hunaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwamvua amepata mhaho watu tumemchambaaaàa Ana kazi ya kutupiga kifuli. Akwendeee mgombea mirathi
Vee money alivokua na rotimi walimsifia sana na kumpa pole jux...Leo missa wanamuona kahabaa...!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwani anatumia zenuu?!!!muacheni kama kudanga rahisi dangeni na ninyi baasi!
Wengine wanaume wanamuonea wivu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]toeni vyeo kama wale wakaka walilotea koneksheni mjini kama rahisi baasi!![emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…