Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Akafanye sajari ya ngozi kwanza...imenyauka mno. Labda ahangaike kutafuta pensionists ambao hata meno hawana kama yule kili janga shogake mange aka mama sunshine sijui
Alishafanyaga mbona enzi hizoo!aliharibikaga sana na mikorogo ya maimatha...alifanya China alitumia almost 13 m alisema
 
Akafanye sajari ya ngozi kwanza...imenyauka mno. Labda ahangaike kutafuta pensionists ambao hata meno hawana kama yule kili janga shogake mange aka mama sunshine sijui
Alishafanyaga mbona enzi hizoo!aliharibikaga sana na mikorogo ya maimatha...alifanya China alitumia almost 13 m alisema
 
oohoooooo!!! amemkubalia huyo mnyama Ricky roseee mmarekani??????"!!!!!

huyo hamisa akirudi na marinda kuku watazungumza, na mbuzi watabweka, yani hapo tyari ku.ndu la mtu hoi, nyang'anyang'a.

wanawake tamaa za pesa zitawafanya kitu mbaya sana, kuweni makini.
 
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]pole ndo wanaume wa dar hao!aka maanti
duh!! skuiz wanaume wa dar wanaitwa maanti loh!!! idadi ya wanawake inazidi kuongezeka kwa kasi.

Sasa wote wakiwa wanawake wanaume watatosheleza idadi ya ke kweli? au ndo mambo ya kuanza kugombaniana wanaume tena? aiseee!!!!!
 
Yaani yote hii ni kwasababu tu Hamisa kasadikiwa kalalwa na huyu mmanyema wa USA?

Sasa mlitaka awe analalwa na akina Chibu na majizo tu ?
Muacheni mtu apate exposure
 
Kwnye hili mbona lipo wazi mkuu.
Kasha2mika na yeye kapewa chake kasepa.
Ila baadhi ya wanawake wanamuonea wivu kjigijigi Rick
 
Kweli weekend hii Hamisa amewapiga wengi na kitu kizito vichwani kwao. Huyu aliyeleta hii thread nae anaitwa mwanaume eti.
nilikuambia hapo hakuna jipya zaidi ya biashara. Hivi tumefika mahala mtu kuliwa na kuwa dumped tunaona ni ufahali kwakuwa ni msanii mkubwa. Hizi siyo tamaduni zetu jaman mtoa mada anajaribu kumkumbusha tu ila najua hata mobetto analijua hili(one night stand)
 
Hivi Hamisa keshafikia level za Uwoya??
 
Wajomba wamemaindi balaa[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!
Wajomba ,mifuko imetobokaa, kuzunguka na bahasha kila kukichaaaaa.


Hamisa ni mwanamke, ukiachilia mbali umaarufu, upambanaji , yeye pia ni mwanamke mzuri, ananyegeka pia ,HIVO LAZIMA AHITAJI KUA NA MWANAUME .


WAHUNI sijui wanataka HM ,akae kama MTAWA ??.
 
Acheni auze jamani.

Au kwa kuwa ANAUZA KIMATAIFA NA WENGINE UUZAJI NI WA TUMA NA YA KUTOLEA?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aaaa odo bei elekezi 30,000 bila na ya kutolea.
 
Hapa Hamisa kanyamizisha wote,bora hata Majizzo hakuwaga na hekaheka za kumdharirisha mitandaoni.Tabu iko kwa Watandale,na wasipoangalia kweli watoto wataenda kwa Biden [emoji3][emoji3]
Jamanii nimecheka kuna mtu kanitumie memes eti Zari anawaambia kuwa kaka wa watoto wake ni mtoto wa Rick Ross wa kambo.
Hakika nimeamini watu wakikudharau sana na kukunyanyapaa Mungu atakuinua tu.

Hamisa alinyanyasika sana na Dylan.
 
Wanasema wanaume ndo wameumia Hamisa kwenda Dubai na tajiri kuliko sisi wanawake. Sasa unajiuliza hiyo hasira wako nayo ni ipi? Wanatamani wangekua na wao wanawake waliwe na mtu kama Rosey au ndo joto hasira wanaona hawamuwezi tena. Nawaza bado
Lazima waumie hawana pesa sababu kula alipokula Rick Rose si mchezo.
 
kuna boss mkubwa wa serikali, chakushangaza mkewe wa 40yrs analiwa na kijana wa 26 yrs asiye na maisha ya kueleweka bado.

Hapo ndo utagundua madhara ya kumpendea mtu pesa. Mwanamke huyo alimpendea mumewe pesa.
 
kuna boss mkubwa wa serikali, chakushangaza mkewe wa 40yrs analiwa na kijana wa 26 yrs asiye na maisha ya kueleweka bado.

Hapo ndo utagundua madhara ya kumpendea mtu pesa. Mwanamke huyo alimpendea mumewe pesa.
Ahsante....Sasa kuna watu humu wanadhani ukiwa na pesa na umaarufu kama wa jamaa yao basi umemaliza kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…