Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Nichukieje??!!! Mbona hueleweki[emoji849][emoji849][emoji849] kwanza sina mazoea naye huyo demu na sina haja ya kumjua, ila naongea nachokiona huyo demu anadanga mbaka aibu kwenye show ya fally niligundua tu huyu anajiuza kabisaa
Sasa akidanga wewe inakuuma nini jamani, K si yake?? Pesa si analipwa? Familia inapishana chooni, adange Hamisa aibu uone wewe wapi na wapi??

Chokodari!!?? Au umemuonea wivu mrembo wa watu?? You wish ungekua wewe hapo Dubai [emoji23] pouleeee tatizo * lol
 
Huyo choko asikupotezee muda, ukiona mtoto wa kiume kila post anamsifu mwanaume mwenzake na kujikomba ujuwe hapo bahati mbaya siyo riziki.

Huyo bwege ana tofauti gani na Baba Levo?
Msitukanane jamani kila mtu aheshimu mawazo ya mwenzake
 
Ndio maana warembo wakali wa mjini hawawataki masela njaa.....

Kizazi kipya na kusujudia sana ULWA.....🤣
 
We are.
Dah.
 
Akirudi msiache kwenda mpokea uwanja wa ndege....wabongo nani katuroga masikini
 
Hii nchi mnamiliki wivu hata kwa msioweza kuwavua ¢hupi...😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…